WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
Wanajamvi, ndiyo Uniform zenyewe hizi, ndiyo hapo utakaposhindwa kushangaa na kuanza kujiuliza hivi ni lini tutaamua kuacha kujiaibisha wenyewe kwa mambo yaliyo wazi kama hili.
View attachment 55796
Wanajamvi, ndiyo Uniform zenyewe hizi, ndiyo hapo utakaposhindwa kushangaa na kuanza kujiuliza hivi ni lini tutaamua kuacha kujiaibisha wenyewe kwa mambo yaliyo wazi kama hili.
Kuna wakati nikiitwa mTanzania najisikia vibaya.
Clouds fm wamesema Chizi alikuwa amestaafu kazi mwaka jana na hela zake aikuwa amesha lipwa.
Duh, hiyo ni ATCL vipi kuhusu mashirika mengine, vipi kuhusu halmashauri zinazohonga wabunge ambazo hata wasemaje hawapo! TZ nizaidi yatuijuavyo jamani!Hiyo haitoshi, walipelekwa maofisa wawili eti kuzisimamia zishonwe. wacha Chisi afukuzwe, jizi kubwa
Kabisa mkuu, Dr alijaribu kulinda heshima yake lakini naona watu ndiyo kwanza wanamlaumu!! ndiyo hayo sasa!Mliomtukana Mwakyembe jana muombe radhi sasa
Kuna wakati nikiitwa mTanzania najisikia vibaya.
Wanajamvi, ndiyo Uniform zenyewe hizi, ndiyo hapo utakaposhindwa kushangaa na kuanza kujiuliza hivi ni lini tutaamua kuacha kujiaibisha wenyewe kwa mambo yaliyo wazi kama hili.
Uniform sio hizi hawa na wanafunzi wa u-cabin crew kwenye chuo cha ATCL