PeeWee
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,364
- 3,260
Wewe unahudumia?Me sijui kwanini wanaume mnaumiaga kwenye kuhudumia
Wewe unahudumia?Me sijui kwanini wanaume mnaumiaga kwenye kuhudumia
Mwanaume akipenda atahudumia familia ya mwanamke sio mtoto tuInaoekana kuna mtu umembebesha majukumu ya mtoto ambaye si wake.
NahudumiwaWewe unahudia?
Kama mtoto si wako hapo inakuwaje?Kaeni myajenge kwa maslahi ya mtoto, kuchechemea hata wewe kunaweza kukupata au hata ukawa unatambaa kama nyoka.
Kwanini uwe kwenye mahusiano kama haupo tyr kuhudumia
Anza kuhudumia hata kidogo then ulete mrejesho.Nahudumiwa
Alafu yeye anapata nini?Mwanaume akipenda atahudumia familia ya mwanamke sio mtoto tu
ila daddy 😂😂😂😂😂 naagiza ukamatwe mara moja uanze kunyea debe immediately 😹😹😹Kamsemee kwa babaake
Fahamu kwanza mtoto si wako mkuu. Vuka daraja ulilolifikia.Kama mtoto si wako hapo inakuwaje?
Hili ndilo la muhimu la kujiridhisha.Fahamu kwanza mtoto si wako mkuu. Vuka daraja ulilolifikia.
Duh, kuna watu mna roho mbaya sana.Mrudie halafu umle kinyeo kwa kumkomoa.
Muongezee kilema cha marinda.
Itasikitisha sana umma 😎ila daddy 😂😂😂😂😂 naagiza ukamatwe mara moja uanze kunyea debe immediately 😹😹😹
Kabisa mkuuHili ndilo la muhimu la kujiridhisha.
Kwa hii mentality wadada wazuri utaishia kuwaona tiktokMbona hapo juu nimeeleza vizuri tu bibie kwamba mahusiano ni wote mpo kwenye win win situation so hakuna kati yenu anayepaswa kuwajibika dhidi ya mwingine financially.
Kama mwanamke hujaolewa basi wajibu wa kuhudumiwa upo kwa baba yako mzazi ama kaka yako kama baba yako hayupo.
Mke wa ndoa pekee ndiye anapaswa kuhamishia majukumu ya kuhudumiwa kutoka kwa baba yake kwenda kwa mumewe.
Nina mayo wa kutoa na sioni ugumu wowote..Anza kuhudumia hata kidogo then ulete mrejesho.
WatotoAlafu yeye anapata nini?
Kama unatoa kwa mama, baba na ndugu zako tu huwezi ona ugumu.Nina mayo wa kutoa na sioni ugumu wowote..
Na wengi nimesaidia mnooo bila kurudishiwa..
Tatizo kwenu mahusiano ni kitenga uchumiNina mayo wa kutoa na sioni ugumu wowote..
Na wengi nimesaidia mnooo bila kurudishiwa..
Wakuu, ebu nishaurini