Sababu za TPLB kusogeza mbele Mechi ya Simba na Azam kutoka Novemba 28, 2023 hadi Jan 1, 2024 hazijaniingia akilini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,119
Ila kwa wenye Akili Kubwa duniani (GENTAMYCINE na baadhi) tunajua kuwa Usimba ndani ya TFF (TPLB ikiwemo ndani yake) umechangia na kilichofanyika hapa ni Kuikoa Simba SC na Kipigo Kitakatifu kingine kutoka kwa Azam FC.

Hali ambayo inaweza kuzidisha Mgogoro Klabuni, Amani kutoweka ila Kubwa ni kutaka Kuibeba Simba SC kwa kumpa angalau muda kidogo Kocha Mkuu mpya ambaye huenda Siku Tatu hizi kuanzia leo Ijumaa hadi Jumapili akatangazwa aweze Kukijenga vyema Kikosi huku Viongozi nao wakiwekana sawa ili yanayoendelea yamalizike kabisa na Utulivu uanze Kutawala.

Sasa nyie Tanzania Premier League Board (TPLB) nami GENTAMYCINE (tena nikiwa ni Mshabiki Tukuka wa Simba SC) nawaambieni hapa hapa Jamiiforums kuwa hata kama baadhi yenu mnatumia Usimba wenu Kuiokoa na Kuibeba Simba SC isiendelee kupata Matokeo mabaya na Mgogoro Kuzidi ukweli ni kwamba hata kama hii Mechi ya Simba na Azam iliyokuwa ipigwe tarehe 28 Novemba, 2023 mmeipeleka mbele hadi tarehe 1 January, 2024 bado nawahakikishia kwa Mapungufu makubwa yaliyoko katika Uongozi, Benchi la Ufundi na kwa Wachezaji wa (Kikosi cha) Simba SC bado tu Siku hiyo Simba SC itafungwa vile vile na Matatizo kuendelea.
 
Ila kwa wenye Akili Kubwa duniani (GENTAMYCINE na baadhi) tunajua kuwa Usimba ndani ya TFF ( TPLB ikiwemo ndani yake ) umechangia na kilichofanyika hapa ni Kuikoa Simba SC na Kipigo Kitakatifu kingine kutoka kwa Azam FC hali ambayo inaweza kuzidisha Mgogoro Klabuni, Amani kutoweka ila Kubwa ni kutaka Kuibeba Simba SC kwa kumpa angalau muda kidogo Kocha Mkuu mpya ambaye huenda Siku Tatu hizi kuanzia leo Ijumaa hadi Jumapili akatangazwa aweze Kukijenga vyema Kikosi huku Viongozi nao wakiwekana sawa ili yanayoendelea yamalizike kabisa na Utulivu uanze Kutawala.

Sasa nyie Tanzania Premier League Board (TPLB) nami GENTAMYCINE (tena nikiwa ni Mshabiki Tukuka wa Simba SC) nawaambieni hapa hapa Jamiiforums kuwa hata kama baadhi yenu mnatumia Usimba wenu Kuiokoa na Kuibeba Simba SC isiendelee kupata Matokeo mabaya na Mgogoro Kuzidi ukweli ni kwamba hata kama hii Mechi ya Simba na Azam iliyokuwa ipigwe tarehe 28 Novemba, 2023 mmeipeleka mbele hadi tarehe 1 January, 2024 bado nawahakikishia kwa Mapungufu makubwa yaliyoko katika Uongozi, Benchi la Ufundi na kwa Wachezaji wa (Kikosi cha) Simba SC bado tu Siku hiyo Simba SC itafungwa vile vile na Matatizo kuendelea.

Muu sio lazima uandike Kila kitu

Simba ina match za CAF 25/11, 2/12, 9/12

Hao Azam wana match gani ya CAF?
 
Ila kwa wenye Akili Kubwa duniani (GENTAMYCINE na baadhi) tunajua kuwa Usimba ndani ya TFF ( TPLB ikiwemo ndani yake ) umechangia na kilichofanyika hapa ni Kuikoa Simba SC na Kipigo Kitakatifu kingine kutoka kwa Azam FC hali ambayo inaweza kuzidisha Mgogoro Klabuni, Amani kutoweka ila Kubwa ni kutaka Kuibeba Simba SC kwa kumpa angalau muda kidogo Kocha Mkuu mpya ambaye huenda Siku Tatu hizi kuanzia leo Ijumaa hadi Jumapili akatangazwa aweze Kukijenga vyema Kikosi huku Viongozi nao wakiwekana sawa ili yanayoendelea yamalizike kabisa na Utulivu uanze Kutawala.

Sasa nyie Tanzania Premier League Board (TPLB) nami GENTAMYCINE (tena nikiwa ni Mshabiki Tukuka wa Simba SC) nawaambieni hapa hapa Jamiiforums kuwa hata kama baadhi yenu mnatumia Usimba wenu Kuiokoa na Kuibeba Simba SC isiendelee kupata Matokeo mabaya na Mgogoro Kuzidi ukweli ni kwamba hata kama hii Mechi ya Simba na Azam iliyokuwa ipigwe tarehe 28 Novemba, 2023 mmeipeleka mbele hadi tarehe 1 January, 2024 bado nawahakikishia kwa Mapungufu makubwa yaliyoko katika Uongozi, Benchi la Ufundi na kwa Wachezaji wa (Kikosi cha) Simba SC bado tu Siku hiyo Simba SC itafungwa vile vile na Matatizo kuendelea.
Sawa
 
Ukiwa unaandika na kuhoji mambo ya Msingi kama haya nani atakushambulia?,nani atakubeza?,Nani atakuona mwehu?

Hapa naungana na wewe moja kwa moja,haya ndiyo mambo ya msingi tunayotaka uwe unaandika na siyo Ushambenga na Ushakunaku!

Hongera!
 
Kama kuna wat NYOTA za uongizi zao haziendan na simba basi kaz tunayo hii hali ya SIMBA inankumbusha STORI MOM ALIWAH NAMBIA WAKAT NKO SHULE(BOARDING)

Alipata mfanyakaz wa kuhudumia kuku akaingiza kuku 700 unambiwa walianza kuumwa wakaanza kufa wakafa aliwapa kila aiana ya dawa lakin wap wakawa wanakufa mwishowe DR wa mifugo akamwambia waache watakao bak ndo itakuwa ridhik yako

Yule mfanyakaz akauguliwa na kaka yak akatakiwa aondok arud kijijin akaondoka
Hapo kuku walikuwa wamebak 156 na ndo hao walikuwa mpaka anakuja kuwauza. So

MI YANGU MAACHO RATIBA ITABADILIKA LAKIN KICHAPO KIPO PALE PALE. SOME THING IS NOT RIGHT

AT MSIMBAZI
 
Ukiwa unaandika na kuhoji mambo ya Msingi kama haya nani atakushambulia?,nani atakubeza?,Nani atakuona mwehu?

Hapa naungana na wewe moja kwa moja,haya ndiyo mambo ya msingi tunayotaka uwe unaandika na siyo Ushambenga na Ushakunaku!

Hongera!
Idiot and a Hypocrite

Screenshot_20231110-093933.png


Sijawahi kuwa Muumini wa Pongezi za Kinafiki na zitokazo pia kwa Wanafiki na Majuha Waandamizi Jamiiforums.
 
Leo umeongea fact
GENTAMYCINE sijawahi kuacha kutoandika au kutoongea Facts hapa Jamiiforums na hata katika Jamii inayonizunguka isipokuwa tu tatizo la Wapumbavu na Washamba wengi hapa WANAONICHUKIA KUTWA ( sijui kama nawe upo ) ni kwamba hawapendi Kusikia kile Wasichokipenda na wanataka Kusikia yale Wayatakayo Wao tu na ni wapenda UNAFIKI tabia ( sifa ) ambayo Kiasili kabisa sina na kamwe sitokuja kuwa nayo.
 
Back
Top Bottom