Kwani nyerere asingezaliwa Tanzania tusingepata Uhuru?Nyerere angeogopa na kukaa kimya baada ya kuwekwa mahabusu sijui kama leo ungekuwa unaanzisha thread namna hii katika nchi inayoitwa Tanzania.
Tatizo wewe ndio umeanza swali kwa ngonjera!Sijui kwa nini tu watu huwa hawajibu maswali.
Unamuuliza hiki yeye halafu yeye anakuja na ngonjera nyingine kabisa!
Ndo maana tuna mambo kama hayo ya UKUTA.
Huu mtego waliowekewa Chadema wangeingia mkenge ndio ungekuwa mwisho wao.Mimi nina imani na CHADEMA.
Nyani Ngabu tengeneza uzi mwingine wenye vitufe vya ku vote ili research yako iwe na Maana
Naomba tusikate tamaa mapema mkuuDah!
Sasa we mshikaji povu linakumwagika hadi unashindwa hata kuandika vizuri.
Safari ijayo msijenge ukuta wa matofali ya udongo.
Mbona nyie mlikuwa mnapiga kelele kwenye Instagram huko na siku moja kabla ya siku ya siku ujumbe umepenyeza.
Ona hawa wenzio....hivi kweli wamekaa hata mkao wa ku rumble hawa?
RuttashobolwaSwali ni bado wapo wenye imani na chadema?
KWANINI MBOWE ALIANZISHA MOVEMENT AMBAYO HAIWEZI??Mabavu Mbele ya Polisi Yangeleta Maafa Pande Zote!Hivi Watu Wakifa Faida ya Nani?
Kama Magufuli Atapita na Tingatinga Lake Kwa Ulaisi Baada ya UKUTA Kuhairishwa,Mbona Alipaniki Kuhusu UKUTA Hata Baada ya Bavicha Kushindwa Kwenda Dodoma?
Wengi Wanao Mdhihaki Mbowe Lengo Lilikuwa ni Kutaka Waone Watu Wakipigwa na Damu Kumwagika!
Aweke kama vipi!!!Mie Nina Imani na CHADEMA!
Kama Vipi Ebu Weka "Poll" Tupige Kura kati ya Wanaoiamini na Wasio iamini!
Wanatazama matukio hawaangalii factMabavu Mbele ya Polisi Yangeleta Maafa Pande Zote!Hivi Watu Wakifa Faida ya Nani?
Kama Magufuli Atapita na Tingatinga Lake Kwa Ulaisi Baada ya UKUTA Kuhairishwa,Mbona Alipaniki Kuhusu UKUTA Hata Baada ya Bavicha Kushindwa Kwenda Dodoma?
Wengi Wanao Mdhihaki Mbowe Lengo Lilikuwa ni Kutaka Waone Watu Wakipigwa na Damu Kumwagika!
Mkuu binafsi nadhan nchi ikiingia kwenye machafuko yeyote ni doa kubwa sana.. Kuja kuiweka Sawa na hapo kugombana wenyewe kwa wenyewe Ndio Ugaid unapoanzia na tutayumba kwa uchumi nadhan bado kuna nafasi ya kumaliza kwa mazungumzo kwaajili ya usalama wa watanzania...
ha ha ha Nakunywa Whsky yangu hapa taratibu nacheka kwa dharauu. Nyani nilikwambia hakuna UKUTA nilikwambia Mbowe msanii huyu atabadiri tu GIA Angani.. karibu karibu Glass ya WhskyNyie endeleeni kuzungusha mikono tu.
Ccm ndio imeangukia pua mgongoni mwa hao unaowaita vijana wa ngosha, tena nadhani wewe hukusoma hata elimu ya uraia maana ungejua yakuwa kwamba ngosha hana vijana bali vijana hao ni mali ya wananchi wa Tanzania yeye akimaliza miaka yake mitano ya hapo alipo atarudi kuwa mwananchi kama wengine.
Chadema wamethibitisha udume wao kwa kuwahenyesha hao vijana maana wamewabadirishia ratiba za kazi zao za kila siku lakini kuwapunguza vitambi vya tangia awamu zilizopita.
Katika hili nahisi hata ngosha kafurahi hasa ukizingatia yeye ni bingwa wa pushups hivyo kuwa na vijana wenye vitambi haiswihi.
Hili ccm hawawezi kuamrisha hawa vijana kubadiri ratiba hata kidogo!