GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,177
Wanatumia muda mwingi Kumtetea huku pia wakiwatafuta Mawakili wenye Uyanga kutoa Ufafanuzi wa Hukumu iliyotolewa na Poti ( Mkurya ) kutoka Kwetu Mkoani Mara ( Musoma )
Watangazaji wa Kipyenga Extra East Africa Radio na wale wa Kipindi cha Michezo cha Usiku cha East Africa Radio nawaonyeni mapema acheni Uyanga wenu na Kutumika kwani wengine hapo tunawajua Binafsi na Madhaifu yenu sawa?
Mmejaa tu Unafiki na Kuipendelea Yanga SC yenu kwakuwa tu Wote hapo mpo katika Payroll ya GSM huku wengine tunawajua mnajikomba kwa Haji Manara kwakuwa mkikosa Pesa za Kodi huko Mlikopanga huwa mnaenda Kumpiga Mizinga.
Kila mara mnang'ang'ania tu kuwa akakate Rufaa au akikata Rufaa atashinda. Je, nyie ndiyo Mahakimu? Je, mna background yoyote ya Sheria na Vifungu vyake?
Njaa zenu hapo East Africa Radio ambako huwa mnacheleweshewa Mishahara hata Miezi 10 na wengine mpo mpo tu Kazi ni Kupiga Watu ( hasa Maarufu ) Mizinga itawatokea Puani.
'Hopeless' wakubwa nyie. Halafu mwambieni huyo Wakili ( Mwanasheria ) Victor ( ambaye hakuna asiyemjua kuwa ni mwana Yanga SC ) anayeongea sasa kwa njia ya Simu kuwa Mtuhumiwa akiwa na Wakili wake hata kama Yeye ( Haji Manara ) alikuwa na Udhuru bado Wakili wake ( Mwakilishi ) angetosha kuwa mbele ya Kamati ya Maadili na ndicho kilichofanyika Jana.
Kuanzia sasa nitawadharau sana tu.
Watangazaji wa Kipyenga Extra East Africa Radio na wale wa Kipindi cha Michezo cha Usiku cha East Africa Radio nawaonyeni mapema acheni Uyanga wenu na Kutumika kwani wengine hapo tunawajua Binafsi na Madhaifu yenu sawa?
Mmejaa tu Unafiki na Kuipendelea Yanga SC yenu kwakuwa tu Wote hapo mpo katika Payroll ya GSM huku wengine tunawajua mnajikomba kwa Haji Manara kwakuwa mkikosa Pesa za Kodi huko Mlikopanga huwa mnaenda Kumpiga Mizinga.
Kila mara mnang'ang'ania tu kuwa akakate Rufaa au akikata Rufaa atashinda. Je, nyie ndiyo Mahakimu? Je, mna background yoyote ya Sheria na Vifungu vyake?
Njaa zenu hapo East Africa Radio ambako huwa mnacheleweshewa Mishahara hata Miezi 10 na wengine mpo mpo tu Kazi ni Kupiga Watu ( hasa Maarufu ) Mizinga itawatokea Puani.
'Hopeless' wakubwa nyie. Halafu mwambieni huyo Wakili ( Mwanasheria ) Victor ( ambaye hakuna asiyemjua kuwa ni mwana Yanga SC ) anayeongea sasa kwa njia ya Simu kuwa Mtuhumiwa akiwa na Wakili wake hata kama Yeye ( Haji Manara ) alikuwa na Udhuru bado Wakili wake ( Mwakilishi ) angetosha kuwa mbele ya Kamati ya Maadili na ndicho kilichofanyika Jana.
Kuanzia sasa nitawadharau sana tu.