zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Ukimsikiliza Mwakyembe anasema baada ya kuona hayo akapitia faili la Chizi. Akaona mapungufu kwamba aliajiriwa bila veting. Na base ya kumuondoa ikaanzia hapo! Hivi anayemfanyia mwajiriwa wa umma veting ni nani?
Na huu bado ni mradi mpya, mtu anapewa kazi ki ujanja ujanja ili kesho asiweze kukataa maagizo ya alomuweka pale.
Kwanza anaachishwa kazi aliyeajiriwa, halafu anatazamwa mwajiri wake halafu wanatazamwa wazee wake waliomleta duniani kama walifanya makosa au la.