mweeee hadi ninejiskia kulia Konnie
Promithi you nitakuwa naingia huku kwa ajili yako tu
Huyu bhange mwingine hanipi shida nshamvalia sangoogles tayar.
Uwage unanisitua.
Will come.
Jus for u,and zombie ofukozi!
Utawajua tu wahanga wa miundombinu!
Problem sio vitu vidogo.. Problem hapo no vitu vya maisha ya kuigiza flaniSasa kama mwanaume atashindwa vitu vidogo hivyo, ni kipi anachoweza tena?
Bora kulalamika bidada anataka kubadilishiwa gari kila mara au mizinga ileeeeeee mikubwaaaaa.
Mi mwanaume akiwa hachuniki hata popcorn wa kazi gain?
Woooi!
Achukue alfu yake aiviringishe tu!
Mtu mmejuana just siku tatu b4, eti naomba unichangie laki 6 nilipie fremu nina mtaji wangu nataka kufanya biashara! Mh unaona huyu mtu anamawazo ya kuendelea au mchunaji, vile anajigeuza chukua simu yake chek fasta inbox message, watsap my God hyo laki 6 mmeombwa wanaume 5, halafu wanaume wengne nao vilaza aisee, utaona ooh baby jion nakupa lak 4 then kesho namalizia mbili...nyie wanaume amkeni.
Mtu mmejuana just siku tatu b4, eti naomba unichangie laki 6 nilipie fremu nina mtaji wangu nataka kufanya biashara! Mh unaona huyu mtu anamawazo ya kuendelea au mchunaji, vile anajigeuza chukua simu yake chek fasta inbox message, watsap my God hyo laki 6 mmeombwa wanaume 5, halafu wanaume wengne nao vilaza aisee, utaona ooh baby jion nakupa lak 4 then kesho namalizia mbili...nyie wanaume amkeni.
Problem sio vitu vidogo.. Problem hapo no vitu vya maisha ya kuigiza flani
Is it! Worry not my Prince Charming I will put it near my mnara and it will do magic..yo network will be 4G throughout mountain climbing and I guarantee you that you will reach climax effortlessly
ananiogopa sana siku hizi, ananikimbia kama upepo
Wala wasichana wa kimarekani hawapo hivyo mkuu ni ushamba na kuiga.. Maisha ya kwenye tv ya akina kim.. Wakati wao wanaonesha ili wapate hela.. Wasichana wa kimarekani wanasoma na kufanya kazi kwa nguvu..ndo maana hata wakati mwingine ukizingua wanakuacha na wanalea watoto as single mom.. Hawaogopi maisha mkuu
wala haiko hvyo. Wajua zamani baba zetu walikuwa wanahudumia sana na babu zetu but siku hizi mnajifanya hamtaki mwanamke goli kipa bla bla kibao kumbe ni kukwepa majukumu na ndo maana matatizo yanazidi coz wanawake wana hustle kusaka maisha na hapo ndo wanakutana na vihawishi. Wakati zamani wanawake wanakaa home baba ndo anaenda kutafuta, vishawishi vilikuwa vichache na almost negligible kabisa.Aaaaaanh hapo my dada ugaonekana sooo cheap ukiwa na.shida unapiga kabisa mie nikiwa ina mood ya kuchat we huna vocha!!!!!
Sasa utapewaje nyongeza gengeni bila kununua japo fungu moja!!!!!
Hebu jiongeze we tuma text ila akikutoa ndio mwambie hny ukiona duka plz nahitaji kununua vocha basi atatoa lock kwa simu yake na kukuambia hamisha kutoka humu!!!!!
Hakuna mwanaume anataka demu egemezi mpaka vochaa????!!!!!
Hahahaaahaaa...lol umenikumbusha mbali Sana...
wala haiko hvyo. Wajua zamani baba zetu walikuwa wanahudumia sana na babu zetu but siku hizi mnajifanya hamtaki mwanamke goli kipa bla bla kibao kumbe ni kukwepa majukumu na ndo maana matatizo yanazidi coz wanawake wana hustle kusaka maisha na hapo ndo wanakutana na vihawishi. Wakati zamani wanawake wanakaa home baba ndo anaenda kutafuta, vishawishi vilikuwa vichache na almost negligible kabisa.
tatizo dis time utamchukua golikipa na kumweka ndani matokeo yake fungu unalomwachia anaanza kuhonga serengeti boy,hawa viumbe hawabebeki.wala haiko hvyo. Wajua zamani baba zetu walikuwa wanahudumia sana na babu zetu but siku hizi mnajifanya hamtaki mwanamke goli kipa bla bla kibao kumbe ni kukwepa majukumu na ndo maana matatizo yanazidi coz wanawake wana hustle kusaka maisha na hapo ndo wanakutana na vihawishi. Wakati zamani wanawake wanakaa home baba ndo anaenda kutafuta, vishawishi vilikuwa vichache na almost negligible kabisa.