Wakuu mimi ni mtumiaji mzuri wa azam tv max app kwenye simu yangu, kuna hii ya UTV chaneli kila ukifika muda wa mechi za simba unakuta imeondolewa HAIPO KABISA au ukiikuta na ukaifungua kwa ajili ya kungalia zako mpira unaambiwa CHANNEL IS NOT AVAILABLE IN YOUR AREA.
Ajabu ni kwamba baada ya mechi kuisha UTV unaikuta ipo imerudishwa na hata ukiifungua haileti matatizo yeyote.
Hili tatizo limekuwa sugu, sijui shida ni nini.
Ajabu ni kwamba baada ya mechi kuisha UTV unaikuta ipo imerudishwa na hata ukiifungua haileti matatizo yeyote.
Hili tatizo limekuwa sugu, sijui shida ni nini.