Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

Baa la njaa: Handeni maembe yawa chakula kikuu

nani alikua mbia embe ni chakula wewe elimu yako ya wapi kwamba mtu anaweza kuishi kwa kula maembe tu,kweli Tanzania inavilaza wengi sana

Mimi ni kilaza sawa nakubali, haya weye usiye kilaza toa tafsiri ya neno chakula halafu tujue nini ni chakula na nini ni chakula sio kuleta vumbi hapa. Chakula ni nini? Kwa nini Embe sio chakula? Kama unaweza tujadili, wenzako wamekimbia baada ya kwenda ku google!
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Ndg tumia akili walau kidogo ya shuleni. Yangu lini embe likawa ktk group LA chakula? Embe ni tunda ambalo huliwa pamoja na chakula. Nitunda lisilokaa sana tumboni, nguvu yake inayotolewa mwilini ni mdogo sana kwa mwili mzima kuitegemea.
Ndio maana unakuta mtu anakula maembe na mwili wake unadhoofu labda aongeze na chakula kikuu kwa ajili ya nguvu
 
Mimi ni kilaza sawa nakubali, haya weye usiye kilaza toa tafsiri ya neno chakula halafu tujue nini ni chakula na nini ni chakula sio kuleta vumbi hapa. Chakula ni nini? Kwa nini Embe sio chakula? Kama unaweza tujadili, wenzako wamekimbia baada ya kwenda ku google!
embe hawezi kula mtu siku nzima akaenda kulala labda wewe kwenu wapi mnakula hivo
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Mkuu jaribu tuone kama hutavinja choo....utaharisha mpaka ukome
 
naona kichwa chako kipo kwa ajili ya kufugia nywele na sio kufikiri, usinichoshe mie

Tumeshazoea hayo majibu ya watu walioshindwa hoja, hapa hoja tu, huna nenda katika vijiwe vyenu vya kahawa na uzushi, una hoja weka mezani, hapa ndio JF bwana, biashara ni hoja
 
Kama Mkuu wa Wilaya analia kwa kuona watu wakila maembe huyo hafai kuwa Mkuu wa Wilaya. Watanzania umefika wakati wa kuacha kukariri, nani kasema maembe hayafai kuwa chakula? Tena mimi naona tungekuwa na vionzozi wenye maono wangehamasisha watu wale maembe kipindi hiki cha msimu wa maembe kwa wingi huku wakihifadhi chakula cha aina nyingine kwa vile maembe hayahifadhiki kwa tekinolojia tuliyo nayo mpaka sasa. Tuna tatizo kubwa la kufikiri. Taarifa kwa wajinga wenzangu, maembe ni chakula ghali dar kuliko hata huo mchele.
Tumia hata 0.1 ya uwezo wa akili yako mkuu
 
embe hawezi kula mtu siku nzima akaenda kulala labda wewe kwenu wapi mnakula hivo

Kwa hiyo nchi yenye embe hiyo ina njaa? nchi isiyolima lakini inachimba madini nayo ina njaa? Nchi yenye kuzalisha mazao ya wanyama kuliko nafaka nayo ina njaa? Hivi ninyi mnafikiriaje, akili zenu ......... aaah wacha nivumilie tu, mumekremu kupitiliza. Handeni kuna maenbe ya bure, dar embe moja 1500 halafu hao watu wana njaa? Labda useme hawana akili
 
"Msemakweli Mpenzi wa Mungu" Hakuna njaa Tanzania.. "Mwafwaa"
 
Ndg tumia akili walau kidogo ya shuleni. Yangu lini embe likawa ktk group LA chakula? Embe ni tunda ambalo huliwa pamoja na chakula. Nitunda lisilokaa sana tumboni, nguvu yake inayotolewa mwilini ni mdogo sana kwa mwili mzima kuitegemea.
Ndio maana unakuta mtu anakula maembe na mwili wake unadhoofu labda aongeze na chakula kikuu kwa ajili ya nguvu

Angalau mimi sijaenda shule kuliko wewe uliyeenda ukakremishwa vitu tofauti maisha yako unayoishi. Japo wewe mwenyewe ndiye unayeishi lakini bado unaamini ulichokremishwa. Wahazabe wanapika ugali wale?
 
Mkuu jaribu tuone kama hutavinja choo....utaharisha mpaka ukome

Kwa hiyo wewe unataka watu washindie nini bwana muzee? Ugali? Hahahaahahhahahaha, tatizo la fikra bado kubwa nchi hii. Kushindia ugali na maembe bora nini?
 
Tumeshazoea hayo majibu ya watu walioshindwa hoja, hapa hoja tu, huna nenda katika vijiwe vyenu vya kahawa na uzushi, una hoja weka mezani, hapa ndio JF bwana, biashara ni hoja

uuna hoja au kihoja , wala sikushangai maana jina lako linajielezea vizuri, huna jipya
 
uuna hoja au kihoja , wala sikushangai maana jina lako linajielezea vizuri, huna jipya

Kabla hujajibu jina ulishalisoma, baada ya kushindwa hoja sasa umeona ukimbilie jina, hiyo id nimejipa mwenyewe wala sikupewa na Mungu na wanaofahamu fasihi wanaweza kukuambia jina linaweza lisiwe na maana ya moja kwa moja kama ilivyo hapa, kazi yangu ni kuwashughulikia watu wenye kuamini ujinga ndio hoja, wewe sio wa kwanza, umeingia kwenye kumi na nane lazima ushughulikiwe, dawa lazima ikuingie. Anayekula maembe huyo hana njaa, maembe nayo ni chakula! Una hoja nyingine?
 
Back
Top Bottom