Balile: DPP, IGP, DCI lifutieni taifa aibu kesi ya Mbowe

Ubishi wenye ujinga ndani yake kama wako huu ndo unatuletea umasikini hapa nchini !!! Kwa nini Mzee Rugemalira ameachiwa huru,huku tukijua kesi yake ya Escrow ilifanya hadi wazungu kurunyima hela za Maendeleo?
Vijana wa kundi la Uamsho,nao wameachiwa huru karibuni kwa makosa ya kudhaniwa kama ya Mbowe!!!
Hii Kesi ya Mbowe kwa hatua za awali tuu za kusikiliza ni vituko na vingi kama vya kubuni.
Wewe na uelevu wako uliopindukia unadhani Ruge na wale ndugu zetu wamesafishika?
 
kumfungia wakati ukweli unajulikana
Kwa nini mnaamini mahakama itafunga. Imani hii inatoka wapi? Au inatokana na kitu mnachokijua lakini hamtaki kukisema, au mnadhani wanasheria wanaomtetea ni incompetent kiasi cha kushindwa kumtetea vyema mteja/ wateja wao? Hii imani ya kusema atafungwa inatoka wapi, kwa nini hamfikirii mahakama inaweza kumuachia?
 
Kwa nini mnaamini mahakama itafunga. Imani hii inatoka wapi? Au inatokana na kitu mnachokijua lakini hamtaki kukisema, au mnadhani wanasheria wanaomtetea ni incompetent kiasi cha kushindwa kumtetea vyema mteja/ wateja wao? Hii imani ya kusema atafungwa inatoka wapi, kwa nini hamfikirii mahakama inaweza kumuachia?
Ni sisi wenye akili timamu tunakuelewa vizuri..hao wengine pamoja na kuwa na akili wamekuwa wavivu wa kuzitumia.
 
Jaji Mutungi anataka usuluhishi kuhusu mikutano, Sirro anasema mikutana ya ndani inatia mashaka! Anasita kusema wazi kuwa haitaki! Kwake kukamata ni muhimu kuliko suluhu! Ulichokiandika Sirro hatakubaliana nacho.
Nawaza, hivi kwa nini vyama vya siasa wasitumie faida za teknolojia za mawasiliano kwa kufanya virtual meetings, watumie zoom, teleconferencing za simu, google meetings, nakadhalika kukwepa vikwazo vya Sirro. Jambo hili linaweza kufanyika kwa kubadili katiba za vyama vyao kukidhi kigezo cha kufanya virtual meetings.

Ni vyama hivi vilituaminisha kuwa vyenyewe vina akili kubwa kuliko vyama vingine, inakuwaje wasilione hili!?
 
Nawaza, hivi kwa nini vyama vya siasa wasitumie faida za teknolojia za mawasiliano kwa kufanya virtual meetings, watumie zoom, teleconferencing za simu, google meetings, nakadhalika kukwepa vikwazo vya Sirro. Jambo hili linaweza kufanyika kwa kubadili katiba za vyama vyao kukidhi kigezo cha kufanya virtual meetings.

Ni vyama hivi vilituaminisha kuwa vyenyewe vina akili kubwa kuliko vyama vingine, inakuwaje wasilione hili!?
Wakitumia unavyosema mikutano yote itaishia polisi, usalama wa taifa na CCM.
 
Yaani mkuu umeongea point kabisa, baada ya serikali kuona mashahidi 3 wamebanwa Sana na kuelekea kuitia aibu police, PGO mtihan kwao, wakaona wasilete wengine 4 kwa kulinda heshima yao. Bora pia watumie hekima hiyo hiyo kuondoa hii kesi.

Yaan mm nashindwa kuelewa Hawa police, wanajuwa maana ya Gaidi kweli..?

Wakati mtu wa usalama wa Taifa anahitaji muda wa mala 6 katika maisha yake yote, yaan muda wa sekunde, dakika, lisaaa, siku, wiki, mwez na mwaka kuhakikisha nchi iko salama, Gaidi haitaji mida yote hiyo.

Gaidi anahitaji one single chance, yaan ni Kama nusu ya sekunde kutekeleza ugaidi wake, sasa eti Gaid mbowe aliitaji kuandaa kikundi,aliitaji kukata miti kuweka barabaran, Kaz kweli kweli.

kwakweli Hawa watu wanampa wakati mgum raisi wetu. Waliosema nyota njema uonekana asubuh walikuwa wakweli.

Raisi Samia alipo ingia madarakan, huyu Mama nia yake ilionekana njema Sana kwa watanzania . Alikemea TRA kupora watu, dhuruma n.k

hachane kumuangusha na kumpa wakati mgumu. Nafikiria wakati mwingine uenda uko alipo marekan, baada ya mkutano, labda anaenda mahala kutembea labda kwenye vivutio mbali mbali, akiwa ameongozana na maraisi wenzie, mala gafra anakutana na mabango ya freeee mbowe, watu wanamuonaje!! Hachen kumpa wakat mgum raisi wetu.
 
Wazungu wanaachaje kutuita manyani kwa mfano? Fedha za umma zinatumika kuendesha kesi ya kutunga, badala ya kuhudumia wananchi wenye uhitaji. Lengo ni kukidhi utashi wa majizi ya kura yasiyotaka katiba mpya. Halafu wanaoagiza haya wanajiita wasomi, na ni watu wazima walioota nywele kila tundu la mwili!

" ....watu wazima walioota nywele kila tundu la mwili!"

😂😂😂

Hiiiiii bagosha!
 
Wakitumia unavyosema mikutano yote itaishia polisi, usalama wa taifa na CCM.
Wana akili kubwa bwana, kama waliweza kumtambua kigogo aliyesemekana hawezi kutambulika, wanw shindwaje ku'encrypt' virtual meetings zao. Hata hivyo, ni jambo gani la siri na la kisiasa tena zile za maendeleo ya watu wa Tanzania hawataki wana CCM walijue!? Bado nawaza mkuu, sijasema jambo lolote.
 
Waulize polisi kwanini vijana wenye division 1,2 na 3 wapo lakini wao wanataka wenye division 4

mtoto wa divisio ulizotaja,anatakiwa aendelee na shule maana kafaulu kuendelea,anatakiwa akasomee utaalamu mbele huko.
 
Hii ni hatari, sikutegemea uniulize swali hili kwa haiba na hulka yako.
Umri wa Mzee kama Ruge furaha yake kubwa hapa duniani kwa sasa ni kukaa na familia yake,na wajukuu. Hilo ameshalipata. Issue ya kusafishwa au kusafishika is weightless!
Walioitwa mafisadi Jana,leo ni mawaziri!! Nani aliwasafisha na wamesafishikaje?
 
Wana akili kubwa bwana, kama waliweza kumtambua kigogo aliyesemekana hawezi kutambulika, wanw shindwaje ku'encrypt' virtual meetings zao. Hata hivyo, ni jambo gani la siri na la kisiasa tena zile za maendeleo ya watu wa Tanzania hawataki wana CCM walijue!? Bado nawaza mkuu, sijasema jambo lolote.
Vyama vinapofanya mikutano ya ndani huwa kuna siri, usalama wa taifa na tcra wanauwezo wa kukudaka hewani.
 
Hivi hawa wazungu wanaokuja pale mahakamani wanatuonaje?si wanatuona manyani wasio na akili kabisa?
 
Kuna member mmoja kwenye ile thread ya kesi ya Mbowe kaandika point ya maana sana; kwamba Jeshi la Polisi ni chombo kinachohusika na haki za wananchi moja kwa moja; is there any oversight body to oversee Police Force? Hakipo!

Yaani wao Polisi wamekabidhiwa mamlaka yote kuhusu haki za wananchi na hakuna chombo huru kinacho-monitor matendo yao? Wanaweza kujifanyia wapendavyo na kuripoti UONGO? Hii haikubaliki; kama taasisi kama TRA, PPRA, LATRA, n.k. ambazo zina oversight bodies kuhakikisha haki inatendeka sembuse polisi wanaohusika na MAISHA ya wananchi? Tena polisi wenyewe ndio hawa wanaoweza kutumika na wanasiasa! Hii ni hatari sana! Katiba Mpya isisahau hili.

Kuna watu wanajua kufikiri sawa sawa.Nadhani wakati umefikia katiba mpya wakatazama namna ya kuunda chombo kitakacho tazama utendaji wa Police.
 
Back
Top Bottom