AU's dilemna and the Libyan crisis

Jamaa ni macapitalist wakubwa.. sasa wale ndugu zangu wafuata mkumbo wa ujahidina sijui kama wanayajua haya. BTW, Kilimanjaro siku hizi ndio inaitwa Bahari beach? maana nliskiaga wameichukua wao.
 
Mbona posti yako haileweki ? Kitu gani fake kuhusu Bahari beach ? Ikiwa Libya ina hisa hilo ni jambo la kawaida kuna zaidi ya wawekezaji zaidi ya 500 wa kigeni hapa Tanzania kwenya miradi mabali mbali na ndio mfumo wa maendeleo duniani au kama hupendi rudi nyuma ujipange foleni ya kununua kipande cha sabuni ya ILULA !!

Libya inazo pesa na nchi nyingine wanahitaji ili kufanikisha miradi yao - ni kitu kawaida kabisa wanafanya mradi na wote wanafaidika sasa kipi cha ajabu ? au huo ufisadi uko wapi ? Tupe maelezo kama unayo.

Kampuni zote ulizotaja sinajulikana ni za Libya, yaani serikali na watu wa Libya siyo Gadafi binafsi.
 
This is a million-dollar question that, in my critical view, yawns out there for a more scholarly answer; today and tomorrow.

As such, of interest some of the aspects to cover should include:


1. By how much did Gaddafi have to 'assist' African Union (AU)?


2. What exactly prompted the said 'assistance flows between Gaddafi and AU ?


3. How did the very inside of the AU / Gaddafi relations look like with the said streams of assistance; was it symbiotic or parasitic in nature? Any explanation to the effect?


4. What were some of the obvious and or silent objectives that largely motivated the Gaddafi 'assistance to AU and the predictability of it flows?


5. What amount of influence (positive / negative) and magnitudes has the Gaddafi 'assistance had on the political structures, form and future of the AU in general and that of individual member-states in particular?


6. Were such like point of massive financial facilitation a matter based on well established sustainable national essence and plans backgrounds by the Libyan government or simply a personal heart-felt initiative just by Col Gaddafi?


7. How different would things look like with a political landscape as at AU and a number of member-states in the absence of Gaddafi assistance?


etc
 
Akimwagwa huko Libya atakuja kujificha hapo Bahari beach na inawezekana pia tayari ameshafika
 
Back
Top Bottom