Babu aliyetaka CCM ife kabla yake na kushangiliwa kwenye TV agongwa na gari na kufariki...

Kumbe wewe 'unazani,' huna uhakika...

Mtu makini hawezi ku-conclude kitu kama hicho kijana na ndio maana hata huyo MKJ kaiachia tungo yake ikielea ikielea elea bila mashiko na msomaji apachike mashiko hayo yeye mwenyewe!
 
Hii ndiyo laana yetu watanzania, kufikiri juu ya uchawi kabla ya kitu kingine. Adui wa maendeleo ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe. Inashangaza miaka 50 baada ya uhuru, imani za kishirikina bado zinapewa kipaumbele kiasi hiki. Haitashangaza kuona hii thread itaongoza kwa idadi ya wachangiaji leo na kuziacha mada chanya pembeni. Huu ni utumwa na wazungu wanatucheka sana kwa ujinga wetu.
 
Hoja iko wapi hapo? Kwamba CCM ni wachawi? Mods mnatoa uhuru uliopitiliza kwa kuruhusu imani hasi kama hizi kupenya kwenye hii site. Hili jukwaa limefanyiwa marekebisho lakini hata sioni faida yake. Sasa hii ilete hisia kwamba watu wote waliokufa wiki iliyopita, mwezi uliopita au mwaka uliopita wamerogwa na CCM?
we bwana mbona mchokonozi harafu mlalamishi weye????
kwani uliposema kafa kifo cha kawaida ni nini kilikweko nyuma ya kauli yako hii...??????
kwani ccm kuwa wachawi ni ajabu, uchawi si lazima uwange usiku hata viongozi wa ccm kula pesa haramu ni uchawi pia
kwani cha ajabu nini????? ikiwa waziri anafuja mali za umma tumwite ni mtakatifu???? nasema ccm wachawi hili halipingikia, ni kwa mwenda wazimu
tu ama anayependa kula vya kunyongwa na vyenye haruf ya damu za watu atapingana nami,,,,,,,,,,
 
Kikiingia chama kingine chaweza kuifuta CCM kutoka vitabuni na kupiga marufuku baadhi ya watu wake kujihusisha na siasa. So.... ningekuwa wewe nisingetumia neno 'milele' kwani ni presumptuous wa kujua vilivyobakia katika umilele. Hauna tofauti na alichosema huyo mzee. Unlee of course unajua milele itakavyokuwa.
Waambie hao!Hakuna kitakachokuwepo milele!
 
Mungu hachezewi, wapo waliomuunga mkono huyu kwa kauli yake ya kukufuru.
kusema chama kitakufa kabla yako sio kufuru, chama hakina uhai wa roho na mwili na hakikuumbwa na mwenyezi Mungu, ni dude tu la wanadamu na hivyo halina kifo cha kiumbe hai ila 'inaweza kuwa kufuru' kama tunamuingiza Mwenyezi Mungu katika uhai wa vyama vyetu.
 
Hii ndiyo laana yetu watanzania, kufikiri juu ya uchawi kabla ya kitu kingine. Adui wa maendeleo ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe. Inashangaza miaka 50 baada ya uhuru, imani za kishirikina bado zinapewa kipaumbele kiasi hiki. Haitashangaza kuona hii thread itaongoza kwa idadi ya wachangiaji leo na kuziacha mada chanya pembeni. Huu ni utumwa na wazungu wanatucheka sana kwa ujinga wetu.
Kwa taarifa yako hakuna wanaoendekeza na kuamini katika ushirikina kama wazungu,acha mawazo mgando!
 
Hoja iko wapi hapo? Kwamba CCM ni wachawi? Mods mnatoa uhuru uliopitiliza kwa kuruhusu imani hasi kama hizi kupenya kwenye hii site. Hili jukwaa limefanyiwa marekebisho lakini hata sioni faida yake. Sasa hii ilete hisia kwamba watu wote waliokufa wiki iliyopita, mwezi uliopita au mwaka uliopita wamerogwa na CCM?

Mbona unakua mkali? jamii ina watu tofauti wenye mawazo tofauti sasa vp utake mawazo ya aina moja tuu unayoyakubali wewe?
 
amekufa kifo cha kawaida tu

Hoja iko wapi hapo? Kwamba CCM ni wachawi? Mods mnatoa uhuru uliopitiliza kwa kuruhusu imani hasi kama hizi kupenya kwenye hii site. Hili jukwaa limefanyiwa marekebisho lakini hata sioni faida yake. Sasa hii ilete hisia kwamba watu wote waliokufa wiki iliyopita, mwezi uliopita au mwaka uliopita wamerogwa na CCM?
Kwa wajuvi wa mambo wewe unaweza kuisaidia polisi maana umebabaika sana unauliza hapohapo unajijibu.
 
ulishindwa kudumu utawala wa nebukadreza! Ije idumu ccm milele, acha uongo!

Hapo kwenye red isomeke hivi Nebukadreza yule Mkuu (the Great).

Ongeza na Utawala wa Rumi chini ya Julius Kaisari yule Mkuu na makaisari wengine wadogo wadogo, tawala za mafarao (the Pharaohs) wa Misri (Egyptian Empire), Utawala wa Ottoman, tawala mbali mbali za kiyunani, tawala mbalimbali za taifa la Israel, tawala mbalimbali za Uchina kuanzia na Han dinasty n.k. zote hizi zimekuja, zikaogofya, na kupita seuze CCM; utawala uliofitinika wenyewe?

Kufuru ya ajabu hii!
 
Hii ndiyo laana yetu watanzania, kufikiri juu ya uchawi kabla ya kitu kingine. Adui wa maendeleo ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe. Inashangaza miaka 50 baada ya uhuru, imani za kishirikina bado zinapewa kipaumbele kiasi hiki. Haitashangaza kuona hii thread itaongoza kwa idadi ya wachangiaji leo na kuziacha mada chanya pembeni. Huu ni utumwa na wazungu wanatucheka sana kwa ujinga wetu.
Mkuu nadhani ulikuwa na haraka katika kuchangia..mf..ume'conclude' uchawi..nani kasema uchawi humu?...sioni link kati ya uchawi na uadui wa mwafrika...Unadai thread itaongoza kwa wachangiaji...wakti na wewe umechangia....na hao wazungu wanaotucheka kwa uchawi..wametucheka mara ngapi kwa ubadhirifu na wizi....rejea..''issue'' ya Rada...nini bwana wakitucheka kwa utamaduni wetu...
 
Hii ndiyo laana yetu watanzania, kufikiri juu ya uchawi kabla ya kitu kingine. Adui wa maendeleo ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe. Inashangaza miaka 50 baada ya uhuru, imani za kishirikina bado zinapewa kipaumbele kiasi hiki. Haitashangaza kuona hii thread itaongoza kwa idadi ya wachangiaji leo na kuziacha mada chanya pembeni. Huu ni utumwa na wazungu wanatucheka sana kwa ujinga wetu.
umafia sio uchawi, unakumbuka kifo cha Praincess Diana na Dodi kifo chao huko ulaya hakikuvuta hisia za hao unaosema wanatucheka? Hata wao walisema si bure pana 'mkono' wa mtu, labda nikwambie tu kuna mambo mengi hatuyajui na hatujui kama hatuyajui na ndio maana hata wewe ukasema uliyoyasema
 
Nyie watu mnafanya utani lakini nyuma ya pazia kuna something "fishy" kama sio "meaty" katika kifo cha Mzee huyu....na bado tutaona mengi sana mwaka huu ukiachilia matrilioni na mabilioni sijui ya nani wa huko Arusha
 
Back
Top Bottom