Ivi kweeli tofauti ya hijab na mtandio ni nini? Okay hata kama kuna tofauti ivi ukimkamata mto mwenye makosa na akiwa amevaa hijabu, kanzu, bagalashia, au kola ya kiaskofu ndo umwache.?
Mi nazan tufike mahali tujue hakuna mtu aliye juu ya sheria ktk nchi hii. Kama wabunge haswa wa upinzani wanavyonyanyaswa mara kwa mara bila kujali hadhi yao ya ubunge( uwakilishi wa wananchi) iweje leo mteule tu wa rais anakamatwa kwa kuhusika ktk kuvuruga uchaguzi anatetewa kwa kisingizio cha mavazi ya kidini.
Tunakoelekea itafika mahali hata jambazi akikamatwa kavaa tasbihi au rozari basi watu mtataka kuandamana
hiyo roho ya udini na ishindwe ktk nchi hii. Na hao watu wanao ikuza na walegee kabisa.amen
Mi nazan tufike mahali tujue hakuna mtu aliye juu ya sheria ktk nchi hii. Kama wabunge haswa wa upinzani wanavyonyanyaswa mara kwa mara bila kujali hadhi yao ya ubunge( uwakilishi wa wananchi) iweje leo mteule tu wa rais anakamatwa kwa kuhusika ktk kuvuruga uchaguzi anatetewa kwa kisingizio cha mavazi ya kidini.
Tunakoelekea itafika mahali hata jambazi akikamatwa kavaa tasbihi au rozari basi watu mtataka kuandamana
hiyo roho ya udini na ishindwe ktk nchi hii. Na hao watu wanao ikuza na walegee kabisa.amen