Baada ya Utawala wa Magufuli, nini kitatokea?

Baada ya Utawala wa Magufuli, nini kitatokea?

Wishful thinking is allowed kuwa kuna siku upinzani utashinda uchaguzi na kuongoza Tanzania, the truth is CCM itatawala milele.

P
Gadafi, saadam Hussein, moi ,bagbo ,na makaburu wa afrika kusini wote walikuwa na mawazo kama yako.Ccm ilishakufa na njia pekee iliyobaki kwa CCM ni kuiba kura .na huwezi kuwa salama kwa kutegemea wizi.na mwaka huu ndio itakuwa mwisho wa CCM kuongoza nchi .nitakukumbusha mwezi wa 12
 
Japo hili ni swali muhimu sana, jibu lake ni simple, kulikuwa na awamu ya kwanza ikapita ikaja awamu ya pili nayo ikapita ikaja awamu ya tatu hivyo hivyo hadi sasa ni awamu ya tano nayo itapita, kitakachofuata baada ya awamu ya tano kuisha, itaingia awamu ya Sita, kila zama na zama zake.
P
Baada ya awamu hii wewe binafsi lazima urejee mavumbini.Una roho katili ukijificha nyuma ya ukabila.
 
Baada ya awamu hii wewe binafsi lazima urejee mavumbini.Una roho katili ukijificha nyuma ya ukabila.
Duh...!.
Mimi ni mavumbi na mavumbini nitarejea, sijui wewe mwenzetu utaishi milele, au siku yako ikifika utahifadhiwa kwenye barafu milele?.
P
 
Japo hili ni swali muhimu sana, jibu lake ni simple, kulikuwa na awamu ya kwanza ikapita ikaja awamu ya pili nayo ikapita ikaja awamu ya tatu hivyo hivyo hadi sasa ni awamu ya tano nayo itapita, kitakachofuata baada ya awamu ya tano kuisha, itaingia awamu ya Sita, kila zama na zama zake.
P
Pascal,itaoitaje na itaacha Alana gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mtu ujue yatayotokea baada ya Mf. 2025?? Watabiri na manabii wanaitwa hku
 
Kadri siku zinavyoenda ubaya ,visasi,utengano na husda baina ya jamii yetu iliyojengewa umoja na upendo hali inaendelea kua tete. Si wale wapinzani ata wanaccm ,wote wamepata kuonja machungu haya.

Kuna uwezekano mkubwa Taifa likaingia kwenye visasi baada ya awamu hii kumaliza muda wake. Kuna uwezekano watu wakawa wanashinda kwenye benchi za mahakama au polisi kwasababu ya visasi na hali inayojengwa mioyoni mwao.

Si kwamba namtishia uhai au amani kama yeye anavyo watishia Watanzania wenzie ( Cyprian Moja) anawakirisha wengi ambao hawana kinga yoyote baada ya utawala huu. Lakini bado atujachelewa kuyamaliza au kuachana na huu upuuzi.

Maana sitaki kusikia kua nasi nitafika siku tuwe na GACHACHA za kule Rwanda bali tunaweza tukatibu ili gonjwa nyemelezi mapema.

Mh.Dr. J.P. Magufuli ,wewe ndiye Rais wa nchi hii ...naomba tu ebu simama katika uongozi,katika haki,busara,hekima kama mwalimu uwezi kukemea mambo aya,tulete watanzania pamoja,tuunganishe maana sisi ni baba na mama mmoja.

Tusisubiri kutibu ugonjwa wakati tunaweza kutumia kinga na ugonjwa huu usitupate sisi watanzania.

Tumezaliwa apa Tanzania, tumelelewa na kusomesea apa Tanzania, makaburi ya wazee wetu yapo apa Tanzania.

Familia zetu zipo apa Tanzania, tumefundishwa upendo,umoja,mshikamano kama moja ya nguzo muhimu za ustawi wa Tanzania na jamii zote.

Mh.Dr.Magufuli ,tusikubari kugawanywa kisa itikadi,kisa wanaharakati nk....NINI KITATOKEA BAADA YA AWAMU YA TANO
Waliobomolewa nyumba zao sehemu mbalimbali za nchi hii, licha ya kesi zao kuwa katika hatua mbalimbali huko mahakamani, wataanza kulipwa fidia
 
Japo hili ni swali muhimu sana, jibu lake ni simple, kulikuwa na awamu ya kwanza ikapita ikaja awamu ya pili nayo ikapita ikaja awamu ya tatu hivyo hivyo hadi sasa ni awamu ya tano nayo itapita, kitakachofuata baada ya awamu ya tano kuisha, itaingia awamu ya Sita, kila zama na zama zake.
P
The qn is itapitaje...labda hujaelewa point muhimu ya mtoa post.Katika awamu iliyozalisha chuki na kusubiriana kwa visasi ni hii chief.Unaweza usiwe unajua hili ila watu wanasubiriana sana na chuki zimejengeka mno.
 
The qn is itapitaje...labda hujaelewa point muhimu ya mtoa post.Katika awamu iliyozalisha chuki na kusubiriana kwa visasi ni hii chief.Unaweza usiwe unajua hili ila watu wanasubiriana sana na chuki zimejengeka mno.
Hakuna kitu kama hicho cha watu kusubiriana kwa chuki na visasi!, time heals, hata uumizwe vipi, hata uchukie vipi, as time goes hasira zinapoa, chuki inayeyuka, maisha yanaendelea.

Hata Tundu Lissu alichofanyiwa ni unyama na ukatili wa hali ya juu yaliyosababisha mateso, maumivu na ulemavu wa maisha, but with time, the stigma will fade away.

Hakuna unyama mkubwa uliowahi kufanyika kwenye ardhi ya Tanzania kama yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaliendana na umwagaji mkubwa wa damu, but with time, machungu ya mapinduzi yame heal, sasa mpindua na mpinduliwa wanakaa meza moja kuijenga Zanzibar.

Kwenye eneo la Africa Mashariki hakuna tukio baya kama Rwandan Genocide, lakini as time passed chinjachinja na waliochinjwa wamekaa meza moja kuijenga Rwanda.

Time heals.
P
 
Kama wewe ni mcha Mungu na unasoma biblia haya mambo ni ya kawaida sana.
Kadri siku zinavyoenda ubaya ,visasi,utengano na husda baina ya jamii yetu iliyojengewa umoja na upendo hali inaendelea kua tete. Si wale wapinzani ata wanaccm ,wote wamepata kuonja machungu haya.

Kuna uwezekano mkubwa Taifa likaingia kwenye visasi baada ya awamu hii kumaliza muda wake. Kuna uwezekano watu wakawa wanashinda kwenye benchi za mahakama au polisi kwasababu ya visasi na hali inayojengwa mioyoni mwao.

Si kwamba namtishia uhai au amani kama yeye anavyo watishia Watanzania wenzie ( Cyprian Moja) anawakirisha wengi ambao hawana kinga yoyote baada ya utawala huu. Lakini bado atujachelewa kuyamaliza au kuachana na huu upuuzi.

Maana sitaki kusikia kua nasi nitafika siku tuwe na GACHACHA za kule Rwanda bali tunaweza tukatibu ili gonjwa nyemelezi mapema.

Mh.Dr. J.P. Magufuli ,wewe ndiye Rais wa nchi hii ...naomba tu ebu simama katika uongozi,katika haki,busara,hekima kama mwalimu uwezi kukemea mambo aya,tulete watanzania pamoja,tuunganishe maana sisi ni baba na mama mmoja.

Tusisubiri kutibu ugonjwa wakati tunaweza kutumia kinga na ugonjwa huu usitupate sisi watanzania.

Tumezaliwa apa Tanzania, tumelelewa na kusomesea apa Tanzania, makaburi ya wazee wetu yapo apa Tanzania.

Familia zetu zipo apa Tanzania, tumefundishwa upendo,umoja,mshikamano kama moja ya nguzo muhimu za ustawi wa Tanzania na jamii zote.

Mh.Dr.Magufuli ,tusikubari kugawanywa kisa itikadi,kisa wanaharakati nk....NINI KITATOKEA BAADA YA AWAMU YA TANO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwel mkuu, hii miaka minne huyu jamaa katugawa sana watanzania, now days tunaishi kwa chuki, uminywaji wa demokrasia, haki, sheria kandamizi zinatungwa kila leo ila nachoshangaa bado wapo watanzania wenzetu wanamsifu huyu mtu

Wew unachuki na nani
Jirani.,
Ndugu
Rafiki
Au nani hasa
Mbona sisi wengine tunaishi vyema tu bila tatzo?
Na tunakatiza mitaani bila hata hofu yoyote ile
Me nadhani sisi watanzania hatuna lolote zaidi ya uzodoaji tu hasa tulio wengi.
Wanaume tumezidi umbea kushinda wanawake kwa zama hizi
 
Back
Top Bottom