Babu aliyetaka CCM ife kabla yake na kushangiliwa kwenye TV agongwa na gari na kufariki...

Mkuu, wacha kuwajengea watu hisia ambazo sizani kama zipo!!! Hata kama CCM na serikali yake ni Mafia namna gani; sizani kama wanaweza kupoteza muda na mtu mmoja kama huyo ambae hana influence yoyote.

kwanini unafikiria ni taariifa zinazohusiana na CCM na siyo madaktari, polisi, hospitali au mtu aliyemwokota a.ka Msamaria Mwema baada ya ajali? Nashangaa watu wameanza kuitetea CCM na serikali.. wassup with that? Si muda wote watu wanaifikiria au kuihofia CCM kihivyo.
 
MM, this is just an amaizing coincidence of an isolated event. Sio kazi ya 'the oparatives', now days, they don't oparate that way!.
RIP Mzee Mahimbo.

Umezungumza kwa uhakika mkubwa kwlei (absolute certainty) unajua aligonjwaje, wapi, na nani, na vipi? Vipi kuhusu huduma aliyopewa na majeraha aliyosuffer? au kwa mfano familia waliambiwa nini na madaktari kuhusu hali ya mgonjwa?
 
kwanini unafikiria ni taariifa zinazohusiana na CCM na siyo madaktari, polisi, hospitali au mtu aliyemwokota a.ka Msamaria Mwema baada ya ajali? Nashangaa watu wameanza kuitetea CCM na serikali.. wassup with that? Si muda wote watu wanaifikiria au kuihofia CCM kihivyo.
CCM ni kama simba mzee!!Haina lolote!!
 
Huyo kajichuria mwenyewe.

Nakumbuka katika kusherehekea miaka 75, Nyerere alisema hana sababu ya kufa kabla hajafika 100 kwani mama yake kafika.

Baada ya mwaka na alipokwisha jijua kuwa ana leukemia akabadili msemo akasema kisha pitisha muda wa kuishi ulioandikwa kwenye biblia.

Mungu hakajeliwi. Ni yeye tu ajuaye saa na dakika.

Hapo tungemuelewa. Walisema Titanic ni "unsinkable" kwa kufru zao, Mwenyeezi Mungu akaizamisha kwa pande la barafu tu, safari yake ya mwanzo kabisa (maiden voyage).

Huyu Mzee anaushirika na Mungu hata aseme kuwa yeye "hafi" mpaka CCM ife? asituletee kufuru zake hapa. Kafa "mungu" itakuwa yeye? au kuna mkiristo anaebisha hapa kuwa "mungu" hajafa?

Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/159600-babu-sitakufa-kabla-ya-ccm-kufa-2.html
 
tumeanza kuuana na lakini auaye kwa upanga naye atauawa kwa upanga................................mwisho wa ccm lazima damu nyingi itabidi kumwagika pamoja ya kuwa ndani ya ccm wanajidanganya ya kuwa wasemao haya ni wachochezi......................
 
yeah.. kingekuwa si cha kawaida tungejua, kama kile cha Salome Mbatia.

Kinakuwaje cha kawaida wakati mwisho umetuambia na nukuu "Nina details nyingine ambazo kwa wakati huu naziweka pembeni kwa makusudi - mwenye uwezo wa kujumlisha anaweza kuhisi". mwisho wa kunukuu.

Mie nimeshajumlisha na mimi pia jibu langu naliweka pembeni maksudi.
 
Labda isiwe ni hadithi kama ya Shimbo, maana huyu mtowa mada haaminiki kabiiisa kwa kutunga!
 
Umezungumza kwa uhakika mkubwa kwlei (absolute certainty) unajua aligonjwaje, wapi, na nani, na vipi? Vipi kuhusu huduma aliyopewa na majeraha aliyosuffer? au kwa mfano familia waliambiwa nini na madaktari kuhusu hali ya mgonjwa?

Majungu hayo.
 
Na wewe ni kitu gani kilichokupelekea kuripoti hicho kifo hapa? Kuna wazee wangapi wamekufa wiki hii ambao hatuna habari zao?

RIP kwa kuwa ni Mtanzania Mwenzangu

Lakini ili liko wazi Philanderer ,limeripoti humu kwa kuwa mzee huyu alijadiliwa humu humu na kulianzishwa thread yake humu ndio maana Mkuu MM kaona ni vyema kuwajuza.Na kwa sababu alisema CCM itakufa kabla yake yeye.Nakumbuka hata faizafox alijibu sentensi ya mzee huyo hata Mwalimu aliseme atafika miaka kadha kwa kulinganisha umri wa kizazi chake.Lakini hakika aikutimia lakini Mwalimu alilekebisha kauri yake.

Alikuwa mjadala humu ndani ndio maana anajadiliwa.
 
ccm haiwezi kufa itadumu milele, ila inaweza tu kupoteza madaraka

Na wewe ukiambiwa unakufuru utakataa; hivi hujawahi kusikia chama kinakuwa dissolved. Chama cha Hosni Mubarak kiliamini kitaishi milele, leo kimefutwa; so was chama cha Sadam na hata cha Bin Ali kule Tunisia na siyo vyama pekee vya kisiasa vilivyowahi kushika madaraka kwa muda mrefu kujikuta vinafutwa.

Kikiingia chama kingine chaweza kuifuta CCM kutoka vitabuni na kupiga marufuku baadhi ya watu wake kujihusisha na siasa. So.... ningekuwa wewe nisingetumia neno "milele" kwani ni presumptuous wa kujua vilivyobakia katika umilele. Hauna tofauti na alichosema huyo mzee. Unlee of course unajua milele itakavyokuwa.
 
FF alisema humu! Haya nisuteni sasa.

Mungu ailaze roho yake popote apendapo.

Huyo kajichuria mwenyewe.

Nakumbuka katika kusherehekea miaka 75, Nyerere alisema hana sababu ya kufa kabla hajafika 100 kwani mama yake kafika.

Baada ya mwaka na alipokwisha jijua kuwa ana leukemia akabadili msemo akasema kisha pitisha muda wa kuishi ulioandikwa kwenye biblia.

Mungu hakajeliwi. Ni yeye tu ajuaye saa na dakika.

Nicheme nichi cheme?
 
Na wewe ni kitu gani kilichokupelekea kuripoti hicho kifo hapa? Kuna wazee wangapi wamekufa wiki hii ambao hatuna habari zao?
Kwani wewe wa wapi ndugu yangu? Mbona kauli yake ilijadiliwa sana humu jamvini? Kama ilijadiliwa ilikuwa ni lazima tena sana kujadili mauti yake haijalishi kafa kwa staili gani.
 
uncounted people passed away this week, it is Gods knowledge and will
 
Back
Top Bottom