Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,184
Wakati tunaendelea na kuumiza vichwa juu ya ufisadi CCM na serikali yake na mafisadi, kuna habari za kuaminika kwamba aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu yaani BALALI yupo na anakula BATA SWEDEN.. I WILL COME BACK
Mpaka waTZ wote tutakapoamka kama Arusha.
Unajua sisiem ni zaidi ya chama cha siasa, ndo maana utakuta mtu kama Rostam yupo tayari kuwekeza mabilioni ilimradi hicho chama kiendelee kukaa madarakani.
Wakati tunaendelea na kuumiza vichwa juu ya ufisadi CCM na serikali yake na mafisadi, kuna habari za kuaminika kwamba aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu yaani BALALI yupo na anakula BATA SWEDEN.. I WILL COME BACK
Wakati tunaendelea na kuumiza vichwa juu ya ufisadi CCM na serikali yake na mafisadi, kuna habari za kuaminika kwamba aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu yaani BALALI yupo na anakula BATA SWEDEN.. I WILL COME BACK
Unajua sisiem ni zaidi ya chama cha siasa, ndo maana utakuta mtu kama Rostam yupo tayari kuwekeza mabilioni ilimradi hicho chama kiendelee kukaa madarakani.
Tatizo ni kwamba sura yake aliyonayo sasa hivi utawezaje kuitambua?Next week nina safari ya Sweden. Nitamtafuta.
Mbona tuliaminishwa kuwa amekufa jamani usanii huu mpaka lini?
Hakika CCM sijui itawaambia nini Watanzania ambao kwa nyakati hii hawanganyiki kuhusu FISADI anayekula kuku kwa mrija haya wakati Watanzania wanateseka hv,kuna tetesi ya kwamba yule Profesa wa chuo kikuu aliyeuwawa na majambazi akiingia nyumbani kwake akitokea ktk shughuli zake,,,nasikitika kupata tetesi ya kwamba alionana na huyo Fisadi uso kwa uso huko majuu na ndiyo Balali akawahabarisha Mafisadi wenzake na ndiyo wakammaliza mshikaji wakijua mambo yataharibaka huku
Mbona tuliaminishwa kuwa amekufa jamani usanii huu mpaka lini?
NitakukumbushaNext week nina safari ya Sweden. Nitamtafuta.