Balali yuko HAI - He is not dead

Balali yuko HAI - He is not dead

Status
Not open for further replies.
kwa mtu mzima kama mimi uwezi kunitania balali kafa
ukweli ni kwamba balali kafichwa na ****** maana hakitokea tu
na uraisi umemwagika na majibu magumu ya kagoda tutayajua

nani alichukua nini tutajua nahisi kalipwa vibilioni kadhaa huyo
kwa misingi hii mimi natabiri mgombe urasi wa sisi mwaka 2015
ni LOWASA
itakuwa ngumu sana kumeza hii kesi ya balali jk lazima hataachia tu wakifika
kwenye ukweli kuhusu swala hili. mafisadi lazima wamvue gamba yeye,
kuna kada wa sisi waliwahi kuniambia kifo cha ccm ni 2015 kwenye kura za maoni urasi

kila nikisikiza story za kujivua gamba na siasa za jk kwa ujumla
nakumbuka kisa kimoja cha mtu na kaka yake
mtoto mkubwa alikuiwa anaosha vyombo kila siku hata ikiwa zamu ya mdogo wake
baada ya hapo anamsukuma kwenye tolori mpaka alizike, wazazi walisoma sana haya matukio na kushindwa
kuelewa kwa nini mkubwa anagandamizwa na mdogo wake

siku moja mtoto mkubwa alipochoka kutumikishwa alitopoa siri kwamba yeye ndiye aliua jogoo kwa manati na
dogo anajua hiyo siri na kwa misingi hiyo alitakiwa kuwa mtumwa wa dogo ili afiche siri la sivyo anaunguza utambi
wazazi kusikia hivyo wakampa kipondo dogo kwa kuwa katili kwa mwenzake bila huruma maanajogoo hakuwa wake

wananchi tunajua jk kabanwa na EL kwa kuficha kitu furani na ni hii issue ya balali
jk kamficha huyo bwana
 
is it? Ka yuko hai hilo ni bonge la movie ila this time itakula kwa CCM
 
walimtumia mzee wa watu kinguvu nguvu kisha kumtupilia mbali walivyoona anataka weka ukweli hadharani.
 
HIYO SAFI SANA,ETI JAMAA AMEFARIKI KWA HESHIMA YAKE KUBWA VILE WALISHINDWA KUONYESHA HATA SHUGHULI YA MAZISHI YAKE AU SURA YAKE KWA MARA YA MWISHO
IT IS BETA RACHEL's wakamwaga mboga na ugali ili tuone umafia wa ccm.
 
Hapana jamani tusi-fabricate stories Dk Balali (bila shaka) ni marehemu, ila ni kweli lazima umma wa watanzania upate uthibitisho.
Otherwise, itakula kwa JK na chama chake.
 
Hapana jamani tusi-fabricate stories Dk Balali (bila shaka) ni marehemu, ila ni kweli lazima umma wa watanzania upate uthibitisho.
Otherwise, itakula kwa JK na chama chake.

Bila shaka???!!! Hata wewe unafabricate maana huna uhakika.
 
Ee! Yetu macho tusubiri na wakati tunasubiri tuamini amekufa.
 
Wakati tunaendelea na kuumiza vichwa juu ya ufisadi CCM na serikali yake na mafisadi, kuna habari za kuaminika kwamba aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu yaani BALALI yupo na anakula BATA SWEDEN.. I WILL COME BACK
Mimi toka walete habari za kifo chake ile 2007/2008 nilijua ni uongo, toka kipindi kile nilijua watanzania tunadanganywa. Sijui logic ya kudanganywa kwetu ni ipi bt ukweli twadanganywa.. Mkuu wa kaya kadanganya wanafamilia, katudanganya sisi.. Ni jambo la kustaajabisha na kufedhehesha bt tumeisha danganywa tayari. Anyway haya mambo yatakwisha, ukweli utajulikana pia! MUNGU WABARIKI WANANCHI WA TANZANIA MASIKINI.
 
Jamani wana JF sijui kama nanyi mlisha isikia hii! nitaanzia mbali mpate picha

Juzi baada ya kazi ni niliingia sehemu furani kupata chakula ilikuwa mida ya mchana, kwakuwa ni katikati ya mji kulikuwa na wafanya kazi wengi kidogo pale.

kama mnavyojua wabongo na story za siasa kwa hivi sasa ni balaa, basi kukawa na kundi furani linazungumzia Tume zisizo leta majibu za Tanzania, katika matukio mbalimbali. Dada mmoja akauliza hivi ule uchunguzi wa mauaji ya Prof aliyeuawa kwa risasi mlangoni kwake nao bado eeh?

hapa ndipo sasa tittle yangu inapoanzia! jamaa mmoja kajibu akasema haiwezi letwa habari hiyo hata siku moja kwani:

YULE PROFESA ALIUWAWA BAADA YA KUTEMBELEA MAREKANI KATIKA JIMBO FURANI HUKO ALIMWONA GAVANA WA B.O.T ANAYEDAIWA KUFA, KISHA AKAJA KUMWAMBIA BOSI WAKE PALE UD, KUHUSU ALICHOKIONA, mmh BOSI AKANYANYUA KITU MKONGA (TTCL) MPAKA KWA MKUU WA KAYA.

jamaa kaendelea kutonya: HAPO NDO MAUTI IKAWA ADHABU YAKE !

MMH ILIKUWA MPYA KWANGU NIkaAZIMIA KUWAULIZA GREAT THINKER'S JE! MLISHA ISKIA HII? au imekaaje?
 
Dah...ngoja kwanza nimeze funda la mate hapa.

imaginationnn.jpg
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom