Balali yuko HAI - He is not dead

Balali yuko HAI - He is not dead

Status
Not open for further replies.
hahahahaha! Mods wamevua watu nguo humu! most interested Zomba = Ribosome!!!

Acheni multiple IDs jamani lol!
 
hii photoshop...tuache ushabiki..kwani huoni huo mkanda mwekundu shingoni ama?
 
Kurudi kwa balali au uwepo wake ni sumu kwa serikali ya Jakaya zaidi ya maandamano ya chadema! Ikumbukwe serikali yetu ndo iliyo confirm kifo chake na bwana mkubwa kuudhuria mazishi ya filamu hiyo,so kama balali yupo sina shaka Kikwete ataondoka magogoni mwenyewe kimyakimya,kama unaweza mlete ata kesho nchini then utaniamini ninachosema,
 
Kwa mtu mwenye akili timamu, haiingii akilini kuambiwa Balali kafa never.
Wewe ni Mtanzania Gavana wa Benki kuu ya Tanzania ufe Marekani eti UZIKWE hukohuko kwa sababu gani? Hakuna hata ndugu, rafiki, mke, mtoto, mwakilishi wa serikali, picha hata moja ya mazishi kwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania? Uwongo mwingine jamani tuache.

Unaweza ukamfanya mtu mjinga kumbe wewe ndiyo mjinga zaidi.
 
Ni kweli Balali amechoka kukaa mafichoni ameamua kufa kiukweli sasa, atakuwa ameamua acha waniuwe sasa natoka mafichoni
 
Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, sisi yetu macho na masikio.
 
Kajificha mahali anakula kuku zake kwa mrija. Hakuna ushahidi wowote wa kuonyesha kwamba alikufa.

Siamini. I will be a doubting Thomas until I see pictures be them black or of Asian type.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kama yuko haia itajulikana tu, ninachoshangaa ni kwamba Jf Ina members mpaka chini ya uvungu iwe je habari za balali zisijulikane? Huwa namsikitia sana huyu mzee kwa kitendo chake cha kuacha kazi yake ya maana IMF na kuja kufanya siasa bongo ambazo zimemcost kama sio maisha yake basi Uhuru wake.
 
Wanajamii nimepata tetesi kuwa dr balali aliyekuwa gavana wa benki kuu ya tanzania haijulikani alipozikwa na hata ndugu zake hawakuudhuria mazishi yake wala serikali haikutuma mwakilishi nataka kujua kama alizikwa au ilikuwaje?

Aliyekutangazia kifo chake ni nani? Hata mbwa wa jirani yako aliyekuwa anakubwekea ukipita uchochoroni usiku akifa tu, jirani anakuambia, sembuse mtu mkuu kama Balali, aliyewahi kuweka sahihi yake juu ya noti ya Tz. Afe, tusiambiwe! Tusionyeshwe hata just a clip of his burial! Mbona mna maneno mengi wa TZ. Aje hapa kufanya nini? Akitaka hata kukaa na familia yake yoote, nani atamzuia? Alijua, angerudi hapa tu, Serikali hii isingekuwepo.
Waliingia kwa hila wanaishi kwa hila siku zao zote.
 
Osama bin Laden hakufa bado anaishi
Balali yuko hai anadunda unyamwezini
JFK yuko hai kule kwenye kijiji kimoja karibu na Andes mountains-South America
Hitler bado yu hai somewhere in Argentina
2Pac hakufa atarudi baada ya miaka 7x7, amejificha.
Bruce Lee bado yuko hai na hakufa
Elvis Presley yuko hai hakufa na atajitokeza
Nyerere yuko hai
Kenyatta yuko hai

..............................Msipokuwa makini na hizi conspiracy theories mtavuruga akili zenu. Is up to you whether to believe or not!
 
Nimekutana nae bar leo jioni anapiga kanana Bariiidi kwa kwenda mbele
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom