Endeleeni kujipa moyo na kujifanya vipofu huku jamaa akichanja mbuga nyie mnaendea kunywa gahawa pwani eti mtashinda kwa mazoea.Asilimia kubwa ni underage.
Endeleeni kujipa moyo na kujifanya vipofu huku jamaa akichanja mbuga nyie mnaendea kunywa gahawa pwani eti mtashinda kwa mazoea.Asilimia kubwa ni underage.
Tatizo mko wengi msioona vizuri ningekuazima jicho hata moja lakini kwako CCM warafi unaweza usinirudishie...Asilimia kubwa ni underage.
Dr Slaa anakubalika sana kanda ya Ziwa, lakini mbona naona watoto wapo wengi? Je hawa ni wapiga kura hapo Oct 31?
Mwaka huu ninavyoona hali, lazima Dr. Slaa atashinda. Ili umafia wa CCM uweze kumtangaza JK kuwa ameshinda, wafuatao watapiga kura:-
1. wanajeshi
2. Polisi
3. FFU
4. Wafungwa
Maana kwa hali ya kawaida haiwezekani kufikia hata 20% ya kura zote Tanzania.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Mbariki Dr. Slaalayball:
Asilimia mbili ni underage.
watoto ni wapiga kura wa kesho na vile vile wanawawakilisha wazazi wao. kwenye matukio mbali mbali si rahisi watoto wakosekane, na unawaona kiurahisi kwa sabau wako mbele kutokana na udogo(sio uchache) wao
Genakai . . . . naona kama sasa hivi ni kama kunapambazuka, asubuhi bado wala mchana . . . .
Duru za habari zilisema mwanzo kuwa Dr. Slaa ana mabomu kama 9 hivi . . . sina uhakika kama ameanza kuyatumia . . .
Kazi kweli kweli.
wakuu please someone tell me Kinana ni kabila gani?
Ni Msomali mwenye asili ya kitanzaniaNi mtanzania mwenye asili ya Somalia.