Baadhi ya fani zenye ajira kubwa Duniani: Wazazi somesheni watoto nje Degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering

Nakukatalia mimi toka nimalize chuo nina miaka saba,jamaa zangu kwenye field hii ya cyber wana miaka mitano,najua ninacho kiongea.Programming ni shughuli si ya kitoto,programming wana gusa gusa tu ila sio deep,wazuri kwenye Server,Linux,Networking na Database kidogo.

Nina wanangu watatummoja yupo eGA programmer anapiga kazi kampuni mbili,hapo kuna viproject vidogo vidogo vya pembeni kwa wiki hakosi laki tano.

Mwengine kajenga ndani ya mwaka,huyu ndio hatari hii Java na C++ anaipiga tokea yupo advance ,huyu sasa anachukuliwa kutengeneza zile system konki na makampuni makubwa.

Mwengine tulivyo maliza chuo kasema yy hatoajiliwa na kweli sasa komaa kama miaka miaka mitatu,sasa hivi anapata project mfululizo na ndiye aliye nishauri nikazanie code.
Hao wanao si wapo daslam sio eehh maana huku ndo penyewe mkuuu
 
Mkuu sio general. Mie by Pro.. ni Mechanical Eng, nina Bacheraol ya IT na nina PGD ya Electrical.. na ni certified Penetration Tester.. programing nilikuwa najua zaidi hata ya ma programer. Kwenye field ya Security nilikuwa nawalaza na ukija kwenye programing na kulaza.. sema now days nimeacha vyote niliona upumbavu nanufaisha watu
Unapiga ishu gani sasa
 
Nilifanya hizi kazi za cyber na baadhi ya taasisi na walikuwa wananipiga hela.. tokea hapo nikaona upumbavu sana.. nikaacha hadi leo.. ila naamini ningekuwa mbali sanaa.. kiuzoefu na ki ujuzi.. ila ndio bongo yetu hii
Mshahara ulikuwa mdogo au ni nn
 
Dah umeacha programming? Mimi mwenyewe najuata kwa nini sikusoma programming mwanzoni watu wanapiga hela.
Hivi mpaka leo jamaa zako wanaopiga hela mkuu mi ni yankiii sana nipo 1 year nakomaa nayo sii haba mkuuu

Nataka ni invest nguvu huku
 
Back
Top Bottom