Hoja za div 4 au PhD nihoja za kipumbafu kabisa kuongoza nimoyo Wa huruma na kutambua wajibu wako kila muda wakati wote chamuhim kabisa kuzingatia haq wenye ma PhD ndio waliotuingiza katika mikataba mibovu na wizi wakutisha unafanywa nawao katika Mali zauma tuache kuamini madaftari na vyeti tuangalie kusoma nakuandika kikubwa kabisa katika hili uadilifu ndio msaada kwa nchi sio phdNafasi za ajira jeshi la polisi;
Sifa za kujiunga:
Awe na division 4 ya point 29, mpaka 34.
Asante