MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Juma Khatib ( Antonio Nugaz ) alipokuwa Yanga SC...
"Haji Manara hana uwezo na bado kabisa hajaweza kumfikia Antonio Nugaz kwa Kuhamasisha, Kushawishi na kupiga Madongo ya maana na huyu ndiyo kiboko yake"
Juma Khatib ( Antonio Nugaz ) baada ya kuondoka Yanga SC Jana...
"Haji Manara hana Mshindani hapa Tanzania kwani ana Karama ya Kipekee na hata Antonio Nugaz kuachwa Yanga SC hakuna pengo kwani alikuwa hata bado hajamfikia Manara na pia Nugaz hana Mvuto wa Kiushawishi"
Sasa naanza kuyaamini maneno aliyoyasema Rais Mstaafu Hayati Mkapa Kipindi chake kuwa Waandishi wa Habari ( Watangazaji wamo ) kuwa ni Wapumbavu na wanatakiwa Kujitathmini na Kubadilika upesi.
"Haji Manara hana uwezo na bado kabisa hajaweza kumfikia Antonio Nugaz kwa Kuhamasisha, Kushawishi na kupiga Madongo ya maana na huyu ndiyo kiboko yake"
Juma Khatib ( Antonio Nugaz ) baada ya kuondoka Yanga SC Jana...
"Haji Manara hana Mshindani hapa Tanzania kwani ana Karama ya Kipekee na hata Antonio Nugaz kuachwa Yanga SC hakuna pengo kwani alikuwa hata bado hajamfikia Manara na pia Nugaz hana Mvuto wa Kiushawishi"
Sasa naanza kuyaamini maneno aliyoyasema Rais Mstaafu Hayati Mkapa Kipindi chake kuwa Waandishi wa Habari ( Watangazaji wamo ) kuwa ni Wapumbavu na wanatakiwa Kujitathmini na Kubadilika upesi.