MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
nilimpeleka mke wangu kwenye hospitali moja kubwa hapa mjini kwa ajili ya kujifungua.
bahati mbaya dr. aliemtibia aliongezea ufundi kwa kumtamani mke wangu na hatimae alifanikiwa kumrubuni na kufanya nae tendo la ndoa. kilichofatia ni kumjaza mimba nyingine baada ya miezi minane.
nimefatilia kwa ukaribu ni baada ya kuona hali ya mtoto wetu aliyemzaa miezi 8 iliyopita ikidhoofika na baafa ya uchunguzi nikagundua mke wangu amepata ujauzito ambao mpaka nimegundua ni zaid ya miezi mi4 imeshapita. nilipom'bana aligoma kunieleza ukweli. lkn niliendelea kuchunguza kiundani zaidi hatimae nikagundua mazito hayo.
je kiafya hii mimba haina madhara kwa kadri anavoendelea kumnyonyesha mtoto wetu.?
Je huyu Dr. aliyefanya unyama huu anastahili kuendelea kuwa dr. maana nimegundua amemwambia mke wangu asishiriki tendo la ndoa mimi mume wake kwa kisingizio ntamuharibu kiumbe chao kijacho. wakati yeye huyohyo dr. alisababisha mtoto wetu kuugua kwa muda baada ya kuathirika kutokana na hali ya mama kubeba mimba nyingine.
mpaka naongea hapa bado siku chache mke wangu ajifungue mtoto wa dr. mharibifu.
nini nifanye juu ya Dr. huyu aliyenivunjia ndoa na familia yangu kwa mana hivi navoongea nimesha mtaliki mke wangu kutokana na mke wangu kukiri kuwa na mahusiano na Dr.
NDOA YETU KWA MPAKA MUDA HUU NDIO INGEKUWA INAINGIA MWAKA WA TATU.
NAOMBA USHAURI WENU.
Sent using Jamii Forums mobile app
bahati mbaya dr. aliemtibia aliongezea ufundi kwa kumtamani mke wangu na hatimae alifanikiwa kumrubuni na kufanya nae tendo la ndoa. kilichofatia ni kumjaza mimba nyingine baada ya miezi minane.
nimefatilia kwa ukaribu ni baada ya kuona hali ya mtoto wetu aliyemzaa miezi 8 iliyopita ikidhoofika na baafa ya uchunguzi nikagundua mke wangu amepata ujauzito ambao mpaka nimegundua ni zaid ya miezi mi4 imeshapita. nilipom'bana aligoma kunieleza ukweli. lkn niliendelea kuchunguza kiundani zaidi hatimae nikagundua mazito hayo.
je kiafya hii mimba haina madhara kwa kadri anavoendelea kumnyonyesha mtoto wetu.?
Je huyu Dr. aliyefanya unyama huu anastahili kuendelea kuwa dr. maana nimegundua amemwambia mke wangu asishiriki tendo la ndoa mimi mume wake kwa kisingizio ntamuharibu kiumbe chao kijacho. wakati yeye huyohyo dr. alisababisha mtoto wetu kuugua kwa muda baada ya kuathirika kutokana na hali ya mama kubeba mimba nyingine.
mpaka naongea hapa bado siku chache mke wangu ajifungue mtoto wa dr. mharibifu.
nini nifanye juu ya Dr. huyu aliyenivunjia ndoa na familia yangu kwa mana hivi navoongea nimesha mtaliki mke wangu kutokana na mke wangu kukiri kuwa na mahusiano na Dr.
NDOA YETU KWA MPAKA MUDA HUU NDIO INGEKUWA INAINGIA MWAKA WA TATU.
NAOMBA USHAURI WENU.
Sent using Jamii Forums mobile app