hahaaaaaaaaaaaaaaa si afadhali hakuna maandamano,watu watajikalia nyumbani,JE HAO MAPOLISI WALIOJIANDAA NA MITUTU,MABOMU huoni hao ndio wamefanywa makanya boya Zaidi hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa embu nicheke mie,nchi ina maigizo hii hakuna.
mie sina Imani na chadema.nina Imani na LOWASA peke yake,lol huyo baba angejitoa kwenye hilo kundi la chadema/ukawa,sio la hadhi yake,infact angeandaa chama chake mwenyewe kuelekea 2020,hivi sasa wanamtia madoa tu.
CHADEMA km upinzani umewashinda,its time to work na government na sio against,pale serikali inapokosea muikosoe ila ikifanya mazuri pia muipongeze,i think if you really want chadema iendelee,leteni solution ama alternatives za mambo mbali mbali yanayoikabili elimu,afya,usafi etc