Baada ya kupoteza thamani, ameamua kunitafuta

Baada ya kupoteza thamani, ameamua kunitafuta

Kwa hiyo anaomba tusameheane kwa yale yote yaliyotokea, na maisha yasonge mbele; Pia nijiandae mwakani mtoto aweze kwenda shule.
Nini kilitokea hata msameheane?. Kama hakuvunjika mguu angeliomba msamaha?. Angetaka mrudiane?.

Hio ni kawaida ya binaadamu anapokuwa yupo na nafasi hujiona yeye bora lakini hio nafasi ikiondoka ndio akili ya kumtafuta mnyonge wake wa kumbebesha matatizo yake.

Swali kwako mkuu upo tayari kutengeneza gari bovu wakati lilipokuwa zima halikutaka kukupa hata lift(ride)?.
 
Vijana mna hasira sana na wanawake wa mjini😁
Mabwege Sana na culture ya kipuuzi ya entitlement ndio chimbuko kubwa LA uharibifu katika Jamii , yanaishiaga hata kudharau na kuharibu ndoa zao na kwenda kusagwa huko na wahuni kwa tamaa za kisenge yanakuja yamechakaa ma single mother yakitegemea huruma kwa wanaume mabwege wa kuangushia jumba bovu ,madhara yake ni kuwa na jamii yenye malezi mabovu Sana hata kwa watoto
 
Back
Top Bottom