MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Walichokuwa wakisema Wiki Moja kabla ya Kucheza na Congo DR leo na kupokea Kichapo cha Kishalubela ( Kikatili ) ni.....
"Congo DR ya sasa si lolote na chochote kwani Wachezaji wao wengi tunawajua na tunao hapa Tanzania. Congo DR watakufa kwa Mkapa na Kipigo Kwao hakikwepeki kwani kwa sasa Tanzania tuko vizuri na tuna Kikosi bora kuwahi kutokea katika Kipindi chote. Serikali ya Rais Samia nayo imeweka Mikakati na Hamasa Kubwa hivyo Congo DR watatutambua na Watanzania tujae Uwanjani"
Baada ya Kipigo cha Kikatili ( Kishalubela ) kutoka kwa Congo DR haya ndiyo wasemayo sasa....
"Congo DR wana Timu yenye Uwezo na Uzoefu mkubwa kuliko Tanzania. Taifa Stars ina Wachezaji dhaifu na hawajui nini cha Kufanya wakiwa Uwanjani. Kocha Kim Paulsen si Kocha mzuri na hata Wachezaji anaowaita si wazuri pia. Serikali ilifanya vibaya mno kuweka Hamasa Kubwa kwani iliwaathiri Kisaikolojia Wachezaji wetu. Safari ya kwenda Kombe la Dunia QATAR Mwakani wala haipo na tusidanganyane"
Nifikishieni salamu zangu nyingi kwa Vipindi vya Michezo vya Redio, Watangazaji na Wachambuzi wa Michezo kwa ..
Wasafi FM..Sports Arena
EFM...Sports Headquarters
Clouds FM... Hili Game na Sports Extra
East Africa Radio...Kipyenga Extra
Asanteni sana na mno tu Wakongomani.
"Congo DR ya sasa si lolote na chochote kwani Wachezaji wao wengi tunawajua na tunao hapa Tanzania. Congo DR watakufa kwa Mkapa na Kipigo Kwao hakikwepeki kwani kwa sasa Tanzania tuko vizuri na tuna Kikosi bora kuwahi kutokea katika Kipindi chote. Serikali ya Rais Samia nayo imeweka Mikakati na Hamasa Kubwa hivyo Congo DR watatutambua na Watanzania tujae Uwanjani"
Baada ya Kipigo cha Kikatili ( Kishalubela ) kutoka kwa Congo DR haya ndiyo wasemayo sasa....
"Congo DR wana Timu yenye Uwezo na Uzoefu mkubwa kuliko Tanzania. Taifa Stars ina Wachezaji dhaifu na hawajui nini cha Kufanya wakiwa Uwanjani. Kocha Kim Paulsen si Kocha mzuri na hata Wachezaji anaowaita si wazuri pia. Serikali ilifanya vibaya mno kuweka Hamasa Kubwa kwani iliwaathiri Kisaikolojia Wachezaji wetu. Safari ya kwenda Kombe la Dunia QATAR Mwakani wala haipo na tusidanganyane"
Nifikishieni salamu zangu nyingi kwa Vipindi vya Michezo vya Redio, Watangazaji na Wachambuzi wa Michezo kwa ..
Wasafi FM..Sports Arena
EFM...Sports Headquarters
Clouds FM... Hili Game na Sports Extra
East Africa Radio...Kipyenga Extra
Asanteni sana na mno tu Wakongomani.