Bado wapo wenye imani na CHADEMA?

Bado wapo wenye imani na CHADEMA?

Nyerere angeogopa na kukaa kimya baada ya kuwekwa mahabusu sijui kama leo ungekuwa unaanzisha thread namna hii katika nchi inayoitwa Tanzania.

Ni nani huyo anayefananishwa na Baba wa taifa????!!! Nyerere had a cause, sasa hawa CHADEMA do they have a cause??? Upo wakati walikuwa wanapambana dhidi ya UFISADI, baadaye wakabadili gear angani, sasa wamekuja eti kupigania demokrasia na kuondoa kile wanachoita 'udikteta'...lakini kumbe wao wenyewe ndani ya CHADEMA hawana demokrasia na halafu maamuzi yao mengi ni ya kidikteta....
 
Kitendo cha kumleta Lowasa na kumfanya kuwa mgombea Urais, palepale nilipoteza imani na Chadema.

Ila inaniuma sana chama kilichokuwa kinatetewa na kila mtanzania mpenda mabadiliko kinaenda kufa kifo cha mende.

Itatuchukua miaka mingi kupata chama kitakachowashika watanzania mioyoni mwao kama Chadema.!
 
Hata ww bado una IMANI. Ndiyo maana umepata muda wa kujadili.
 
Hawa CHADEMA ndo basbi tena.

Naona wapo kwenye mwendokasi wa kuelekea kaburini.

Hii si mara yao ya kwanza kuwapandisha watu mzuka halafu wanaishia kubadili gia angani na kuwaacha watu wakining'inia.

Nani tena atawaamini hawa jamaa? Manake baada ya kuwaaminisha watu kwa miaka mingi kuwa Lowassa ni fisadi, matokeo yake ndo akaja kuwa mgombea wao. Mamlaka ya kimaadili ya kukemea ufisadi wakayapoteza.
Baada ya kuwapandisha watu mzuka wa UKUTA, leo wameufyata mbele ya Ngosha.

Sasa eti wametangaza hayo maandamano yatafanyika Oktoba mosi.

Watampata nani hiyo Oktoba mosi? Wake, waume, na watoto wao?

Wameishiwa kabisa. Hawana jipya tena. Hawana dira wala mwelekeo wowote ule.

Mtu afadhali unaweza kusema kuwa kabla ya ujio wa Lowassa kwamba watu walijua wanasimamia nini na wanasimama wapi.

Lakini leo hii nani anayejua wanachokisimamia? Nani anajua wanaposimama?

Walishindwa hata kuwashawishi wapinzani wenzao kuwaunga mkono ki hali na ki mali kwenye huo UKUTA wao. Wengine wakadiriki hadi kuwatakia kila la kheri na kuwaahidi kuchangia damu endapo wangehitaji baada ya kupokea kichapo cha vijana wa Ngosha.

Matokeo yake tingatinga limepita na kuusambaratishia mbali.

Wanahitaji uongozi mpya wenye maono mapya la sivyo wataenda bye bye for good.
Furaha yako ulitaka uone vijana wamejeruhiwa au kuuliwa kwenye maandamano? Hata shetani hawezi kuwa na mawazo mabaya kiasi hicho! Imeandikwa,heri wapatanishi maana hao watauona ufalme wa mungu na wahenga walisema heri nusu shari kuliko shari kamili.
 
Hawa CHADEMA ndo basi tena.

Naona wapo kwenye mwendokasi wa kuelekea kaburini.

Hii si mara yao ya kwanza kuwapandisha watu mzuka halafu wanaishia kubadili gia angani na kuwaacha watu wakining'inia.

Nani tena atawaamini hawa jamaa? Manake baada ya kuwaaminisha watu kwa miaka mingi kuwa Lowassa ni fisadi, matokeo yake ndo akaja kuwa mgombea wao. Mamlaka ya kimaadili ya kukemea ufisadi wakayapoteza.

Baada ya kuwapandisha watu mzuka wa UKUTA, leo wameufyata mbele ya Ngosha.

Sasa eti wametangaza hayo maandamano yatafanyika Oktoba mosi.

Watampata nani hiyo Oktoba mosi? Wake, waume, na watoto wao?

Wameishiwa kabisa. Hawana jipya tena. Hawana dira wala mwelekeo wowote ule.

Mtu afadhali unaweza kusema kuwa kabla ya ujio wa Lowassa kwamba watu walijua wanasimamia nini na wanasimama wapi.

Lakini leo hii nani anayejua wanachokisimamia? Nani anajua wanaposimama?

Walishindwa hata kuwashawishi wapinzani wenzao kuwaunga mkono ki hali na ki mali kwenye huo UKUTA wao. Wengine wakadiriki hadi kuwatakia kila la kheri na kuwaahidi kuchangia damu endapo wangehitaji baada ya kupokea kichapo cha vijana wa Ngosha.

Matokeo yake tingatinga limepita na kuusambaratishia mbali.

Wanahitaji uongozi mpya wenye maono mapya la sivyo wataenda bye bye for good.
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa akaunti ya nyani ngabu anaitumia yeye mwenyewe. Ni juzi alitetea Lema kuhatarisha afya yake kwa kugoma kula akishinikiza dhamana sasa leo aandike hivi? Big no
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa akaunti ya nyani ngabu anaitumia yeye mwenyewe. Ni juzi alitetea Lema kuhatarisha afya yake kwa kugoma kula akishinikiza dhamana sasa leo aandike hivi? Big no

Mimi nilimtetea Lema kuhatarisha afya yake kwa kugoma kula akishinikiza dhamana?

Haya, kiuungwana kabisa naomba unionyeshe mahala nilipomtetea huyo bwana kwa namna ulivyoielezea wewe.

Tafadhali sana.
 
Washawajua waguas wao n watu wa kukubal tu kila ktu, ndio maana wanacheza na akl zenu tu
 
Ndio mnashtuka leo? Wengjne tulishakosa imani miaka mingi .... Wengine mkawa kina Thomas hakubali ya kuambiwa wala hamshauriki hadi mjionee wenyewe.

Haya sasa wako wapi waliombeza Dr Slaa?
Wera wera; tieni akili sasa.
 
Back
Top Bottom