Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Kama maembe ni chakula kalishe familia yako na ndugu zako.
 
Kama maembe ni chakula kalishe familia yako na ndugu zako.

Ndugu zangu wa Handeni wanakula maembe, watu wanao kremu na wanajidai wameenda shule eti wanasema wale ndugu zangu wanaokula membe wana njaa. Shule hizi za kupata vyeti kweli zina mambo. Msomi mwingine alienda Ivory Coast akarudi na story zake eti akina Drogba wajinga sana wanakula konokono! Asijue yeye ndio zoba wa kwanza
 
Ungekaa kimya ingependeza sana.

Ushabiki wa vyama usiwatoe akili.

Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
 
Ungekaa kimya ingependeza sana.

Ushabiki wa vyama usiwatoe akili.

Ungekuwa na akili ungejibu hoja, hakuna chama hapa, ufinyu wako wa fikra unaokufanya udhani una mawazo mazuri zaidi utumie hapa. Sema Meambe sio chakula na utuambie chakula ni nini na kitu kipi na kipi ni chakula. Mbwa sio chakula? Paka sio chakula? Konokono sio chakula? Mamba sio chakula? Mihogo sio chakula? Pia useme kwa nini hiki kiwe chakula nikingine kisiwe chakula. Kama unaweza kufikiri utawaza kama bahati mbaya tafakuri ina kilema aidha utaishia kutukana au ukiwa msitarabu utakimbia
 
Acha uchochezi, hakuna sehemu yeyote yenye njaa nchi hii
 
kinachomliza yeye anakula vizur afu raia wanashinda njaa...so sad..
CCM ni kama minyoo, minyoo hata ukifa bado itakula kile ulichokula.Tena ipo mahali inapokula kwanza kabla mwili wako haujayonya,na ikibidi wanaweza vuruga ukakiharisha au kutapika kiichobaki kuliko ule.Kwa ujumla ni minyoo,na inaweza muua host bila kujali au kuwa na shukrani.
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Kwa mtu anayeamini riziki hupangwa na Mungu na Jitihada hazishindi kudra nimesikitika sana baada ya kusoma maoni yako.Pengine mafanikio yako na utajiri wako unadhani umeletwa na akili zako pekee na si kwa kuwezeshwa na Mungu.

Ni watu wangapi leo hii wameenda maeneo yao ya kujitafutia riziki na wamerudi mikono mitupu ?Ni watu wangapi mwaka jana walilima mazao kwa wakati lakini hawakuvuna lolote?

Maembe mnakula nyie mnaofanya diet baada ya vitambi kuwatoka sasa mnataka kuvipunguza.Unawezaje kumwambia Mtanzania masikini anyefanya kazi ngumu ashindie maembe.

God is watching you.
 
Nipo Handeni Hapa Jamani, Nimezunguka Karibu 89% Ya Wilaya Nilichoona Kinasikitisha Sana, Watu Wana Njaa Sana.
 
Kwa mtu anayeamini riziki hupangwa na Mungu na Jitihada hazishindi kudra nimesikitika sana baada ya kusoma maoni yako.Pengine mafanikio yako na utajiri wako unadhani umeletwa na akili zako pekee na si kwa kuwezeshwa na Mungu.

Ni watu wangapi leo hii wameenda maeneo yao ya kujitafutia riziki na wamerudi mikono mitupu ?Ni watu wangapi mwaka jana walilima mazao kwa wakati lakini hawakuvuna lolote?

Maembe mnakula nyie mnaofanya diet baada ya vitambi kuwatoka sasa mnataka kuvipunguza.Unawezaje kumwambia Mtanzania masikini anyefanya kazi ngumu ashindie maembe.

God is watching you.

Kukimbilia kwa Mungu katika mjadala hiyo si dalili ya ucha Mungu bali dalili ya kushindwa kujibu hoja. Kukimbilia kwa Mungu ilhali unatakiwa ujibu jukumu lako ni mwisho wa uwezo, mwisho wa uwezo sasa unaamua kujikabidhisha. Usiangamie kwa kukosa maarifa, Mungu anataka uyatafute maarifa na uyatumie, acha uvivu wa kufikiri
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.

We unaweza shindia maembe? si maji tu yale
 
Definition ya njaa ni ipi? Au hadi watu wafe?


Kuna vyakula vingi tu hapa Tanzania......si lazima watu wale ugali na wali......nimetoka handeni majuzi kuna matunda kibao, mihogo, ndizi za kupika, na vinginevyo kibao.....tuache mazoea ya kulalamika wakati tuna vyakula kibao hapa TZ.
 
Mbona wenzetu jirani wako transparent. Kuna upungufu wa chakula na wanaagiza.
0922b820b6e3a82a299706855e7c4c68.jpg
 
Mbona wenzetu jirani wako transparent. Kuna upungufu wa chakula na wanaagiza.
0922b820b6e3a82a299706855e7c4c68.jpg

Hata wengine pia wanaruhusu ndoa za jinisa moja na sisi turuhusu? Haya mambo ya wengine wameolewa sijui wengine wamefanya nini tuyaache, tutumie akili zetu kufikiri, vichwa si vya kufugia nywele tu
 
Tatizo mkishashiba huwa mnatoa maneno machafu tu.

Sizani kama maembe ni mlo kamili.

Ungekuwa na akili ungejibu hoja, hakuna chama hapa, ufinyu wako wa fikra unaokufanya udhani una mawazo mazuri zaidi utumie hapa. Sema Meambe sio chakula na utuambie chakula ni nini na kitu kipi na kipi ni chakula. Mbwa sio chakula? Paka sio chakula? Konokono sio chakula? Mamba sio chakula? Mihogo sio chakula? Pia useme kwa nini hiki kiwe chakula nikingine kisiwe chakula. Kama unaweza kufikiri utawaza kama bahati mbaya tafakuri ina kilema aidha utaishia kutukana au ukiwa msitarabu utakimbia
 
Mkuu hawa watu huwa wanaongea vitu unabaki kushangaa tu.

Kwa maisha ya kijijini ambako kazi zake hasa kilimo cha jembe la mkono na kazi nyingine ngumu ndio mtu ale maembe kama chakula.

Kwa mtu anayeamini riziki hupangwa na Mungu na Jitihada hazishindi kudra nimesikitika sana baada ya kusoma maoni yako.Pengine mafanikio yako na utajiri wako unadhani umeletwa na akili zako pekee na si kwa kuwezeshwa na Mungu.

Ni watu wangapi leo hii wameenda maeneo yao ya kujitafutia riziki na wamerudi mikono mitupu ?Ni watu wangapi mwaka jana walilima mazao kwa wakati lakini hawakuvuna lolote?

Maembe mnakula nyie mnaofanya diet baada ya vitambi kuwatoka sasa mnataka kuvipunguza.Unawezaje kumwambia Mtanzania masikini anyefanya kazi ngumu ashindie maembe.

God is watching you.
 
Hata wengine pia wanaruhusu ndoa za jinisa moja na sisi turuhusu? Haya mambo ya wengine wameolewa sijui wengine wamefanya nini tuyaache, tutumie akili zetu kufikiri, vichwa si vya kufugia nywele tu
Upeo wako ndio umeishia hapo au unajitoa fahamu? Ila unaitendea haki i.d yako. Bora tu na wewe umeongea hata kama ni uharo.
 
Back
Top Bottom