Baada ya Mbowe kugeuka na kuwa kama kina Shibuda, John Cheyo na Mrema ni upi mustakbali wa siasa za upinzani Tanzania?

Kuteseka ni sehemu ya struggle. Kama hutaki kuteseka kaa pembeni ili walio tayari hata kufa ili kuleta mabadilikio ya kweli washike usukani. Kuliko kusaliti stuggle na kuanza kujikombakomba kwa CCM bora ukae pembeni ulee wajukuu au ule bata kadri unavyoweza
🤣 NDO maana mnaitwa keyboard worriors, embu anzisha chama chako ukapambane na struggle mpaka juitoe ccm madarakani, mbowe amepoteza vingi acha ale uzee kwa amani, amekaa lupango mwaka mzima wewe ukiwa ndani na mkeo, unaumia nn leo akitafuta suluhu, chadema wameishi kama panya kwenye utawala wa jiwe, ulitaka iendelee hvyo mpaka lini, siasa za kuokota miili kwenye viroba wewe unaziweza? wanaomtukana mbowe ruksa kujitoa chadema na kuanzisha chama chao, ila sio rahisi kuendelea kuivimbia serikali wakati backup yako ni wanachama waoga wanaokimbia wakisikia bomu la machozi, wewe wewe.
🤣
 
Ni mtu mpuuzi tu anaeweza kufikiri na kukubali ujinga uliondikwa na mleta mada!
CDM wameweka Utaifa mbele na sio uchama, niwahakikishie kuwa hii ndio siasa inayotakiwa ili kusukuma Taifa mbele.
Tushindane kwa hoja kuu
 
🤣 NDO maana mnaitwa keyboard worriors, embu anzisha chama chako ukapambane na struggle mpaka juitoe ccm madarakani, mbowe amepoteza vingi acha ale uzee kwa amani, amekaa lupango mwaka mzima wewe ukiwa ndani na mkeo, unaumia nn leo akitafuta suluhu, chadema wameishi kama panya kwenye utawala wa jiwe, ulitaka iendelee hvyo mpaka lini, siasa za kuokota miili kwenye viroba wewe unaziweza? wanaomtukana mbowe ruksa kujitoa chadema na kuanzisha chama chao, ila sio rahisi kuendelea kuivimbia serikali wakati backup yako ni wanachama waoga wanaokimbia wakisikia bomu la machozi, wewe wewe.
🤣

Sasa mbona mlikuwa mkitukana John Cheyo ila leo mnakuwa kama yeye?
 
🤣 NDO maana mnaitwa keyboard worriors, embu anzisha chama chako ukapambane na struggle mpaka juitoe ccm madarakani, mbowe amepoteza vingi acha ale uzee kwa amani, amekaa lupango mwaka mzima wewe ukiwa ndani na mkeo, unaumia nn leo akitafuta suluhu, chadema wameishi kama panya kwenye utawala wa jiwe, ulitaka iendelee hvyo mpaka lini, siasa za kuokota miili kwenye viroba wewe unaziweza? wanaomtukana mbowe ruksa kujitoa chadema na kuanzisha chama chao, ila sio rahisi kuendelea kuivimbia serikali wakati backup yako ni wanachama waoga wanaokimbia wakisikia bomu la machozi, wewe wewe.
🤣
Kumbe chadema ni chama cha Mbowe?
 
Ni mtu mpuuzi tu anaeweza kufikiri na kukubali ujinga uliondikwa na mleta mada!
CDM wameweka Utaifa mbele na sio uchama, niwahakikishie kuwa hii ndio siasa inayotakiwa ili kusukuma Taifa mbele.
Tushindane kwa hoja kuu
Kwani kabla ya haya maridhiano chadema siasa zao zilikuwa za aina gani?
 
CHADEMA = TLP.

Mbowe = Mrema.

Wachaga wanafanana wote.
katika wapuuzi bin hayawani bin mwendawazimu ni wewe!
Ni tatizo la utapiamlo mkali wa akili ndio maana unatumia lugha za kupuuzi!
Ungekuwa na akili kdg ungeangalia kwanza ustawi wa Taifa lakini kama huna akili huwezi kuona!
 
Mpaka Sasa cjaona kosa la Mbowe wala Samia katika maridhiano yanayoendelea, nikiona COVID 19 wamerudishwa kundin, na baraka zimetolewa na viongozi, nitakuwa wa Kwanza kulaani..
 
Ni mtu mpuuzi tu anaeweza kufikiri na kukubali ujinga uliondikwa na mleta mada!
CDM wameweka Utaifa mbele na sio uchama, niwahakikishie kuwa hii ndio siasa inayotakiwa ili kusukuma Taifa mbele.
Tushindane kwa hoja kuu
Sawa ccm b
 
Kwa hali inavyoendelea nchini ni dhahiri hakuna tena upinzani. Bali kuna uungwaji mkono juhudi wa Wapinzani kwa CCM kila mmoja kwa staili yake. ACT Wazalendo wanakula pamoja na CCM kule Zanzibar na CHADEMA nao wanatafuta robo mkate wao huku Tanganyika.

Kabla CHadema hawajaanza kupetiwapetiwa, Kutomaswatomaswa na kulambishwa asali na CCM hii ya leo ya Kinana na Samia, walikuwa wakitokwa povu sana kuhusu ACT Wazalendo kuingia katika serikali ya umoja wa Kitaifa huko Zanzibar. ACT walikuwa wakijitetea kuwa eti ni takwa la kikatiba kuingia humo huku CHADEMA wakiwaita ACT Wasaliti kwa hoja ya kuwa wamewasaliti Wazanzibar kwa kushiriki kula matunda ya uchaguzi haramu.

Leo tunaona CHADEMA nao wamekinga mkono kula ruzuku ambayo hapo mwanzo walisema ni haramu kwa kuwa imetokana na uchaguzi haramu. Kiufupi wamelamba matapishi yao!.

Ukiachilia mbali hilo, CHADEMA walikuwa wakijulikana sana kuwatukana akina hayati Lyatonga Mrema , John Cheyo na Shibuda kuwa eti ni makada wa CCM kutokana na kuwa na siasa za mrengo wa kukubaliana na CCM katika mambo mengi. Leo tunamuona Mwenyekiti Mbowe naye akigeuka kuwa Cheyo na Shibuda aliyechangamka zaidi.

Mbowe leo kaibeba rasmi mikoba ya John Cheyo na ameanza kutumia arguments zilezile za John Cheyo kuwa anataka siasa za "maridhiano", ambazo kimsingi siasa za hivyo ni za kutomasanatomasana, kubembelezanabembelezana ilimradi tu kila mtu aachiwe sphere yake ya influence ili aweze kula kwa urefu wa kamba yake.

Tujiulize, Hizi sifa ambazo Mbowe anazitoa kwa Samia zina tofauti gani kwa mfano na Sifa za Cheyo au Shibuda walizokuwa wakizimwaga kwa Magufuli?

Hii inaonyesha kuwa pengine ukiwa mpinzani na ukaanza kuzeeka, unaanza kuwa na tabia za OLD MAN CCM SYNDROME. Yaani unaanza kuwa na tabia zile za kiCCM CCM. Unaanza kujisogeza kwa CCM, unaanza kuongea kama wanaCCM, na unaanza kubehave kama wanaCCM

Huu ni muda muafaka kwa wanaCHADEMA kumtafakari Mwenyekiti Mbowe kuona kuwa , Je ni kweli siasa hizi za kulala kitanda kimoja na CCM anazoanza kuzifanya zinatokana na utafiti wa kina na upeo wa kisiasa au zinatokana na

1. Mosi, Je ana makubaliano ya siri na CCM ikiwa kama sababu ya kuachiwa kwake Jela na kwa hivyo anafuata script aliyotengenezewa AU

2. Je ana masilahi bianfsi ikiwemo ya kibiashara au kurudishiwa mali zake alizoporwa na serikali ya CCM kipindi cha Mwendazake?

3. Au je ni uzee na uchovu(wa Kisiasa) kwa hiyo ndo ameamua kwenda na falsafa maarufu ya "Kama huwezi kuwashinda, basi ungana nao?".

Katika nchi yoyote ukiona UPINZANI unafanya ROMANCE na Chama Tawala, Jua kuwa hakuna upinzani hapo bali kuna genge la wapiga dili wa kisiasa
Hpinzani siyo uadui.

Nawaangalia CHADEMA kwenye sera zao na mikakati yao kwa Taifa.

Tunahitaji siasa zisizo na vita ndani yake
 
Mimi naunga mkono chadema Kwa walichofanya, wametumia akili kubwa, coz uwez kubishana na serikali never

Chadema walikaa bila mikutano, walikaa bila mikutano ya ndani, walikuwa wanakamatwa kila siku, wanafungwa, na nyie mnao piga kelele sasa mlikuwa mnatengeneza watoto Tu nyumbani kwenu

Sasa now wameamua kusikilizana na serikali ili Tu warudi kwenye platforms upya, nyie mnaanza kelele sijui hata mnataka nn

Kudeal na serikali za kiafrika ni ngumu Sana, kushindana na serikali ni ngumu sana, serikali inaweza kufanya Jambo lolote

Mfano ishu ya wakina mdee, si unaona mpaka Leo ni wabunge? Na wote tunajua hawakutakiwa kuwa wabunge?

Hiyo ndio nguvu ya serikali,

Mbowe ameamua kuanza upya, chama kipate Ruzuku yake, Chama kishiriki Uchaguzi, Chama kipate wabunge hapo sasa ndio kitakuwa chama pinzani

Uwez kuwa chama pinzani na upinzani wako unafanya kwenye keyboard tu
Ni hivi,

Mlicho kifanya ni kujusalimisha kwa ccm kwamba sasa hamuwawezi, na sasa wao wanaweza kuwageuka mda wowote msifanye kitu!

Mikutano ipo kikatiba, anapotokea mtu anazuia hupaswi kuiomba mezani unaidai kwa nguvu ikiwezekana damu kumwagika, huo ndio upinzani, jifunzeni hapo kwa wenzenu Kenya tu.

Yani sasa hivi chadema ni mang'ombe tu kwa ccm!
 
Kwa hali inavyoendelea nchini ni dhahiri hakuna tena upinzani. Bali kuna uungwaji mkono juhudi wa Wapinzani kwa CCM kila mmoja kwa staili yake. ACT Wazalendo wanakula pamoja na CCM kule Zanzibar na CHADEMA nao wanatafuta robo mkate wao huku Tanganyika.

Kabla CHadema hawajaanza kupetiwapetiwa, Kutomaswatomaswa na kulambishwa asali na CCM hii ya leo ya Kinana na Samia, walikuwa wakitokwa povu sana kuhusu ACT Wazalendo kuingia katika serikali ya umoja wa Kitaifa huko Zanzibar. ACT walikuwa wakijitetea kuwa eti ni takwa la kikatiba kuingia humo huku CHADEMA wakiwaita ACT Wasaliti kwa hoja ya kuwa wamewasaliti Wazanzibar kwa kushiriki kula matunda ya uchaguzi haramu.

Leo tunaona CHADEMA nao wamekinga mkono kula ruzuku ambayo hapo mwanzo walisema ni haramu kwa kuwa imetokana na uchaguzi haramu. Kiufupi wamelamba matapishi yao!.

Ukiachilia mbali hilo, CHADEMA walikuwa wakijulikana sana kuwatukana akina hayati Lyatonga Mrema , John Cheyo na Shibuda kuwa eti ni makada wa CCM kutokana na kuwa na siasa za mrengo wa kukubaliana na CCM katika mambo mengi. Leo tunamuona Mwenyekiti Mbowe naye akigeuka kuwa Cheyo na Shibuda aliyechangamka zaidi.

Mbowe leo kaibeba rasmi mikoba ya John Cheyo na ameanza kutumia arguments zilezile za John Cheyo kuwa anataka siasa za "maridhiano", ambazo kimsingi siasa za hivyo ni za kutomasanatomasana, kubembelezanabembelezana ilimradi tu kila mtu aachiwe sphere yake ya influence ili aweze kula kwa urefu wa kamba yake.

Tujiulize, Hizi sifa ambazo Mbowe anazitoa kwa Samia zina tofauti gani kwa mfano na Sifa za Cheyo au Shibuda walizokuwa wakizimwaga kwa Magufuli?

Hii inaonyesha kuwa pengine ukiwa mpinzani na ukaanza kuzeeka, unaanza kuwa na tabia za OLD MAN CCM SYNDROME. Yaani unaanza kuwa na tabia zile za kiCCM CCM. Unaanza kujisogeza kwa CCM, unaanza kuongea kama wanaCCM, na unaanza kubehave kama wanaCCM

Huu ni muda muafaka kwa wanaCHADEMA kumtafakari Mwenyekiti Mbowe kuona kuwa , Je ni kweli siasa hizi za kulala kitanda kimoja na CCM anazoanza kuzifanya zinatokana na utafiti wa kina na upeo wa kisiasa au zinatokana na

1. Mosi, Je ana makubaliano ya siri na CCM ikiwa kama sababu ya kuachiwa kwake Jela na kwa hivyo anafuata script aliyotengenezewa AU

2. Je ana masilahi bianfsi ikiwemo ya kibiashara au kurudishiwa mali zake alizoporwa na serikali ya CCM kipindi cha Mwendazake?

3. Au je ni uzee na uchovu(wa Kisiasa) kwa hiyo ndo ameamua kwenda na falsafa maarufu ya "Kama huwezi kuwashinda, basi ungana nao?".

Katika nchi yoyote ukiona UPINZANI unafanya ROMANCE na Chama Tawala, Jua kuwa hakuna upinzani hapo bali kuna genge la wapiga dili wa kisiasa
Usimfananishe mwamba na wazee wa bahasha
IMG-20230309-WA0031.jpg
 
Wao hawajasoma sana na huyo msomi Mwendazake alipokuwa akiongea , wakimwoma anaongea kiengereza kibovu kuliko wao
60% ya wahitimu wa vyuo vikuu nchini Tanzania hawawezi kuandika official letters. Hao nao wana utetezi upi ?
 
Back
Top Bottom