Baada ya kupoteza thamani, ameamua kunitafuta

Baada ya kupoteza thamani, ameamua kunitafuta

We jamaa ni limtu libinafsi sana.

You are a narcissist kwanini ukomoane na mwanamke, na uwe na mapenzi ya kuigiza?

Do you think that unaacha legacy yoyote nzuri? Unaonesha how immature you are kwa akili. Binafsi sjapendezwa na tukio la wewe kumkomoa kabla haja pata ajali
 
Fahamu kwanza kama mtoto ni wako au sio wako then ufanye maamuzi ya kumsomesha ila kuludiana na huyo mwanamke fata moyo wako ila usibebe msalaba wa mtu yeyote
 
Kama unatoa kwa mama, baba na ndugu zako tu huwezi ona ugumu.
Toa kwa mtoto wa mwanamke mwenzio unayemwita mpenzi wako
Kama unampenda mtu huwezi one ugumu ukitoa labda kama kuna past trauma zilitokea ndo utakuwa 50/50 ( uhudumie au usihudumie) kwa kuhofia jambo lile lililo.kudissspoint litatokea tena.....
 
Kuna mpenzi wangu mmoja nilimpenda sana, kuliko yeye alivyonipenda mimi.

Upendo ukawa unaongezeka zaidi, pale ninapokuwa nampa vijisenti.

Baada ya kuona anatumia visalio vyangu vingi, nami nikawa namkomoa kwenye shoo, nikawa nampa shoo kali.

Iliyopelekea, akawa ananikwepa kwepa pale ninapokuwa namuhitaji.

Baada ya muda akawa amebeba ujauzito, ingawa simuamini sana kama yule mtoto ni wa kwangu, ingawa yeye anasema ni wa kwangu.

Mahusiano yetu yakawa ni ya migogoro hasa pale ninaposhindwa kumtumia visalio. Na nilikuwa nafanya makusudi ili niweze kupima upendo wa kweli.

Baada ya muda kupita, kila mmoja akaendelea na maisha yake; ingawa mara moja moja tulikuwa tunawasiliana pale ambapo hasira zinakuwa zimeisha.

Hivi karibuni, alipata ajali iliyopelekea kuvunjika mguu, na kusababisha tembea yake kuwa ya kuchechemea.

Tangu ajali itokee mpaka leo hii, imepita kama miezi sita hivi; sasa leo amenipigia simu na kulalamika watu aliokuwa akiwaamini wamemtelekeza na wamepunguza ukaribu naye.

Kwa hiyo anaomba tusameheane kwa yale yote yaliyotokea, na maisha yasonge mbele; Pia nijiandae mwakani mtoto aweze kwenda shule.

Hapa nilipo natafakari, baadaya kuona anachechemea na watu kutokuwa karibu naye, ndio ameona umuhimu wangu?

Wakuu, ebu nishaurini.​
Ushauri wetu utakupotosha
Fanya maamuzi ili uishi kwa amani, upendo na utu
 
We jamaa ni limtu libinafsi sana.

You are a narcissist kwanini ukomoane na mwanamke, na uwe na mapenzi ya kuigiza?

Do you think that unaacha legacy yoyote nzuri? Unaonesha how immature you are kwa akili. Binafsi sjapendezwa na tukio la wewe kumkomoa kabla haja pata ajali
Ukikua, utajua mazuri yao na mabaya yao
 
Kama unampenda mtu huwezi one ugumu ukitoa labda kama kuna past trauma zilitokea ndo utakuwa 50/50 ( uhudumie au usihudumie) kwa kuhofia jambo lile lililo.kudissspoint litatokea tena.....
Kwani huko kuhudumiwa lazima kuhusishe financial?
 
Back
Top Bottom