domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,588
- 1,760
umepumzika bado unarud ukiwa umepanic
hivi njaa nayo inajadiliwa ndo mnachojifunza huko japan?
utatumia kila aina ya lugha huwez kuondoa uhalisia bado unaomba difinition ya chakula upo jamii forum lakin hufam kama hii mada haipo jukwaa la elimu we vipi???
kamsikilize babu warioba huko wewe ushaanguka umebaki kupwayapwaya
Hee kumbe definition huku jamii forum zinaombwa jukwaa la elimu tu? Asante kwa taarifa. Amakwli kichwa cha kuku