Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

Tatizo mkishashiba huwa mnatoa maneno machafu tu.

Sizani kama maembe ni mlo kamili.

Kama unazungumzia suala la kudhani sasa wewe hujui unachokizungumza na pia sio sizani ni sidhani. Haya mambo yanahitaji weledi kuyazungumzia, ni body of knowledge, inaitwa food security. Kipi unachozungumzia wewe kati ya njaa au mlo kamili? Kwa hiyo kama mtu hapati mlo kamili huyo ana njaa? Duuh, kazi kweli kweli, ndio maana nasema unaweza ukadhani kufikiri si kazi lakini unapotakiwa ufikiri kwa njia ya kujibu hoja hapo ndipo utaona kuwa kuna watu wana uwezo wakufikiri zaidi yako
 
Upeo wako ndio umeishia hapo au unajitoa fahamu? Ila unaitendea haki i.d yako. Bora tu na wewe umeongea hata kama ni uharo.

Hoja yako ni kwa kuwa wengine wamefanya na sisi tufanye, huo ni ujinga. Sababu zilizowapelekea wao kufanya ni zipi? Je zinafanana na kwetu? Sio kusema tu tuwaige wale, tukiamua kuiga tutaiga mpaka kuolewa. Toa hoja, sio kusema kwa vile eti wale wamefanya. Kama kuzungumzia id yangu ndio hoja yako basi wewe tayari dawa imekuingia. Ukitaka kujadiliana na mimi jifunze kufikiri tofauti, usitie mguu katika anga zangu kama una fikra za kimazoea
 
>>>>Huyu mkuu wa Wilaya mnafiki mkubwa... Wananchi hawahitaji machozi yake wanahitaji msaada wa Chakula..

Wananchi wanalia, kiongozi analia . Nani wa kutoa msaada??
 
Hoja yako ni kwa kuwa wengine wamefanya na sisi tufanye, huo ni ujinga. Sababu zilizowapelekea wao kufanya ni zipi? Je zinafanana na kwetu? Sio kusema tu tuwaige wale, tukiamua kuiga tutaiga mpaka kuolewa. Toa hoja, sio kusema kwa vile eti wale wamefanya. Kama kuzungumzia id yangu ndio hoja yako basi wewe tayari dawa imekuingia. Ukitaka kujadiliana na mimi jifunze kufikiri tofauti, usitie mguu katika anga zangu kama una fikra za kimazoea
Badilika ndugu. Fikiria kutumia kifikirisha. Acha mihemko. Kama ilivyo wanafunzi wanavyotakiwa kuwa ni sawa na serikali zinavyotakiwa kuwa. Namaanisha kila nafasi ina tabia zake.
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Hujawai kuugua ugonjwa wa akili kweli wewe? kama bado nahisi ndio uendawazimu unakuanza. wahi mapema Hosp.
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Hapo umenena Kiongozi,
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.


Shame on you
 
Kama unazungumzia suala la kudhani sasa wewe hujui unachokizungumza na pia sio sizani ni sidhani. Haya mambo yanahitaji weledi kuyazungumzia, ni body of knowledge, inaitwa food security. Kipi unachozungumzia wewe kati ya njaa au mlo kamili? Kwa hiyo kama mtu hapati mlo kamili huyo ana njaa? Duuh, kazi kweli kweli, ndio maana nasema unaweza ukadhani kufikiri si kazi lakini unapotakiwa ufikiri kwa njia ya kujibu hoja hapo ndipo utaona kuwa kuna watu wana uwezo wakufikiri zaidi yako
Safi, jibu zuri saba. analeta mambo ya Mlo Kamili kwenye njaa. Jamaa hayupo serious kweli ni shida kufikili.
 
Ndo maana Mkuu anasema magazeti uchwara yafungiwe
Na wapiga picha uchwara wafungiwe haiwezekani umpige picha mkuu wa wilaya akikia. Msondo ngoma music band waliimba ukiona mtu mzima analia ujue.........
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.


wenzetu wanakula matunda baada ya kula chakula sisi tunageuza maembe chakula halafu mchela na ugali vinakuwa matunda afrika bana utapia mlo ni ngumu kuukimbia

tangu lini embe likawa chakula???
 
Hujawai kuugua ugonjwa wa akili kweli wewe? kama bado nahisi ndio uendawazimu unakuanza. wahi mapema Hosp.

Nimeshawahi kutembelea psychiatric ward mara kadhaa kujifunza. Wagonjwa wengine huwezi uamini ama wana matatizo ya akili mpaka uwasikie wakitamka kitu. Wao hujiona wapo timamu, waulize swali ndipo uone 'ngondo'. Mwingine atakuambia yupo pale kwa vile yeye ni daktari amekuja kuchoma watu sindano. Haishangazi kuona mwehu akamuona mzima mwehu, kinachowatofautisha hoja. Mmmoja anatoa hoja mwingine jibu lake halifanani kabisa na hoja. Kweli wa kupima tupo wengi, ikibidi tuongozane!
 
Naamini mkuu wa wilaya analia sababu anajua tayari ashakua jipu mbele ya mkuu

Anahofia ajira yake jamani
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Tumia akili kufkri, yaani watu waendeshe maisha kwa kula kitu(maembe) ambacho kinatakiwa ili kusaidia mmeng'enyo wa chakula? Je wewe ulishawahi kushindia maembe tu siku nzima? Hebu kuwa na huruma na wenzako
 
wenzetu wanakula matunda baada ya kula chakula sisi tunageuza maembe chakula halafu mchela na ugali vinakuwa matunda afrika bana utapia mlo ni ngumu kuukimbia

tangu lini embe likawa chakula???

Kama unataka kufikiri tofauti fanya hivi. Jaribu tu hata wewe mwenyewe. Jiulize chakula ni nini andika jibu lako atika karatasi. Halfu jiulize tena je embe si chakula? Kama jibu ni ndio andika sababu zako katika karatasi. Kisha rudi katika definition yako uone kama definition yako inakataa kama embe si chakula. Kama definition yako inakataa embe si chakula orodhesha vitu vingine ambavyo vina sifa ya embe kama si chakula. Chochote utakachokipata uje ushee na sisi, jambo moja tu muhimu uwe mkweli na matokeo ya kufikiri kwako
 
Tumia akili kufkri, yaani watu waendeshe maisha kwa kula kitu(maembe) ambacho kinatakiwa ili kusaidia mmeng'enyo wa chakula? Je wewe ulishawahi kushindia maembe tu siku nzima? Hebu kuwa na huruma na wenzako

Kama unakumbuka kama maembe na mafyulisi yalikuwepo hebu tukumbushe. Pia tukumbushe nini hasa kilitokea chakula hakikuwepo sokoni kabisaa au uwezo wa kununua kwa watu haukuwepo. Angalau wewe umeleta mjadala mzuri
 
Kama unataka kufikiri tofauti fanya hivi. Jaribu tu hata wewe mwenyewe. Jiulize chakula ni nini andika jibu lako atika karatasi. Halfu jiulize tena je embe si chakula? Kama jibu ni ndio andika sababu zako katika karatasi. Kisha rudi katika definition yako uone kama definition yako inakataa kama embe si chakula. Kama definition yako inakataa embe si chakula orodhesha vitu vingine ambavyo vina sifa ya embe kama si chakula. Chochote utakachokipata uje ushee na sisi, jambo moja tu muhimu uwe mkweli na matokeo ya kufikiri kwako


kuna kitu magufuli na majaliwa walikosea waliopoambiwa na zitto kuna tatizo la njaa hakuna chakula hawakupaswa kumwambia kwenye ghala la taifa la kuhifadhia chakula kuna tani kadhaa walipaswa wamwambie kuna mikoa ina maembe, mafyulisi ,ndilolo mazambarau yaishe kwanza ndipo tuwagawie
 
ndalichako nae anaanda mtaala mpya wa elimu embe lipo ktk kundi la vyakula anaekuja tusubili huenda chungwa nalo likaingia ktk kundi la vyakula kila wazir wa elimu na mipango yake tusishangaeni ndo elimu yetu inavyotutaka tuwe.
 
kuna kitu magufuli na majaliwa walikosea waliopoambiwa na zitto kuna tatizo la njaa hakuna chakula hawakupaswa kumwambia kwenye ghala la taifa la kuhifadhia chakula kuna tani kadhaa walipaswa wamwambie kuna mikoa ina maembe, mafyulisi ,ndilolo mazambarau yaishe kwanza ndipo tuwagawie

Hapa hoja tu, hakuna kutajataja majina ya watu, food security ni body of knowledge. kujadili kwake hakuhitaji majina, kunahitaji hoja weledi. Jibu kwanza chakula ni nini? Halafu eleza kwa nini maembe unasema sio chakula hapo tutaendelea, hayo majina yapo huko kwenu Tanzania, nchi nyingine kuna majina mengine lakini njaa is universal, kama unaweza kujadili onesha kwanza unajua unachojadili. Swali la mwisho rahisi ukiunganisha na hayo mengine. Njaa ni nini? Hapo sasa tutaona uwezo wako wa kufikiri kama unaweza au la. Kamamaswali yatakupa shida basi unaweza hata ku google
 
ndalichako nae anaanda mtaala mpya wa elimu embe lipo ktk kundi la vyakula anaekuja tusubili huenda chungwa nalo likaingia ktk kundi la vyakula kila wazir wa elimu na mipango yake tusishangaeni ndo elimu yetu inavyotutaka tuwe.

Achana na kutafuta chaka la kujifichia, toa tafsiri yako ya chakula na utuambia kitu gani ni chakula na nini si chakula utunufaishe sisi ambao hatukubahatika kwenda shule. Mbona ninyi wasomiwachoyo hivyo? Unaninyima hata definition ambayo tunaweza kuitumia katika mjadala wetu. Tafadhali naomba definition chakula ni nini na njaa ni nini? Tafdhali usinichoke, msomi wangu nguli
 
Back
Top Bottom