Balali yuko HAI - He is not dead

Balali yuko HAI - He is not dead

Status
Not open for further replies.
Na wewe wataku-Kolimba,shauri yako.Kwani wewe hujui kwamba Balali hajafa mpaka upige kelele.
Jamani wana JF sijui kama nanyi mlisha isikia hii! nitaanzia mbali mpate picha

Juzi baada ya kazi ni niliingia sehemu furani kupata chakula ilikuwa mida ya mchana, kwakuwa ni katikati ya mji kulikuwa na wafanya kazi wengi kidogo pale.

kama mnavyojua wabongo na story za siasa kwa hivi sasa ni balaa, basi kukawa na kundi furani linazungumzia Tume zisizo leta majibu za Tanzania, katika matukio mbalimbali. Dada mmoja akauliza hivi ule uchunguzi wa mauaji ya Prof aliyeuawa kwa risasi mlangoni kwake nao bado eeh?

hapa ndipo sasa tittle yangu inapoanzia! jamaa mmoja kajibu akasema haiwezi letwa habari hiyo hata siku moja kwani:

YULE PROFESA ALIUWAWA BAADA YA KUTEMBELEA MAREKANI KATIKA JIMBO FURANI HUKO ALIMWONA GAVANA WA B.O.T ANAYEDAIWA KUFA, KISHA AKAJA KUMWAMBIA BOSI WAKE PALE UD, KUHUSU ALICHOKIONA, mmh BOSI AKANYANYUA KITU MKONGA (TTCL) MPAKA KWA MKUU WA KAYA.

jamaa kaendelea kutonya: HAPO NDO MAUTI IKAWA ADHABU YAKE !

MMH ILIKUWA MPYA KWANGU NIkaAZIMIA KUWAULIZA GREAT THINKER'S JE! MLISHA ISKIA HII? au imekaaje?
 
muhudumu ebu niongeze SERENGETI baridiiiiiiiiiiiiii..mwambie na huyo mangi hapo jikoni huo mchemsho wangu bado tu!asinilushie stimu zangu kabisa nimezigharamia
 
Binafsi nilisikia hivyo hivyo kwamba vc chancellor lipoambiwa akamtonya ****** kwamba jamaa kamba Mwaikusa ameshajua ukweli kuhusu balali na anaongea kwa watu. Nyeti zinadai kuwa hata Baregu aliambiwa na Mwaikusa
 
nchi hii sishangai kusikia kuwa balali yupo.kama watu walikataa kuwa richmond ni kampuni bubu kubwa,hakuna wizi wa epa BOT baada ya kutolewa na dr slaa.Haya kwa tz yanawezekana kabisa.enyi wana janvi,endelea kufuatilia ili na mwisho mungu atawaumbua.Tunasubili watangaze kuilipa dowans ili moto uwake nchi nzima.usaniiwa wanamagamba karibia unakaribia mwisho.
Kuhusu dowans,magamba wanajiuliza watumie lugha gani wana-TZ tukubali,yaani wanajishauri kama mtoto wa kike anayejianda kumtaarifu baba yake kwamba katimuliwa shule bcoz ana mimba.
 
Wakubwa hawafi bali wanapelekwa ulaya na huko wanazaliwa upya eit eeeee
 
Wakati wanaojidai wapiganaji wanaongea siasa,

si wapiganaji mama yangu ni wapigamaji
 
Kutunza uongo ni kazi mno,ipo siku umma utajua ukweli upoje?
 
Angalia na ww mkuu usije ukanyanyuliwa kitu mkonga(TTCL) mpk kwa mkuu w kaya 2kakukosa jamvini hiv hiv!!!
 
Jamani wana JF sijui kama nanyi mlisha isikia hii! nitaanzia mbali mpate picha

Juzi baada ya kazi ni niliingia sehemu furani kupata chakula ilikuwa mida ya mchana, kwakuwa ni katikati ya mji kulikuwa na wafanya kazi wengi kidogo pale.

kama mnavyojua wabongo na story za siasa kwa hivi sasa ni balaa, basi kukawa na kundi furani linazungumzia Tume zisizo leta majibu za Tanzania, katika matukio mbalimbali. Dada mmoja akauliza hivi ule uchunguzi wa mauaji ya Prof aliyeuawa kwa risasi mlangoni kwake nao bado eeh?

hapa ndipo sasa tittle yangu inapoanzia! jamaa mmoja kajibu akasema haiwezi letwa habari hiyo hata siku moja kwani:

YULE PROFESA ALIUWAWA BAADA YA KUTEMBELEA MAREKANI KATIKA JIMBO FURANI HUKO ALIMWONA GAVANA WA B.O.T ANAYEDAIWA KUFA, KISHA AKAJA KUMWAMBIA BOSI WAKE PALE UD, KUHUSU ALICHOKIONA, mmh BOSI AKANYANYUA KITU MKONGA (TTCL) MPAKA KWA MKUU WA KAYA.

jamaa kaendelea kutonya: HAPO NDO MAUTI IKAWA ADHABU YAKE !

MMH ILIKUWA MPYA KWANGU NIkaAZIMIA KUWAULIZA GREAT THINKER'S JE! MLISHA ISKIA HII? au imekaaje?

No comment...............
 
we have the guys in US who are currently tracking his whereabouts. time will tell if he is alive or gone 4rever.
 
Hili la Balali maadam tulishatangaziwa ya kuwa amefariki na amezikwa huko Marekani, tuliache maana hata suala la Sokoine lilikuwa na uzushi wa namna hiyo

Katuoneshe kaburi la Balali then tutaacha kuongelea suala la kifo chake!
 
Labda ndo alivyoshauliwa na wana inteligencia kuwa Tangaza kafa!
Kama bado yu hai basi ipo siku yatawekwa hadharani.
Ila uyu prof mnaemwongelea ni yupi?kama ni yule anayetoka kyela si watu walisemaga ni bse ya mambo ya rwanda na burundi zile kesi
 
Niliwahi kutonywa na jamaa m1 yuko kwenye taasisi moja muhimu hapa bongo akanambia, BALALI'S DEATH is UNREAL!
 
kwa taarifa tulizo nazo balali yuko hai na anaishi maisha mazuri tu
swali je ni nani afatilie hiyo story manake polisi wetu hawana exposure wala hawajui jinsi ya kufanya kazi kimataifa
ngoja tusubiri serikali ijayo wanaweza kufanyia kazi hilo
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom