Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Source: https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/71623-slaa-akata-anga-morogoro.html
Slaa akata anga Morogoro
Akiwa Mikumi, alimlipua mwenyekiti wa kamati ya kampeni za CCM, Abdulahman Kinana, akisema kigogo huyo ana mkono katika biashara chafu za makampuni ya meli; akamtaka ajielekeze katika masuala ya kitaifa badala ya kumwandama yeye (Slaa). Akasisitiza kwamba ana ushahidi wa kauli zake, kwani hana historia ya kukurupuka.
Source: Ngurumo