Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,829
- 225,639
Nakuona MkuuSiyumbi kwenye haya mambo boss.
Wewe ni mpinzani mwaminifu
Huwa hubadilishi msimamo wako hata iweje.
Nakuona MkuuSiyumbi kwenye haya mambo boss.
Hongera kwa kukebehi madaktari wa kusomea , ungeuliza walio na masters wangekusaidia upate mwanga , mtu yoyote mwenye masters anajua PhD ni nini .Sina haja ya kwenda UD nimejua uwezo wake katika uongozi wake, iko wazi sana kama mimba, low IQ
1. Hebu fafanueni basi mueleweke, kwamba, kabla ya hapo walikuwa wakifanya siasa zipi kwani? Na "siasa mbadala" ni zipi na wasifanye kwa namna gani eti?Anachozungumzia Missile of the nation ni siasa za ushindani, si za kuunga mkono juhudi za CCM...Nchi inahitaji siasa mbadala, CCM ishatufilisi vya kutosha! Kina Mbowe wameingia mtego wa panya mroho...!
Unachokifanya Mbowe anakiita ni Madness.Huko kuitwa jina lingine si ndio kutofautiana kwenyewe?
Basi ndio chadema wawe wanaacha hiyo tabia za kukataa matokeo ya uchaguzi.Mwamba sio kama Shibuda au Mrema Vision na Focus ya Mwamba ni kutuvusha na ni mbinu mujarabu kabisa.
Wewe unataka upinzani wa aina gani kwani? Chadema wanaamini zaidi katika chadema kuliko hicho kinachoitwa upinzani.Tanzania tusubiri upinzani mwingine, huu umeshaweka silaha chini
Si uanzishe chama chako kwani lazima cdm!Tanzania tusubiri upinzani mwingine, huu umeshaweka silaha chini
kama ni mwamba basi huyu ni mwamba geu. Mwepesi sana wa kugeukageukaMwamba sio kama Shibuda au Mrema Vision na Focus ya Mwamba ni kutuvusha na ni mbinu mujarabu kabisa.
Sio mwepesi ni mahesabu tu, utakuja kumuelewa Mungu atuachie uzima.kama ni mwamba basi huyu ni mwamba geu. Mwepesi sana wa kugeukageuka
Tena wanachama wa cdm ambao mlikua mnajifanya hamuelewi chochote kama nyie ndo naflai sana kuwaona saiviSi uanzishe chama chako kwani lazima cdm!
Imeshaisha imeisha. Hapa saivi ni mama tu. Chadema 2025 lengo kuu itakua ni kupata viti bungeni kwiaio mama ni mpaka 2030 hiiWewe unataka upinzani wa aina gani kwani? Chadema wanaamini zaidi katika chadema kuliko hicho kinachoitwa upinzani.
Unapoona mtu kama Sugu anasema kuwa Rais Samia ni rafiki yake anaweza kupigiana nae simu, Lissu anakwambia Rais Samia anamwita yeye ni mdogo wake hapo unafikiri kuna nini?Imeshaisha imeisha. Hapa saivi ni mama tu. Chadema 2025 lengo kuu itakua ni kupata viti bungeni kwiaio mama ni mpaka 2030 hii
Kwishney.Unapoona mtu kama Sugu anasema kuwa Rais Samia ni rafiki yake anaweza kupigiana nae simu, Lissu anakwambia Rais Samia anamwita yeye ni mdogo wake hapo unafikiri kuna nini?
Tutoe msaada upi wakati Hilo ndo jukumu lao la sivyo waachane na siasa jukumu la mjeshi kupambania ulinzi wa taifa lake hata kufa sawa na upinzani kupambania kuwasemea raia mpaka kufa tofauti na hapo waachane na upinzani wake tujumuike NAO huku na siyo kula ruzuku bure bureWakati wanateseka kwa kufilisiwa, na kuwekwa rumande kwa kesi za mchongo, na wengine kuuliwa mlitoa msaada gani kwao