Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Ninachojiuliza ni kimoja tu . . . .
Watanzania makini wa level yake au zaidi wako wapi na wanafanya nini mpaka tumefika hapa?
Je; enzi za Mwalimu ilikuwaje?
- Kama ni kweli suala la Uraia wake halijulikani
- Na kama ni kweli facts zote zilizotolewa hapo juu zinamhusu
- Na kama ni kweli ana nguvu za ziada CCM
- Na kama ni kweli anaweza ku-control siasa za tanzania kiasi hiki . . .
Watanzania makini wa level yake au zaidi wako wapi na wanafanya nini mpaka tumefika hapa?
Je; enzi za Mwalimu ilikuwaje?