Baada ya Mbowe kugeuka na kuwa kama kina Shibuda, John Cheyo na Mrema ni upi mustakbali wa siasa za upinzani Tanzania?

Kwa jicho la kawaida kabisa ni wazi kuwa Mbowe au CHADEMA imekurupuka kuchukua maamuzi haya na itawawia vigumu kufanya siasa kama tulivyo zoea mwanzo........

Kwa hali ya kawaida haya sio maridhiano.....hakuna maridhiano kati ya mtesi na mteswaji......bali ni mmoja kukubali yaishe ili mateso yasimame.......

Huu ni ushindi mkubwa Kwa serikali ya CCM lakini ni msiba mkubwa kwa Wana CHADEMA na waTanzania wenye maono na ndoto za kuiona Tanzania iliyo njema.........


CCM imejifia na imejichokea haina tena nguvu ya kufanya siasa kwani haina Cha kuwaambia waTanzania baaday miaka 50 ya utawala wao......wanachokifanya hapa kuwa ziba midomo waTanzania kupitia CHADEMA ambao ndio ilikuwa spika pekee Kwa waTanzania wanyonge..........
 
Katika nchi yoyote ukiona UPINZANI unafanya ROMANCE na Chama Tawala, Jua kuwa hakuna upinzani hapo bali kuna genge la wapiga dili wa kisiasa
Confrontational politics hazijawahi kuisaidia CDM, sana sana zimewaumiza sana, Ccm ina dola ya kuwashughulikia wapinzani ndio maana hata waliishia kupoteza makada wao maarufu kwa kupotezwa au kudhuriwa.

Acha wajaribu tu mbinu nyingine itakayowaweka salama.

If you can't fight them, then join them.
 
Kwa hali inavyoendelea nchini ni dhahiri hakuna tena upinzani. Bali kuna uungwaji mkono juhudi wa Wapinzani kwa CCM kila mmoja kwa staili yake. ACT Wazalendo wanakula pamoja na CCM kule Zanzibar na CHADEMA nao wanatafuta robo mkate wao huku Tanganyika.

Kabla CHadema hawajaanza kupetiwapetiwa, Kutomaswatomaswa na kulambishwa asali na CCM hii ya leo ya Kinana na Samia, walikuwa wakitokwa povu sana kuhusu ACT Wazalendo kuingia katika serikali ya umoja wa Kitaifa huko Zanzibar. ACT walikuwa wakijitetea kuwa eti ni takwa la kikatiba kuingia humo huku CHADEMA wakiwaita ACT Wasaliti kwa hoja ya kuwa wamewasaliti Wazanzibar kwa kushiriki kula matunda ya uchaguzi haramu.

Leo tunaona CHADEMA nao wamekinga mkono kula ruzuku ambayo hapo mwanzo walisema ni haramu kwa kuwa imetokana na uchaguzi haramu. Kiufupi wamelamba matapishi yao!.

Ukiachilia mbali hilo, CHADEMA walikuwa wakijulikana sana kuwatukana akina hayati Lyatonga Mrema , John Cheyo na Shibuda kuwa eti ni makada wa CCM kutokana na kuwa na siasa za mrengo wa kukubaliana na CCM katika mambo mengi. Leo tunamuona Mwenyekiti Mbowe naye akigeuka kuwa Cheyo na Shibuda aliyechangamka zaidi.

Mbowe leo kaibeba rasmi mikoba ya John Cheyo na ameanza kutumia arguments zilezile za John Cheyo kuwa anataka siasa za "maridhiano", ambazo kimsingi siasa za hivyo ni za kutomasanatomasana, kubembelezanabembelezana ilimradi tu kila mtu aachiwe sphere yake ya influence ili aweze kula kwa urefu wa kamba yake.

Tujiulize, Hizi sifa ambazo Mbowe anazitoa kwa Samia zina tofauti gani kwa mfano na Sifa za Cheyo au Shibuda walizokuwa wakizimwaga kwa Magufuli?

Hii inaonyesha kuwa pengine ukiwa mpinzani na ukaanza kuzeeka, unaanza kuwa na tabia za OLD MAN CCM SYNDROME. Yaani unaanza kuwa na tabia zile za kiCCM CCM. Unaanza kujisogeza kwa CCM, unaanza kuongea kama wanaCCM, na unaanza kubehave kama wanaCCM

Huu ni muda muafaka kwa wanaCHADEMA kumtafakari Mwenyekiti Mbowe kuona kuwa , Je ni kweli siasa hizi za kulala kitanda kimoja na CCM anazoanza kuzifanya zinatokana na utafiti wa kina na upeo wa kisiasa au zinatokana na

1. Mosi, Je ana makubaliano ya siri na CCM ikiwa kama sababu ya kuachiwa kwake Jela na kwa hivyo anafuata script aliyotengenezewa AU

2. Je ana masilahi bianfsi ikiwemo ya kibiashara au kurudishiwa mali zake alizoporwa na serikali ya CCM kipindi cha Mwendazake?

3. Au je ni uzee na uchovu(wa Kisiasa) kwa hiyo ndo ameamua kwenda na falsafa maarufu ya "Kama huwezi kuwashinda, basi ungana nao?".

Katika nchi yoyote ukiona UPINZANI unafanya ROMANCE na Chama Tawala, Jua kuwa hakuna upinzani hapo bali kuna genge la wapiga dili wa kisiasa
MSG kwa Mwenda zake na "GENGE" lake...
 
Tuacheni kejeli instead tuwapongeze Samia na Mbowe kwa kuweka masilahi ya nchi yetu mbele kuliko kitu kingine chochote.

Hii nchi angeendelea kuwa hai yule HAYAWANI wa Chato ingekuwa nchi ya hovyo kuliko Yemen na Somalia
Muache aendee kuoza huko aliko
Ikiwa ACT inakuwa usaliti ila ikiwa chadema ni kuweka maslahi ya nchi mbele.
Muache double standards
 
70% ya watanzania hawajui kiingereza lakini utakuta na wao wapo kwenye mjadala wa kusema MAGUFULI hajui Kingereza.
Wao hawajasoma sana na huyo msomi Mwendazake alipokuwa akiongea , wakimwoma anaongea kiengereza kibovu kuliko wao
 
Kutofautiana mawazo kila sehemu kupo ila kwa hili linalofanyika sasa,kwa mwana CDM anayelipinga atakuwa hajitambui,kweli kwa mateso yaliyokuwepo kwa wapinzani kwa serikali ya awamu ya 5,huu mwanga unaoonekana uukatae??Kwa wafuasi wa jiwe na ccm wengi hawapendi hilli kwani wanajua endapo tu pakiwa na uwanja sawa wa kufanya siasa hadi kwenye uchaguzi nini kinaweza tokea!!Najua bado kuna safari ndefu sana hasa kwa Mama!!labda ajizime data liwalo liwe mimi nataka katiba pendekezwa ile ya warioba ndio ije vile vile na iongozwe vitu na sio kupunguza,2030 amalize muda wake akapumzike,awe ameacha alama!!yenye kutukuka.
Basi uwe unatambua kivitendo huko kutofautiana mawazo, unaonyesha hauamini kwamba katika kutofautiana mawazo ndio maana unasema hajitambui mwana cdm mwenye mawazo tofauti na hiki kinachoendelea chadema bila kusikiliza na kupima hoja zake. Ndio maana umekuwa ukiwaita wenye kupinga kuwa ni wafuasi wa jiwe wakati wengine ni chadema.
 
Kwa hali inavyoendelea nchini ni dhahiri hakuna tena upinzani. Bali kuna uungwaji mkono juhudi wa Wapinzani kwa CCM kila mmoja kwa staili yake. ACT Wazalendo wanakula pamoja na CCM kule Zanzibar na CHADEMA nao wanatafuta robo mkate wao huku Tanganyika.

Kabla CHadema hawajaanza kupetiwapetiwa, Kutomaswatomaswa na kulambishwa asali na CCM hii ya leo ya Kinana na Samia, walikuwa wakitokwa povu sana kuhusu ACT Wazalendo kuingia katika serikali ya umoja wa Kitaifa huko Zanzibar. ACT walikuwa wakijitetea kuwa eti ni takwa la kikatiba kuingia humo huku CHADEMA wakiwaita ACT Wasaliti kwa hoja ya kuwa wamewasaliti Wazanzibar kwa kushiriki kula matunda ya uchaguzi haramu.

Leo tunaona CHADEMA nao wamekinga mkono kula ruzuku ambayo hapo mwanzo walisema ni haramu kwa kuwa imetokana na uchaguzi haramu. Kiufupi wamelamba matapishi yao!.

Ukiachilia mbali hilo, CHADEMA walikuwa wakijulikana sana kuwatukana akina hayati Lyatonga Mrema , John Cheyo na Shibuda kuwa eti ni makada wa CCM kutokana na kuwa na siasa za mrengo wa kukubaliana na CCM katika mambo mengi. Leo tunamuona Mwenyekiti Mbowe naye akigeuka kuwa Cheyo na Shibuda aliyechangamka zaidi.

Mbowe leo kaibeba rasmi mikoba ya John Cheyo na ameanza kutumia arguments zilezile za John Cheyo kuwa anataka siasa za "maridhiano", ambazo kimsingi siasa za hivyo ni za kutomasanatomasana, kubembelezanabembelezana ilimradi tu kila mtu aachiwe sphere yake ya influence ili aweze kula kwa urefu wa kamba yake.

Tujiulize, Hizi sifa ambazo Mbowe anazitoa kwa Samia zina tofauti gani kwa mfano na Sifa za Cheyo au Shibuda walizokuwa wakizimwaga kwa Magufuli?

Hii inaonyesha kuwa pengine ukiwa mpinzani na ukaanza kuzeeka, unaanza kuwa na tabia za OLD MAN CCM SYNDROME. Yaani unaanza kuwa na tabia zile za kiCCM CCM. Unaanza kujisogeza kwa CCM, unaanza kuongea kama wanaCCM, na unaanza kubehave kama wanaCCM

Huu ni muda muafaka kwa wanaCHADEMA kumtafakari Mwenyekiti Mbowe kuona kuwa , Je ni kweli siasa hizi za kulala kitanda kimoja na CCM anazoanza kuzifanya zinatokana na utafiti wa kina na upeo wa kisiasa au zinatokana na

1. Mosi, Je ana makubaliano ya siri na CCM ikiwa kama sababu ya kuachiwa kwake Jela na kwa hivyo anafuata script aliyotengenezewa AU

2. Je ana masilahi bianfsi ikiwemo ya kibiashara au kurudishiwa mali zake alizoporwa na serikali ya CCM kipindi cha Mwendazake?

3. Au je ni uzee na uchovu(wa Kisiasa) kwa hiyo ndo ameamua kwenda na falsafa maarufu ya "Kama huwezi kuwashinda, basi ungana nao?".

Katika nchi yoyote ukiona UPINZANI unafanya ROMANCE na Chama Tawala, Jua kuwa hakuna upinzani hapo bali kuna genge la wapiga dili wa kisiasa
Imethibitisha hakuna Upinzani TZ zaidi ya Njaa za wanaojiita viongozi wa upinzani. Wate wana njaa kali. wameonyeshwa pesa kidogo tuu lugha zimeguka, sio Mbowe wala sio Lisu.
 
Kwa hali inavyoendelea nchini ni dhahiri hakuna tena upinzani. Bali kuna uungwaji mkono juhudi wa Wapinzani kwa CCM kila mmoja kwa staili yake. ACT Wazalendo wanakula pamoja na CCM kule Zanzibar na CHADEMA nao wanatafuta robo mkate wao huku Tanganyika.

Kabla CHadema hawajaanza kupetiwapetiwa, Kutomaswatomaswa na kulambishwa asali na CCM hii ya leo ya Kinana na Samia, walikuwa wakitokwa povu sana kuhusu ACT Wazalendo kuingia katika serikali ya umoja wa Kitaifa huko Zanzibar. ACT walikuwa wakijitetea kuwa eti ni takwa la kikatiba kuingia humo huku CHADEMA wakiwaita ACT Wasaliti kwa hoja ya kuwa wamewasaliti Wazanzibar kwa kushiriki kula matunda ya uchaguzi haramu.

Leo tunaona CHADEMA nao wamekinga mkono kula ruzuku ambayo hapo mwanzo walisema ni haramu kwa kuwa imetokana na uchaguzi haramu. Kiufupi wamelamba matapishi yao!.

Ukiachilia mbali hilo, CHADEMA walikuwa wakijulikana sana kuwatukana akina hayati Lyatonga Mrema , John Cheyo na Shibuda kuwa eti ni makada wa CCM kutokana na kuwa na siasa za mrengo wa kukubaliana na CCM katika mambo mengi. Leo tunamuona Mwenyekiti Mbowe naye akigeuka kuwa Cheyo na Shibuda aliyechangamka zaidi.

Mbowe leo kaibeba rasmi mikoba ya John Cheyo na ameanza kutumia arguments zilezile za John Cheyo kuwa anataka siasa za "maridhiano", ambazo kimsingi siasa za hivyo ni za kutomasanatomasana, kubembelezanabembelezana ilimradi tu kila mtu aachiwe sphere yake ya influence ili aweze kula kwa urefu wa kamba yake.

Tujiulize, Hizi sifa ambazo Mbowe anazitoa kwa Samia zina tofauti gani kwa mfano na Sifa za Cheyo au Shibuda walizokuwa wakizimwaga kwa Magufuli?

Hii inaonyesha kuwa pengine ukiwa mpinzani na ukaanza kuzeeka, unaanza kuwa na tabia za OLD MAN CCM SYNDROME. Yaani unaanza kuwa na tabia zile za kiCCM CCM. Unaanza kujisogeza kwa CCM, unaanza kuongea kama wanaCCM, na unaanza kubehave kama wanaCCM

Huu ni muda muafaka kwa wanaCHADEMA kumtafakari Mwenyekiti Mbowe kuona kuwa , Je ni kweli siasa hizi za kulala kitanda kimoja na CCM anazoanza kuzifanya zinatokana na utafiti wa kina na upeo wa kisiasa au zinatokana na

1. Mosi, Je ana makubaliano ya siri na CCM ikiwa kama sababu ya kuachiwa kwake Jela na kwa hivyo anafuata script aliyotengenezewa AU

2. Je ana masilahi bianfsi ikiwemo ya kibiashara au kurudishiwa mali zake alizoporwa na serikali ya CCM kipindi cha Mwendazake?

3. Au je ni uzee na uchovu(wa Kisiasa) kwa hiyo ndo ameamua kwenda na falsafa maarufu ya "Kama huwezi kuwashinda, basi ungana nao?".

Katika nchi yoyote ukiona UPINZANI unafanya ROMANCE na Chama Tawala, Jua kuwa hakuna upinzani hapo bali kuna genge la wapiga dili wa kisiasa

Mimi naunga mkono chadema Kwa walichofanya, wametumia akili kubwa, coz uwez kubishana na serikali never

Chadema walikaa bila mikutano, walikaa bila mikutano ya ndani, walikuwa wanakamatwa kila siku, wanafungwa, na nyie mnao piga kelele sasa mlikuwa mnatengeneza watoto Tu nyumbani kwenu

Sasa now wameamua kusikilizana na serikali ili Tu warudi kwenye platforms upya, nyie mnaanza kelele sijui hata mnataka nn

Kudeal na serikali za kiafrika ni ngumu Sana, kushindana na serikali ni ngumu sana, serikali inaweza kufanya Jambo lolote

Mfano ishu ya wakina mdee, si unaona mpaka Leo ni wabunge? Na wote tunajua hawakutakiwa kuwa wabunge?

Hiyo ndio nguvu ya serikali,

Mbowe ameamua kuanza upya, chama kipate Ruzuku yake, Chama kishiriki Uchaguzi, Chama kipate wabunge hapo sasa ndio kitakuwa chama pinzani

Uwez kuwa chama pinzani na upinzani wako unafanya kwenye keyboard tu
 
As for the record wapo walichokifanya ikiwemo kuvimba na kesi hadi mwisho, wapo walio andamana nje ya viunga vya mahakama, at one hawakuruhusiwa kuingia mahakamani. Na mengi tu. Check your record bro
Hayo yote nayajua, ila hayakuwa yakitosha na hata waliyokuwa wakifanya hivyo walikuwa ni wachache sana kuliko wingi wa wanachadema kama hao waliyokuwa wakiandamana mahakamani walikuwa wachache mno.
 
Wapinzani sisi hatuelewi huo msimamo wa viongozi wa CDM kwa muongozo wa Mbowe. Wao viongozi waendelee na siasa za kujikomba, lakini sisi hatuna muda huo. Kama Mbowe aliweza kumpokea Lowassa na watu wakamvumilia, basi safari hii atajua hana ushawishi huo aliodhani anao. Ni muda mrefu Mbowe alishaonyesha kupoteza mwelekeo.

Chama kinaitaji wafuasi, chama kinaitaji kushika dola

Sasa best candidate wenu Dr slaa alikimbia

Ulitaka chadema Kwa wakati ule wa msimamishe salum mwalimu?

Na lowasa alileta wabunge wengi chadema
 
Wapinzani sisi hatuelewi huo msimamo wa viongozi wa CDM kwa muongozo wa Mbowe. Wao viongozi waendelee na siasa za kujikomba, lakini sisi hatuna muda huo. Kama Mbowe aliweza kumpokea Lowassa na watu wakamvumilia, basi safari hii atajua hana ushawishi huo aliodhani anao. Ni muda mrefu Mbowe alishaonyesha kupoteza mwelekeo.
Mkuu Tindo najua inaumiza wakati mwingine kutoelewa viongozi wanasimamia nini...kwa kweli mapokezi ya Lowasa yalituondoa kwenye reli.
 
Wapinzani sisi hatuelewi huo msimamo wa viongozi wa CDM kwa muongozo wa Mbowe. Wao viongozi waendelee na siasa za kujikomba, lakini sisi hatuna muda huo. Kama Mbowe aliweza kumpokea Lowassa na watu wakamvumilia, basi safari hii atajua hana ushawishi huo aliodhani anao. Ni muda mrefu Mbowe alishaonyesha kupoteza mwelekeo.
Hata Mandela wenzake walimshangaa sana na habari za reconciliation lakini ni kwa maslahi mapana ya taifa kwasasa kazi kubwa ni kusafisha ile sumu ya chuki turudi square one kwenye minyukano ya hoja isiyo na chembe ya risasi.
 
Mbowe anafanya kazi nzuri sana,dawa imeanza kuingia vizuri huko😁😁😁
 
Back
Top Bottom