Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,092
- 43,265
The African leaders have no credibility whatsoever kwenye hili; wangekuwa ni watu ambao nchi za Magharibi zingeweza kuwachukulia kwa umakini tungeona wameweza kwenda kuingilia kati ujinga wa Ivory Coast au hata Somalia hapo. Kama wako tayari kweli kuona Coalition inasitisha wawe tayari kupeleka vikosi vyao vya kutunza amani na kusimamia mchakato wa kuingiza Demokrasia Libya; kwa gharama zao wenyewe na kutumia uwezo wao kutengeneza no fly zone kumzuia Gadaffi kushambulia watu wake. Until then, the Mad Man Gaddafi must be halted immediately.