OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Aaaaaanh hapo my dada ugaonekana sooo cheap ukiwa na.shida unapiga kabisa mie nikiwa ina mood ya kuchat we huna vocha!!!!!unajua wanatuona mizigo sana tukiwa nao, ila wana-play verry cool wakati wanakufata. I hate it. Unataka tuchat, ila vocha nijitegemee o nichukue kwa mama, inahusuu
Sasa utapewaje nyongeza gengeni bila kununua japo fungu moja!!!!!
Hebu jiongeze we tuma text ila akikutoa ndio mwambie hny ukiona duka plz nahitaji kununua vocha basi atatoa lock kwa simu yake na kukuambia hamisha kutoka humu!!!!!
Hakuna mwanaume anataka demu egemezi mpaka vochaa????!!!!!