binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,904
- 22,292
Kusikia kwa kenge.…. 😂Kipindi cha uchumba ulidharau baadhi ya vijitabia vyake, Madhara ndo hayo
Kusikia kwa kenge.…. 😂Kipindi cha uchumba ulidharau baadhi ya vijitabia vyake, Madhara ndo hayo
Hata ukiwa nae akitaka kuliwa ataliwa tuLikizo ukaliwe na ex?
Muache tu kiroho safiChangamoto huwa haziishi na hutofautiana.
Mfano.
Umegundua mkeo anacheat, uendelee naye kwasababu ukiamuacha na kuwa na mwingine utapata anayecheat zaidi.
Maisha hayapo hivyo
Pole sana mkuu. Inaudhi sana unapambana kwa ajili ya familia afu unakuta wife anakuletea maudhi ya kithenge.Umuofia kwenu!!
Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;
1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha Star TV kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.
"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."
"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah
2. Nimepumzika kushuhudia mabega na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi.
3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo.
4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda.
5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku.
6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka, hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.
Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli? Arudi ili nije kupata stress tena?
Ndoa..........mh!
📌📌📌📌📌Na ukiona mke anadokoa visenti vidogo ujue humpi pesa kwaajili ya matumizi yake binafsi.
kawaida hii mkuu.mbona mkiishiwaga tunawapga tafu..ni kawaida sana hii...haibi...anatunzaAkili ya kushirikiana na house girl kula ganchi? hii dunia ina mambo kwel.
na dawa yao ni hiyo tuNyienyie usiombe uolewe na mwanaume bahiri na huna chakufanya aisee hakuna rangi utaacha ona wewe mkuu ni mbahiri ndomana inapigwa sachi
Anamuonea wivu mke kula ganji ya mumewe.Tunashauriwa kuweka akiba , sio kupewa hela yote na kuitumia yote bila kubakiza hata senti.
Kama 7000 inatosha kwa chakula ni sahihi alivyofanya. Sasa inategemea hiyo 3000 inaenda kwenye matumizi gani.
Huyo mke ana akili.
i kawaida sana mkuu....nakushanga umeichukulia in a negative waykwa sababu unatumia nguvu kubwa kumtetea huyo mwanamke aliyekuwa anashirikiana na hg kula ganchi kwa mumewe, kama ulisoma comment yangu ya kwanza na kuilewa, concern yangu kwa hyo mama wa kwenye daladala sio kula ganchi au kubana hela, kilichonichosha ni yeye kushirikiana na hg kula ganchi ya hela ya matumizi.
WEKA PALE TUNAPOWEKAGA.
mwanaume wa kwanza kwenye huu uzi...kongole..wewe ni Mwanaume halisia..nashangaa kugombania tv na wifeBasi asililize hata radio tu. Aache ufala wa vitu vidogo vidogo, kazi ya mume ni kuhudumia familia na sio kugombania remort ya TV na watoto, mimi hata kuwasha TV siku hizi siwezi,
gube lingine, linaonesha baadhi ya makucha, sasa usiombe kujue makucha yaliyobaki yamejificha huko!Yaani mimi uniambie niende kwetu bila sababu ya msingi na sijataka mwenyewe kwenda maweeeee...
NIkienda sirudi utatuma winch ije kunibeba kutoka huko.
Labda uniambie kabisa umeniacha nijue moja
200kHivi kwa matumizi ya sasa yalivyojuu au makubwa zaidi ya kipato...kwa wale wenye familia ni hela gani mzuri ya kumpa mke kama matumizi ili mwezi mzima asikuombe au akae hata week mbili bila kuomba hela..
mkuu umesoma comment yangu ya mwanzo kabisa na kuilewa?n
i kawaida sana mkuu....nakushanga umeichukulia in a negative way
Chalamila kafunga madanguro , utamu utaupataje?Hapana mkuu
yes...wewe umeshangaa kushirikiana na hausgelo wake..ndo nikasema ni KAWAIDA MNOO...!mkuu umesoma comment yangu ya mwanzo kabisa na kuilewa?
kwani nimesema anaiba? mshangao wangu ulikuwa kushirikiana na hg kwenye huo mchezo, ebu tafsiri hii kauli. ''WEKA PALE TUNAPOWEKAGA''kawaida hii mkuu.mbona mkiishiwaga tunawapga tafu..ni kawaida sana hii...haibi...anatunza