acha unafiki na wewe!kwani kujadili kitu kuna mwisho mawazo hubadirika!walicho jadili jana chaweza kuwa tofauti na cha leo!!Hii imejadiliwa humu ndani, Embu tafuta Thread Yake.
Ningekuwa na uwezo ningekwenda kumchukua nije nimuweke pale mansese darajani mjionee kuwa yu hai
makubwa
kama ni yeye kweli au........am not sure ila nlipita tuu kwenye twitter nkakutana na charting za balali ( yeye kweli au sio cjui) na picha imewekwa akiwa shop ( si commit ukweli au uhalisia wake mana sina uhakika hata mimi binafsi). Nashare tuu nlichokikuta twitter........
18 MarDaudi Balali ‏ @daudibalali
Purchasing groceries in Lauer's Maryland on Friday, 16th March 2012. http://twitpic.com/8y30xe
View photoHide photo
![]()
Flag this mediaTwitPic![]()
wahenga walinena-nyumbani ni nyumbani tu,huko aliko ameshachoka kukaa ugaibuni sasa anatamani kurudi home lakini imeshindikana kwasababu anatumika kulinda maslahi ya watu,na kama kuna mtu ana amini kuwa balali alikufa basi huyo ni mwendawazimu!naelewa mengi sana kuhusu balali na ipo siku itafahamika tu,wahenga leo twanena"ukificha maradhi kifo kitakuumbuuua"subirini magamba waende chali itafahamika.
MOD naomba umpe BAN huyu katumia lugha hatarishi katika jamvi.
Kuna mambo mengi yanachanganya kwenye hii habari ya bwana gavana!
Lakini kuna watu wangapi wamekufa Tz hii na watu hawana muda wa kukaa na kuwadiscuss au kua na mashaka kua hawajafa??
Kwanini huyu bwana wapo wengi wanaoamini bado yupo??
Naamini maswali machache ambayo hata mtoto mdogo anaweza kuyauliza yakipewa majibu ya uhakika, kila mtu ataamini Gavana hayupo tena katika Dunia hii!!!!
1. Kwenye mazishi yake serikali iliwakilishwa na wakina nani????
2. Kwanini waliamua kumzika huko huko, au hawakutaka tumlilie Gavana wetu??
3. Picha za mazishi yake ziko wapi, na alizikiwa wapi???
Wale wanaojiita ndugu zake wayajibu maswali.
Wabongo tunajua kuwa Bw Balali ni marehemu. Alifariki na kuzikwa USA, hakuna aliudhuria hayo mazishi wala kupatikana kwa picha za hayo mazishi.
Hivi karibuni kupitia mtandao wa twitter kajitokeza mtu anayedai kuwa yeye ni Bw Balali. Kuna gazeti liliandika kuhusu hiyo ishu. Cha ajabu bado huyu mtu anaendelea kutoa "tweets" kila mara.
Na leo kaweka picha anasoma kitabu pande za kwa obama. Je kama kweli huyu jamaa is indeed ALIVE! inakuwaje hapo ndugu zangu watanzania?
Siwezi sema kama Balali yu hai au la! Ila huyu jamaa anayaejifanya ni yeye kwenye twitter naweza sema ni mzushi anayetaka attention kwa kutumia vigezo vya picha alizoweka.
Picha zote ni fake zilizoungwa kwa photoshop. Ntazichambua mbili ambazo naona ndo popular hata kwenye magazeti zimetoka!
1. Ya kwanza ni hii (kazi mbovu ya photoshop) ambayo anadai alikua anafanya shopping Lauer's Maryland tarehe 16th March 2012! Original ya picha hiyo nimeiweka chini yake ambayo ukiangalia story yake hapa ilitoka December 2009!
Fake!
![]()
Original!
![]()
2. Nyingine ni hii ambayo original yake nimeiambatanisha chini yake. Story ya original pic inapatikana hapa
![]()
![]()
3. na ya mwisho original yake inapatikana hapa
![]()
![]()
Siwezi sema kama Balali yu hai au la! Ila huyu jamaa anayaejifanya ni yeye kwenye twitter naweza sema ni mzushi anayetaka attention kwa kutumia vigezo vya picha alizoweka.
Picha zote ni fake zilizoungwa kwa photoshop. Ntazichambua mbili ambazo naona ndo popular hata kwenye magazeti zimetoka!
1. Ya kwanza ni hii (kazi mbovu ya photoshop) ambayo anadai alikua anafanya shopping Lauer's Maryland tarehe 16th March 2012! Original ya picha hiyo nimeiweka chini yake ambayo ukiangalia story yake hapa ilitoka December 2009!
Fake!
![]()
Original!
![]()
2. Nyingine ni hii ambayo original yake nimeiambatanisha chini yake. Story ya original pic inapatikana hapa
![]()
![]()
3. na ya mwisho original yake inapatikana hapa
![]()
![]()
Mnhhhh....kuna vijana wachache wapigania chama chao, ili la Balali linawagusa pabaya. They will never give comments on this.
kuna uwezekano wewe ni miongoni mwa wanaepaNdugu yangu usiwe na hasira, kwani kila kifo hapa tanzania kinachukuliwa kwenye mavideo au mapicha? sio vyema kukumbusha majonzi yaliyotukuta.
![]()
Sio photo shop hii?
acha unafiki na wewe!kwani kujadili kitu kuna mwisho mawazo hubadirika!walicho jadili jana chaweza kuwa tofauti na cha leo!!