Baada ya kupoteza thamani, ameamua kunitafuta

Baada ya kupoteza thamani, ameamua kunitafuta

Ata kama hakuna mahusiano tena?
Naam, kama rafiki tu. Matatizo anayopitia ni magumu kimwili na kiakili. Anahitaji sapot kifedha na hata kufarijiwa tu. Ningekushauri kwamba hiki sio kipindi cha kumuonyesha makucha.

Sio kwamba nashauri urudiane nae kimahusiano lakini, hilo ni la kwako binafsi kuamua
 
Back
Top Bottom