Watangazaji wa Michezo katika Redio na Tv pamoja na Wachambuzi acheni 'Kutudanganya' kuhusu Yanga SC na huu sasa ndiyo Ukweli...

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,385
108,455
Siku chache tu zijazo Yanga SC inatimiza mwaka Mmoja tu (ila siyo Msimu) wa Kucheza Ligi Kuu bila ya Kufungwa.

Tayari kuna baadhi ya Watangazaji wa Michezo wa Redio na Television bila kuwasahau na Wachambuzi wa Michezo ambao pembeni yao Wakidanganywa taratibu na Afisa Habari wa Yanga SC (Comrade wangu) katika Fani ya Habari na Mawasiliano Hassan Bumbuli kuwa Yanga SC ndiyo Timu pekee iliyotimiza Mwaka Mmoja (Siku zote 365) bila ya Kufungwa na kwamba pia ndiyo Timu ambayo inaelekea ( japo bado ) kuuchukua Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC bila Kufungwa Mechi hata Moja.

Haya nami GENTAMYCINE nawawekeni sawa kuwa Tanzania nzima ni Timu Moja tu ambayo ndiyo imeweka na inashikilia hadi Leo hii kuweka Rekodi ya Kucheza Ligi Kuu (tena kwa Misimu Miwili) bila Kufungwa ambapo ilifanya hivyo mwaka 2004 ikiwa chini ya Kocha Mkenya Marehemu Aggrey Siang'a na mwaka 2008 chini ya Kocha Mzambia Patrick Phiri.

Haya endeleeni Kuwadanganya Wadau.
 
Haya nami GENTAMYCINE nawawekeni sawa kuwa Tanzania nzima ni Timu Moja tu ambayo ndiyo imeweka na inashikilia hadi Leo hii kuweka Rekodi ya Kucheza Ligi Kuu ( tena kwa Misimu Miwili ) bila Kufungwa ambapo ilifanya hivyo mwaka 2004 ikiwa chini ya Kocha Mkenya Marehemu Aggrey Siang'a na mwaka 2008 chini ya Kocha Mzambia Patrick Phiri.
Kwa tulio na takwimu sahihi zaidi yako unayedanganya sambamba na wachambuzi wako, tunasema hata Azam Fc ilichukua ubingwa wa 2013/2014 bila kupoteza hata mechi moja

1649411407401.png
 
Hapo kweny table Yako, unamuonaje kolo fc, hakushnda hata mech moja za mwsho, kat ya5, wote alowazd wevunja record yy sasa🤣🤣🤣
Kwa tulio na takwimu sahihi zaidi yako unayedanganya sambamba na wachambuzi wako, tunasema hata Azam Fc ilichukua ubingwa wa 2013/2014 bila kupoteza hata mechi moja

View attachment 2180321
 
Hapo kweny table Yako, unamuonaje kolo fc, hakushnda hata mech moja za mwsho, kat ya5, wote alowazd wevunja record yy sasa🤣🤣🤣
Tunazungumzia rekodi ya kutopoteza mechi katika msimu mzima, sio katika mechi tano za mwisho. Mbona baadhi humu mmekuwa wagumu wa kuelewa kinachojadiliwa?
 
Hapo kweny table Yako, unamuonaje kolo fc, hakushnda hata mech moja za mwsho, kat ya5, wote alowazd wevunja record yy sasa🤣🤣🤣
Duu mbumbumbu FC walimaliza na alama 38
Simba wanahitaji pongezi kwa kweli. Walikuwa wanapata matokeo kwa tabu sana kutokana na kikosi chao, walipojipanga wakawa wanaogopwa barani Afrika. Sasa hivi hakuna timu inayofurahia kupangwa kukutana na Simba, iwe Al Ahly, Zamalek, Mamelodi Sundowns, Esperance de Tunis na wakali kama hao
 
Timu pekee iliyotimiza Mwaka Mmoja (Siku zote 365) bila ya Kufungwa na kwamba pia ndiyo Timu ambayo inaelekea ( japo bado ) kuuchukua Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC bila Kufungwa Mechi hata Moja
Huenda hili likatimia...
Haya nami GENTAMYCINE nawawekeni sawa kuwa Tanzania nzima ni Timu Moja tu ambayo ndiyo imeweka na inashikilia hadi Leo hii kuweka Rekodi ya Kucheza Ligi Kuu (tena kwa Misimu Miwili) bila Kufungwa ambapo ilifanya hivyo mwaka 2004 ikiwa chini ya Kocha Mkenya Marehemu Aggrey Siang'a na mwaka 2008 chini ya Kocha Mzambia Patrick Phiri.
Huenda hii rekodi ikawekwa pia na Yanga wakikomaa.
 
Simba wanahitaji pongezi kwa kweli. Walikuwa wanapata matokeo kwa tabu sana kutokana na kikosi chao, walipojipanga wakawa wanaogopwa barani Afrika. Sasa hivi hakuna timu inayofurahia kupangwa kukutana na Simba, iwe Al Ahly, Zamalek, Mamelodi Sundowns, Esperance de Tunis na wakali kama hao
Wana ogopa?kisa robo finally
 
Back
Top Bottom