Mallerina
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 3,008
- 7,235
Kauli ya mwanaume asiye na hela..Pumbavu , kamhudumie mwenyewe Malaya mwenzako Huyo
Rubbish🚮
Kauli ya mwanaume asiye na hela..Pumbavu , kamhudumie mwenyewe Malaya mwenzako Huyo
Anataka ndoa huyo"nilikuwa nikimuambia hivi wewe bado ni binti mdogo, ikitokea tukaachana utapata tu wa kukuowa, "........................ sijui nilikuwa namuingiza chaka eti wakuuu? mwaka haujaisha naona ananitafuta..
Hata yesu alisema Kila mtu abebe msalaba wake kama anahisi sio wake apime DNA kesi ifungwe.Ukishindwa kumhudimia mtoto hio roho mbaya tena ya uchoyo
Uko sahihi, unaweza kufanya hivyo, akakulipa vibaya zaidi na ukajikuta unakufa kwa presha na baadaye kujutia pesa zako, ni bora ata ungenunulia shamba.kama wak
ukimrudia labda,nimesema msaidie,..hv unajua hamna kitu inaumiza mtu aliyekutendea ubaya halafu wewe ukamtedea wema
Dunia hii inatufundisha mengiKuchechemea tu wakaingia mitini!
Angekatwa miguu yote si ingekuwa balaa.
Kupotezewa muda sio poaUmeona ee
Huo wakati unaogundua unapaswa kuacha kuhudumiaKuna wakati unayajua baadae sana, japo wengine kupenda ni dhana tu haina uhalisia.
Usipende kukariri wanayosema watu kuwa mtoto ataenda...Mtoto uzae na Juma, mimi Joseph ndio nije nilee, alafu mtoto akikua akamtafute Juma.
Kiuhalisia huwa mtu anapenda anapo.benefitMfano, konde pale anapendwa au ni maslai?
Kama hujaolewa huduma zote anawajibika baba yako mzazi na kaka yako.Me sijui kwanini wanaume mnaumiaga kwenye kuhudumia
Msalaba ulimaanisha dhambiHata yesu alisema Kila mtu abebe msalaba wake kama anahisi sio wake apime DNA kesi ifungwe.
Si unajua rasilimali ni chache?, kwa hiyo zinatakiwa zitumike sehemu sahihi tu.Usipende kukariri wanayosema watu kuwa mtoto ataenda...
You just play your part
Usiweke chuki
Kwanini uwe kwenye mahusiano kama haupo tyr kuhudumiaKama hujaolewa huduma zote anawajibika baba yako mzazi na kaka yako.
Kwenye starehe mkikutana kila mmoja ana enjoy hivyo hakuna haja kati yenu kuhudumiana.
Hio sehemu sahihi ni ipi?!!Si unajua rasilimali ni chache?, kwa hiyo zinatakiwa zitumike sehemu sahihi tu.
Kaeni myajenge kwa maslahi ya mtoto, kuchechemea hata wewe kunaweza kukupata au hata ukawa unatambaa kama nyoka.Kuna mpenzi wangu mmoja nilimpenda sana, kuliko yeye alivyonipenda mimi.
Upendo ukawa unaongezeka zaidi, pale ninapokuwa nampa vijisenti.
Baada ya kuona anatumia visalio vyangu vingi, nami nikawa namkomoa kwenye shoo, nikawa nampa shoo kali.
Iliyopelekea, akawa ananikwepa kwepa pale ninapokuwa namuhitaji.
Baada ya muda akawa amebeba ujauzito, ingawa simuamini sana kama yule mtoto ni wa kwangu, ingawa yeye anasema ni wa kwangu.
Mahusiano yetu yakawa ni ya migogoro hasa pale ninaposhindwa kumtumia visalio. Na nilikuwa nafanya makusudi ili niweze kupima upendo wa kweli.
Baada ya muda kupita, kila mmoja akaendelea na maisha yake; ingawa mara moja moja tulikuwa tunawasiliana pale ambapo hasira zinakuwa zimeisha.
Hivi karibuni, alipata ajali iliyopelekea kuvunjika mguu, na kusababisha tembea yake kuwa ya kuchechemea.
Tangu ajali itokee mpaka leo hii, imepita kama miezi sita hivi; sasa leo amenipigia simu na kulalamika watu aliokuwa akiwaamini wamemtelekeza na wamepunguza ukaribu naye.
Kwa hiyo anaomba tusameheane kwa yale yote yaliyotokea, na maisha yasonge mbele; Pia nijiandae mwakani mtoto aweze kwenda shule.
Hapa nilipo natafakari, baadaya kuona anachechemea na watu kutokuwa karibu naye, ndio ameona umuhimu wangu?
Wakuu, ebu nishaurini.
Dunia hii imejaa utapeli mwingiKiuhalisia huwa mtu anapenda anapo.benefit
Either you love the way she loves you and she loves you the way treat her verse versa
Mutual benefit...
Chini ya miaka 30 au chini ya miaka 23?I guess hakuwa na zaidi ya miaka 30 na alikuwa na tako..Wadada wa aina niliyotaja hapo wanakuwaga huwaambii kitu katika peak yao wengi huwa na majuto mbeleni
Eeeh mambo yamebadilikaDunia hii imejaa utapeli mwingi
Inaoekana kuna mtu umembebesha majukumu ya mtoto ambaye si wake.Msalaba ulimaanisha dhambi
Hio unayokazia ni roho mbaya tu mnaweka kwa mtoto