Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Peleka ujinga wako huko!!..Eti Bandari sio yetu!!..hao Funza kichwani hatari sana!!..Sijawahi kuona mtu mjinga kama wewe. Hivi unaweza kulinganisha mikataba ya manunuzi ya ndege na ujenxi wa bandari?
Basi tusene wanunuzi wa ndege walikula 30% na hawa wa bandari hawajala kitu;. Kati ya hai wawili unadhani nani anatutia hasara.
Ndege ni zetu hata kama kuna watu waliku;a cha juu lakini bandari sio yetu kea miaka 99. Hata wajukuu zako hawataifaidi hiyo.