Kwa mtazamo wangu vyama vya siasa navilinganisha na timu za mpira pale usajili unapozidi,kuna kuwa na lundo lacwachezaji wanaokaa benchi,kumbuka unapohamia timu fulani unakuta kunawakingwe ambao pia hawapati namba,sasa kwenda sasa kusajiliwa timu hiyo kutapelekea chuki,uchawi na usaliti,kwani wakongwe hawatokubali wageni wapate namba,naiona chadema yangu km timu inayokimbiwa na baadhi ya wachezaji wake nyota,hili halinipi wasiwasi kwani kuna damu changa inayohitaji kupata nafasi ya kuonyesha uwezo wao,naamini 2020,wataibuka vijana mashujaa ndani y Chadema wataofanya maajabu ktk uchaguzi,wacha wahame lkn chadema itazidi kuimarika,sisi wananchi ndio tunajua hali halisi ya maisha ,kuhama kwa wapinzani hakutoathiri safari y Mabadiliko