Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

Angalau mimi sijaenda shule kuliko wewe uliyeenda ukakremishwa vitu tofauti maisha yako unayoishi. Japo wewe mwenyewe ndiye unayeishi lakini bado unaamini ulichokremishwa. Wahazabe wanapika ugali wale?
Hapo umechemsha, pamoja na kula matunda, wanakula pia nyama, mizizi aina ya viazi, na wadudu. Lkn hujasikia kuwa wanategemea matunda tu! Embe si chakula, na mwili hauwezi tegemea embe tu, utadhoofu
 
Umeeleweka, uelewa wako wa mambo kuna watu unaweza kujadiliana nao, watu wenye akili kama wewe, watu ambao wanafahamu vyakula vya jamii zote za dunia. Hebu nikumbushe chips na chakula cha watu wa jamii gani hapa nchini vile?

Aisee inawezekana wewe ni jamii ya ngedere chakula chenu ni maembe, ila mimi najua kwa jamii za kitanzania maembe ni tunda linaloliwa baada ya kupata chakula rasmi kama wali, ugali nk. Chipsi siyo chakula ndiyo maana hata mama yako hajawahi kupika chipsi mchana akawapa wewe na baba yako mkala, akarudia jioni ndani ya wiki nzima. Chipsi huliwa kwa hamu tu na hasa na wadada na wanaume wenye hulka za kike kama wewe (endapo wewe waweza kula chipsi kila siku kwa siku 7 asubuhi na jioni). Unajitia mgumu wa kuelewa unaambiwa maembe ni matunda na hayawezi kutengwa ili familia ile asubuhi na jioni kama hakuna njaa kwenye jamii unajitia mjuvi wa mambo kenge wewe.
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
duh!!...kweli una roho ngumu
 
Hapo umechemsha, pamoja na kula matunda, wanakula pia nyama, mizizi aina ya viazi, na wadudu. Lkn hujasikia kuwa wanategemea matunda tu! Embe si chakula, na mwili hauwezi tegemea embe tu, utadhoofu

Kwa hiyo mtu mwenye maembe mengi ana tatizo la njaa? Nimetoa mfano wa wahadzbe kwa sababu wengi wao ni closed society, sasa watu wenye maembe ya kuokota wanaposhindwa kuyauza hao hata wakipewa dhahabu watakuambia haitafuniki
 
Aisee inawezekana wewe ni jamii ya ngedere chakula chenu ni maembe, ila mimi najua kwa jamii za kitanzania maembe ni tunda linaloliwa baada ya kupata chakula rasmi kama wali, ugali nk. Chipsi siyo chakula ndiyo maana hata mama yako hajawahi kupika chipsi mchana akawapa wewe na baba yako mkala, akarudia jioni ndani ya wiki nzima. Chipsi huliwa kwa hamu tu na hasa na wadada na wanaume wenye hulka za kike kama wewe (endapo wewe waweza kula chipsi kila siku kwa siku 7 asubuhi na jioni). Unajitia mgumu wa kuelewa unaambiwa maembe ni matunda na hayawezi kutengwa ili familia ile asubuhi na jioni kama hakuna njaa kwenye jamii unajitia mjuvi wa mambo kenge wewe.

Asante kwa ku share uzoefu. Kama sisi wenye hulka ya kike na akina dada tunaweza kula chips wiki nzima si tayari tumetengenez jamii yetu? Wewe unafikiri akina dada na sisi wenye hulka ya kike tupo wangapi hapa nchini. Kama kuna jamii ya wala chips imejitengeneza basi uwezekano wa jamii wa wala maembe kutokea upo. Napenda mtindo wako wa kujadili hoja, tutafika tu tunapotaka kwenda japo una kahasira fulani hivi.
 
Mtaalamu kashasema hii njaa ni fursa ya kupata ng'ombe, japo alikataa hakuna njaa. Huko Handeni hawana mang'ombe ya kubadilishana na mahindi hadi washindie maembe?
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Maembe ni matunda, mwili unahitaji kiasi tu cha kundi hili la chakula. utapokula maembe pekee yake, utapata upungufu mkubwa wa protein, fat na madini muhimu ambayo kwa pamoja huimalisha afya ya mwili. Matunda ni supplement Tu,
 
Rais ana roho mbaya sana.
Balaa yote hii ni sababu yake.
Tanzania miaka yote tumekuwa na njaa lkn ya Mwaka huu Haijawahi kutokea.

Rais anakula bata na mkewe wananchi wanakufa.

Na ALAANIWE MILELE Pombe magufuli
 
Ndio maana aliwekwa kuwa Mgombea mwenza na ndio maana wamefanya democrats wakashindwa!

Si ndo maana na huyu ni mkuu wa wilaya..... Mwache alie tu....Ila Obama alilia pia wakati anatetea sheria ya kuruhusu umilikaji wa silaha kwa raia wa marekani ifutwe....
 
Kwa hiyo mtu mwenye maembe mengi ana tatizo la njaa? Nimetoa mfano wa wahadzbe kwa sababu wengi wao ni closed society, sasa watu wenye maembe ya kuokota wanaposhindwa kuyauza hao hata wakipewa dhahabu watakuambia haitafuniki
Watauza kwa nani ndg wakati wote wananjaa? Njaa ina maana watu hawana pesa ya kununua chakula ambacho ni ghali.
Ila ni rahisi kwa wewe kuzungumza hivyo ila utamu wa ngoma ingia ucheze
 
Si ndo maana na huyu ni mkuu wa wilaya..... Mwache alie tu....Ila Obama alilia pia wakati anatetea sheria ya kuruhusu umilikaji wa silaha kwa raia wa marekani ifutwe....

Obama nae ni failure tu
 
Watauza kwa nani ndg wakati wote wananjaa? Njaa ina maana watu hawana pesa ya kununua chakula ambacho ni ghali.
Ila ni rahisi kwa wewe kuzungumza hivyo ila utamu wa ngoma ingia ucheze

Anhaaaa, kumbe Handeni kuna chakula ila watu hawana uwezo wa kununua? Hivyo njaa hii haina uhusiano na ukame unaohubiriwa? Kaya ngapi hizo hazina uwezo wa kununua chakula handeni? Nani anayejua hesabu yake? Hivi kaya zikikosa uwezo wa kujinunulia chakula kumbe nchi inakuwa na baa la njaa?
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Je wewe huwa unakula maembe kama mlo?
 
Leo mh Godwin Gondwe amekanusha habari hii akiwa kwenye kipindi cha clouds 360. hakuna ukweli wowote kwenye habari hii. japo amekiri kuwa hali sio nzuri huko tuendako, na kwa maana hiyo amewwahamasisha watu wake kulima mihogo badala ya mahindi.
 
Du, uliwahi kusikia wala
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Du, uliwahi kusikia neno balance diet?

Uliwahi kujua tofauti ya matunda na mboga mboga, wanga, n.k

Unatambua kwa siku binadamu anatakiwa kula milo 3 na kila mlo una requirements zake.


Kama bado fanya utafit kwa kula embe asubuhi, mchana na jioni kwa siku mbili
 
Back
Top Bottom