mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,598
- 2,690
Habari wana jamvi, kumekuwa na taarifa za chini kwa chini baada ya kuibuka sakata la wasimamizi wa televisheni kule Dstv sasa imehamia Azam nao wamejibu mapigo.
Note; ukimshtumu mtu au kampuni hakikisha hiyo kesi una ushahidi nayo la sivyo inakugeukia, kesi kama hizi ikikugeukia utalipwa faini moja mbaya ambayo itakugharimu.
Pia soma:
Video iliyosambaa mitandao ya kijamii Deogratius Shija akimtuhumu Wasiwasi Mwabulambo kwa kupokea rushwa
Note; ukimshtumu mtu au kampuni hakikisha hiyo kesi una ushahidi nayo la sivyo inakugeukia, kesi kama hizi ikikugeukia utalipwa faini moja mbaya ambayo itakugharimu.
Pia soma:
Video iliyosambaa mitandao ya kijamii Deogratius Shija akimtuhumu Wasiwasi Mwabulambo kwa kupokea rushwa