Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,483
- 30,155
Tena imeandikwa Katika Biblia takatifu.Haki huliinua taifa, Imeandikwa.
Kitabu cha Mithali:14:34 "Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote"
Tena imeandikwa Katika Biblia takatifu.Haki huliinua taifa, Imeandikwa.
Na awe mwanachama mtiifu wa CCMNafasi za ajira jeshi la polisi;
Sifa za kujiunga:
Awe na division 4 ya point 29, mpaka 34.
Asante
Wewe na uelevu wako uliopindukia unadhani Ruge na wale ndugu zetu wamesafishika?Ubishi wenye ujinga ndani yake kama wako huu ndo unatuletea umasikini hapa nchini !!! Kwa nini Mzee Rugemalira ameachiwa huru,huku tukijua kesi yake ya Escrow ilifanya hadi wazungu kurunyima hela za Maendeleo?
Vijana wa kundi la Uamsho,nao wameachiwa huru karibuni kwa makosa ya kudhaniwa kama ya Mbowe!!!
Hii Kesi ya Mbowe kwa hatua za awali tuu za kusikiliza ni vituko na vingi kama vya kubuni.
Kwa nini mnaamini mahakama itafunga. Imani hii inatoka wapi? Au inatokana na kitu mnachokijua lakini hamtaki kukisema, au mnadhani wanasheria wanaomtetea ni incompetent kiasi cha kushindwa kumtetea vyema mteja/ wateja wao? Hii imani ya kusema atafungwa inatoka wapi, kwa nini hamfikirii mahakama inaweza kumuachia?kumfungia wakati ukweli unajulikana
Una maana gani unaposema " kusafishika"?Wewe na uelevu wako uliopindukia unadhani Ruge na wale ndugu zetu wamesafishika?
Ni sisi wenye akili timamu tunakuelewa vizuri..hao wengine pamoja na kuwa na akili wamekuwa wavivu wa kuzitumia.Kwa nini mnaamini mahakama itafunga. Imani hii inatoka wapi? Au inatokana na kitu mnachokijua lakini hamtaki kukisema, au mnadhani wanasheria wanaomtetea ni incompetent kiasi cha kushindwa kumtetea vyema mteja/ wateja wao? Hii imani ya kusema atafungwa inatoka wapi, kwa nini hamfikirii mahakama inaweza kumuachia?
Nawaza, hivi kwa nini vyama vya siasa wasitumie faida za teknolojia za mawasiliano kwa kufanya virtual meetings, watumie zoom, teleconferencing za simu, google meetings, nakadhalika kukwepa vikwazo vya Sirro. Jambo hili linaweza kufanyika kwa kubadili katiba za vyama vyao kukidhi kigezo cha kufanya virtual meetings.Jaji Mutungi anataka usuluhishi kuhusu mikutano, Sirro anasema mikutana ya ndani inatia mashaka! Anasita kusema wazi kuwa haitaki! Kwake kukamata ni muhimu kuliko suluhu! Ulichokiandika Sirro hatakubaliana nacho.
Hii ni hatari, sikutegemea uniulize swali hili kwa haiba na hulka yako.Una maana gani unaposema " kusafishika"?
Wakitumia unavyosema mikutano yote itaishia polisi, usalama wa taifa na CCM.Nawaza, hivi kwa nini vyama vya siasa wasitumie faida za teknolojia za mawasiliano kwa kufanya virtual meetings, watumie zoom, teleconferencing za simu, google meetings, nakadhalika kukwepa vikwazo vya Sirro. Jambo hili linaweza kufanyika kwa kubadili katiba za vyama vyao kukidhi kigezo cha kufanya virtual meetings.
Ni vyama hivi vilituaminisha kuwa vyenyewe vina akili kubwa kuliko vyama vingine, inakuwaje wasilione hili!?
Wazungu wanaachaje kutuita manyani kwa mfano? Fedha za umma zinatumika kuendesha kesi ya kutunga, badala ya kuhudumia wananchi wenye uhitaji. Lengo ni kukidhi utashi wa majizi ya kura yasiyotaka katiba mpya. Halafu wanaoagiza haya wanajiita wasomi, na ni watu wazima walioota nywele kila tundu la mwili!
Wana akili kubwa bwana, kama waliweza kumtambua kigogo aliyesemekana hawezi kutambulika, wanw shindwaje ku'encrypt' virtual meetings zao. Hata hivyo, ni jambo gani la siri na la kisiasa tena zile za maendeleo ya watu wa Tanzania hawataki wana CCM walijue!? Bado nawaza mkuu, sijasema jambo lolote.Wakitumia unavyosema mikutano yote itaishia polisi, usalama wa taifa na CCM.
Waulize polisi kwanini vijana wenye division 1,2 na 3 wapo lakini wao wanataka wenye division 4
Umri wa Mzee kama Ruge furaha yake kubwa hapa duniani kwa sasa ni kukaa na familia yake,na wajukuu. Hilo ameshalipata. Issue ya kusafishwa au kusafishika is weightless!Hii ni hatari, sikutegemea uniulize swali hili kwa haiba na hulka yako.
Aliyesema hivyo ana uelewa mdogo. Hata Shetani ni malaika.Mbowe sio malaika
Vyama vinapofanya mikutano ya ndani huwa kuna siri, usalama wa taifa na tcra wanauwezo wa kukudaka hewani.Wana akili kubwa bwana, kama waliweza kumtambua kigogo aliyesemekana hawezi kutambulika, wanw shindwaje ku'encrypt' virtual meetings zao. Hata hivyo, ni jambo gani la siri na la kisiasa tena zile za maendeleo ya watu wa Tanzania hawataki wana CCM walijue!? Bado nawaza mkuu, sijasema jambo lolote.
Kuna member mmoja kwenye ile thread ya kesi ya Mbowe kaandika point ya maana sana; kwamba Jeshi la Polisi ni chombo kinachohusika na haki za wananchi moja kwa moja; is there any oversight body to oversee Police Force? Hakipo!
Yaani wao Polisi wamekabidhiwa mamlaka yote kuhusu haki za wananchi na hakuna chombo huru kinacho-monitor matendo yao? Wanaweza kujifanyia wapendavyo na kuripoti UONGO? Hii haikubaliki; kama taasisi kama TRA, PPRA, LATRA, n.k. ambazo zina oversight bodies kuhakikisha haki inatendeka sembuse polisi wanaohusika na MAISHA ya wananchi? Tena polisi wenyewe ndio hawa wanaoweza kutumika na wanasiasa! Hii ni hatari sana! Katiba Mpya isisahau hili.