Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

Hali ya Ukosefu wa Chakula Nchini imewafanya wakazi wa Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga kufanya Maembe kuwa Chakula
Kikuu
Picha hapa Chini ikimuonyesha Mkuu wa Wilaya hio Akilia baada ya kushuhudia wananchi wakishindia maembe




View attachment 460493

MZK una kifua lakini????? shauri yako
 
Huyo mkuu wa wilaya si ndiyo Somebody Gondwe?
Kama ndiye arudi tu ITV aendelee kutangaza.
Kama kiongozi anajilizaliza,hali ikoje kwa wananchi?
 
Wewe: Hela hamna mtaani mkuu
Mimi: Umezoea kupiga deal, fanya kazi sasa

Wewe: Mkuu sukari hamna
Mimi: Wapo wachache wameificha, wataitoa tu

Wewe: Mkuu nimekosa mkopo, nina div one
Mimi: Huna vigezo

Wewe: Mkuu mimi mtumishi, vipi nyongeza yangu. Ulisema miezi miwili tu
Mimi: Bado Nahakiki

Wewe: Mkuu tuna njaa huku
Mimi: Kwahiyo, mnataka niwapikie?

Wewe: Mkuu hivi kweli wewe ni kipenzi cha Mungu?
Mimi: Umetumwa wewe.
 
Wewe bado sana, ndio maana huwezi kuona hoja ya kinachochadiliwa, unakurupuka unadhani rahisi eeenh? Kama wewe umeenda shule vizuri naomba unipe tafsiri yako ya neno chakula, hilo tu, tuone shule yako ya kidato cha nne ikoje kisha tulinganishe na ya kwangu ya 'hamirojo'. Chakula ni nini? Twende kazi
CAnt waste my time on discussing this; yaani mtu mzima kabisa unadhani mtu kushindia na kulalia maembe ni sawasawa!????
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Hiyo teknolojia mbona huitaji na inapatikana wapi?
 
wananch wameuza akiba yao ya mifugo hadi kuku wameisha alafu serikali inaleta utani kwnye njaa
 
Hali ya Ukosefu wa Chakula Nchini imewafanya wakazi wa Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga kufanya Maembe kuwa Chakula
Kikuu
Picha hapa Chini ikimuonyesha Mkuu wa Wilaya hio Akilia baada ya kushuhudia wananchi wakishindia maembe




View attachment 460493

Na bado viongozi wetu wanasema nchi ina chakula cha kutosha,ni ajabu sana. Mimi binafsi huwa ninavuna sio chini ya gunia 150.Msimu uliopita nimevuna magunia saba tu!Sasa mkulima wa kawaida anayevunaga magunia sita,amevuna mangapi?Tuacheni siasa jamani hali ni mbaya.
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Aisee! No comment!
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Kwahiyo wewe unaweza kila siku iandayo kwa Mungu kwa angalau wiki moja na kuweza kunyanyuka kitandani? Kwani mkuu darasa la tatu au hata la pili hukupitia, mbona lishe inafundishwa kuanzia huko chini?

Ninachoshangaa, badala ya kuchukua action analia. Ukilia wewe na elimu yako hao viumbe wasiokuwa na elimu wafanye nini? Tafuta mbinu la kutatua matatizo Yao bila kutamka neno "njaa".
 
Mimi ni kilaza sawa nakubali, haya weye usiye kilaza toa tafsiri ya neno chakula halafu tujue nini ni chakula na nini ni chakula sio kuleta vumbi hapa. Chakula ni nini? Kwa nini Embe sio chakula? Kama unaweza tujadili, wenzako wamekimbia baada ya kwenda ku google!
Braza we kweli ni total kilaza maana ukiwa na tafsiri hii kwamba chakula nichochote kiliwacho kupitia kinywa utakuja kutuambia hata pipi ni chakula pia kwasababu inaliwa, chakula ni mkusanyiko wa vitu vingi vyenye madini yanayotakiwa mwlin vikiwepo vile vyakuutia mwili nguvu, joto nk sasa ili mtu awe nauwezo wakufanya kazi azalishe nilazima ale vyakula vyakuutia mwili nguvu sasa unategemea ale maembe ndio mwili uweze kufanya kazi ngumu? Thinking capacity yako ipo low.
 
Braza we kweli ni total kilaza maana ukiwa na tafsiri hii kwamba chakula nichochote kiliwacho kupitia kinywa utakuja kutuambia hata pipi ni chakula pia kwasababu inaliwa, chakula ni mkusanyiko wa vitu vingi vyenye madini yanayotakiwa mwlin vikiwepo vile vyakuutia mwili nguvu, joto nk sasa ili mtu awe nauwezo wakufanya kazi azalishe nilazima ale vyakula vyakuutia mwili nguvu sasa unategemea ale maembe ndio mwili uweze kufanya kazi ngumu? Thinking capacity yako ipo low.

Ukiambiwa ulete tafsiri ya chakula unaleta vituko. Wewe ukila ugali umekula chakula au? Mtu akila maembe na na uji ana tofauti gani na aliyekula ugali na mchicha wewe mwenye akili za kukariri?
 
Kwahiyo wewe unaweza kila siku iandayo kwa Mungu kwa angalau wiki moja na kuweza kunyanyuka kitandani? Kwani mkuu darasa la tatu au hata la pili hukupitia, mbona lishe inafundishwa kuanzia huko chini?

Ninachoshangaa, badala ya kuchukua action analia. Ukilia wewe na elimu yako hao viumbe wasiokuwa na elimu wafanye nini? Tafuta mbinu la kutatua matatizo Yao bila kutamka neno "njaa".

Hapa ulikuwa umeshashitua viroba ulipoandika haya. Hebu rudia kusoma ulichoandika
 
CAnt waste my time on discussing this; yaani mtu mzima kabisa unadhani mtu kushindia na kulalia maembe ni sawasawa!????

Hata wendawazimu majalani huwaona wenye akili timamu wapitao njiani ni wagonjwa wa akili, haishangazi, watanzania wengi wanajipa daraja la watu wenye akili na wenye uwezo wa kufikiri, lakini inapokuja nafasi ya wao waoneshe uwezo wao wa kufikiri majibu yao huwa kama yako kwa kuwa hawawezi kufikiri. Mtu mwerevu huwa hashindwi na hoja ya kijinga kiasi cha kuhamaki bali huisambaratisha kwa nguvu ya hoja na umahiri wake huonekana. Kabla wengi wetu hatujaanza kufikiri hudhani kufikiri ni kazi rahisi, tunapotakiwa kufikiri huishia kutoa sababu ili tusifikiri
 
5753b253bb6b5f334c8049eb555ec2e0.jpg
 
Domokaya mnamwandama bure yeye katumia lugha mficho kwamba hata bwana yule mtukufu akiambiwa wananchi wanashindia maembe atasema tena yanafaa kwa afya sio mpaka uambiwe na daktari. Mantiki take hata DC alive njaa bado haijatangazwa kuwepo nchini
 
Back
Top Bottom