ATCL Cabin ... Uniforms Cost USD49,000 ( PHOTO)

ATCL Cabin ... Uniforms Cost USD49,000 ( PHOTO)

Nasikitika hata magazeti mengine huwa yanafanya kosa hili. Hawajui tofauti ya million na billion
Kajichanganya au hayuko makini!! Ndiyo nchi yetu hiyo, sasa ukirudi kwa viongozi ambao wengi wao walikimbia umande wanategemea mambo ya shortcuts, hizo number usiseme kabisa!!
 
Kajichanganya au hayuko makini!! Ndiyo nchi yetu hiyo, sasa ukirudi kwa viongozi ambao wengi wao walikimbia umande wanategemea mambo ya shortcuts, hizo number usiseme kabisa!!

Ndio hawa hawa wanasaini mikataba ya madini bila kujua tofauti ya Revenue na profit matokeo yake royalty inakua 3% ya profit badala ya revenue.
 
Mkuu rudia tena yaani uniform zaidi ya billion 78 au millioni 78! Hata kama ni millioni 78 si haki hata kidogo. Anatakiwa apate haki yake tena achapwe viboko 12 wakati anaitwa kuhojiwa na 12 wakati anatoka kwenda kwake akamuonyeshe mkewe. Mali zake zitafutwe zikamatwe ziwe za ATCL.
hahahaaa at least kuna vitu tunakubaliana ukiondoa siasa zetu kichefuchefu
 
Pamoja na mapungufu anayoweza kuwa nayo, nadhani Mwakyembe bado ni mzalendo wa kweli kweli, bado hajaingia katika kundi la wanasiasa wachumia tumbo. Huenda ndiyo maana kuna walioataka kuondoa uhai wake.
 
Pamoja na mapungufu anayoweza kuwa nayo, nadhani Mwakyembe bado ni mzalendo wa kweli kweli, bado hajaingia katika kundi la wanasiasa wachumia tumbo. Huenda ndiyo maana kuna walioataka kuondoa uhai wake.

Ni kweli, yuko na mzee Six. CCM haiwafai na hawatafanikiwa kuibadilisha, ni bora wakaondoka.
 
Nasikitika hata magazeti mengine huwa yanafanya kosa hili. Hawajui tofauti ya million na billion

Gazeti linanofanya kosa kama hili halistahili kuitwa gazeti labda 'kipeperushi' au 'kijarida cha udaku'.
Tatizo ni huu mfumo wetu wa kuchomekana makazini bila kuuliza hata qualifications.Amevurunda b'se he didnt know what he was supposed to accomplish plus not fit enough for it.
 
Tatizo lipo kwa alomteua. Kwani Chizi alijipeleka mwenyewe pale ATCL?
Huu ni mradi wa watu kufisadi kupitia migongo ya watu. Aibu kubwa hii, wakurugenzi kukaa china siku 45 wakisubiri nguo zishonwe! Only in Tanzania.

Kama kosa ni la alomteua basi kosa zaidi ni la wazee wake waliomleta duniani! au sio?
 
Acheni porojo huna ushahidi huna haki ya kuongea. Waziri amesema kuwa uteuzi wake haukuzingatia kanuni za utumishi na si ufisadi wala wizi. Halafu kama ulikuwa na taarifa hizo mbona hukuziandika tangu awali.

alitaka afiche aibu!!! mmemchokoza wenyewe, siri zote nje!!
 
attachment.php

Wanajamvi, ndiyo Uniform zenyewe hizi, ndiyo hapo utakaposhindwa kushangaa na kuanza kujiuliza hivi ni lini tutaamua kuacha kujiaibisha wenyewe kwa mambo yaliyo wazi kama hili.

....kweli haya mambo ya aibu,jamani mbona bongo kuna madisigner wazuri sana,ambao wangewashonea sare nzuri sio km hizo
 
Hata mke wangu siwezi kumvalishe upuuzi huu.Huyu jamaa ashughulikiwe,value for money hakuna hapa.Lakini mm,nani amshughulikie,hawa hawa magamba,haiwezekani,ni mchezo wa kuigiza tu.
attachment.php

Wanajamvi, ndiyo Uniform zenyewe hizi, ndiyo hapo utakaposhindwa kushangaa na kuanza kujiuliza hivi ni lini tutaamua kuacha kujiaibisha wenyewe kwa mambo yaliyo wazi kama hili.
 
Acheni porojo huna ushahidi huna haki ya kuongea. Waziri amesema kuwa uteuzi wake haukuzingatia kanuni za utumishi na si ufisadi wala wizi.

Wewe ndo hufuatilii mambo. Zote ni sababu ila sababu. Ila hiyo unayoitaja ndo kuu
 
hizi nguo mbona naona hazina udhamani wowote hata kama wangeshona kariakoo zingeoneka nzuri na zakupendeza jamani hata kucopy na kupest kwa wenzetu ni ngumu kweli Tanzania inaushetani wa mawazo. hawaoni makampuni mengne ya ndege? wafanyakazi wanapendeza wanauniform safi zinavutia hayo mavazi kama wanenda kuabudu aibu kweli kweli
 
Kama kosa ni la alomteua basi kosa zaidi ni la wazee wake waliomleta duniani! au sio?

Ukimsikiliza Mwakyembe anasema baada ya kuona hayo akapitia faili la Chizi. Akaona mapungufu kwamba aliajiriwa bila veting. Na base ya kumuondoa ikaanzia hapo! Hivi anayemfanyia mwajiriwa wa umma veting ni nani?
Na huu bado ni mradi mpya, mtu anapewa kazi ki ujanja ujanja ili kesho asiweze kukataa maagizo ya alomuweka pale.
 
[h=3]"Mambo ya Director Chizi haya hapa [/h] Bw Chizi alikodisha ndege ya bilioni 80 kwa zaidi ya bilioni 270, ameshonesha unifom kwa bilioni zaidi ya 78. Halafu kuna watu wanamtetea aendelee kuwepo ATCL" Jamani, USD 49,000 siyo bilioni 78. Kwa hesabu za haraka ukitumia exchage rate ya USD 1 = TSHS.1600 ni TSHS.78,400,000. wakati mwingine ukiwa na jazba unaweza kusababisha kile Waingereza wanaita "making a mountain out of a mole hill". Ndiyo, huenda ni kweli Chizi ni fisadi lakini tatizo lisikuzwe kwa kutoa takwimu zilizokarabatiwa.

XOCmUbl1IsE
 
Nilistuka niliposikia mwakenye aliposema aliyekasirika afuate chizi,,nikadhani ametukana.

Haya amjina mengine inabidi mtu uwe creative.

Angekua anajiita Cheezy,.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
Back
Top Bottom