GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,119
Ila kwa wenye Akili Kubwa duniani (GENTAMYCINE na baadhi) tunajua kuwa Usimba ndani ya TFF (TPLB ikiwemo ndani yake) umechangia na kilichofanyika hapa ni Kuikoa Simba SC na Kipigo Kitakatifu kingine kutoka kwa Azam FC.
Hali ambayo inaweza kuzidisha Mgogoro Klabuni, Amani kutoweka ila Kubwa ni kutaka Kuibeba Simba SC kwa kumpa angalau muda kidogo Kocha Mkuu mpya ambaye huenda Siku Tatu hizi kuanzia leo Ijumaa hadi Jumapili akatangazwa aweze Kukijenga vyema Kikosi huku Viongozi nao wakiwekana sawa ili yanayoendelea yamalizike kabisa na Utulivu uanze Kutawala.
Sasa nyie Tanzania Premier League Board (TPLB) nami GENTAMYCINE (tena nikiwa ni Mshabiki Tukuka wa Simba SC) nawaambieni hapa hapa Jamiiforums kuwa hata kama baadhi yenu mnatumia Usimba wenu Kuiokoa na Kuibeba Simba SC isiendelee kupata Matokeo mabaya na Mgogoro Kuzidi ukweli ni kwamba hata kama hii Mechi ya Simba na Azam iliyokuwa ipigwe tarehe 28 Novemba, 2023 mmeipeleka mbele hadi tarehe 1 January, 2024 bado nawahakikishia kwa Mapungufu makubwa yaliyoko katika Uongozi, Benchi la Ufundi na kwa Wachezaji wa (Kikosi cha) Simba SC bado tu Siku hiyo Simba SC itafungwa vile vile na Matatizo kuendelea.
Hali ambayo inaweza kuzidisha Mgogoro Klabuni, Amani kutoweka ila Kubwa ni kutaka Kuibeba Simba SC kwa kumpa angalau muda kidogo Kocha Mkuu mpya ambaye huenda Siku Tatu hizi kuanzia leo Ijumaa hadi Jumapili akatangazwa aweze Kukijenga vyema Kikosi huku Viongozi nao wakiwekana sawa ili yanayoendelea yamalizike kabisa na Utulivu uanze Kutawala.
Sasa nyie Tanzania Premier League Board (TPLB) nami GENTAMYCINE (tena nikiwa ni Mshabiki Tukuka wa Simba SC) nawaambieni hapa hapa Jamiiforums kuwa hata kama baadhi yenu mnatumia Usimba wenu Kuiokoa na Kuibeba Simba SC isiendelee kupata Matokeo mabaya na Mgogoro Kuzidi ukweli ni kwamba hata kama hii Mechi ya Simba na Azam iliyokuwa ipigwe tarehe 28 Novemba, 2023 mmeipeleka mbele hadi tarehe 1 January, 2024 bado nawahakikishia kwa Mapungufu makubwa yaliyoko katika Uongozi, Benchi la Ufundi na kwa Wachezaji wa (Kikosi cha) Simba SC bado tu Siku hiyo Simba SC itafungwa vile vile na Matatizo kuendelea.